OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Simba na viongozi wake mpaka mashabiki wao huwa hawaangalii wala kujali sanaa matokeo bali wao huangalia kama timu imecheza vizuri tu basi inatosha na ndio furaha yao wao hawajali sana kuhusu matokeo.
Simba ilivyotolewa na wydad kwa mikwaju ya penati kule morocco enzi zile wydad ya moto viongozi na mashabiki walikuwa na furaha kuliko wydad wenyewe kisa tu walicheza vizuri mashabiki wakadai timu yao imekufa kiume huku viongozi wakidai hawana cha kumdai kocha na wachezaji wamecheza vizuri kuliko wydad na kwamba wametolewa kwa figisu na bahati haikuwa yao.
Hapa unaona kabisa hawana dira sio viongozi sio mashabiki. Ndio maana warabu wanatuzidi kila mwaka, wao huwa hawaangalii timu imechezaje bali wao huangalia matokeo ndio jambo kubwa kwao.
Simba ikifungwa na Al ahly viongozi na mashabiki watakuambia walikuwa wanacheza na bingwa mtetezi tumecheza vizuri kibu ni moto.
Ukiwauliza mmejifunza nini wao hilo sio jambo kubwa kikubwa wamecheza vizuri licha ya kuondolewa kwenye mashindano.
Mnakumbuka Yanga aliifunga USMA siku ya fainali ila kikanuni USMA walikuwa washindi kwa goli la ugenini wao walishangilia uwanja mzima kwa sababu kombe ni lao bila kuonyesha aibu yoyote.
Yanga hairidhiki na mafanikio iliyoyapata hata azam nao wameamka, yanga imewaamsha azam. Yanga inaimarika kila msimu imefikia hatua sasa inawaza kuwa bingwa wa CAFCL.
Waulize simba wao wana malengo gani ? Sio viongozi sio mashabiki akili zao ni sawa. Mfano jana wqmefungwa wamepoteza taji la ngao ya jamii walilo kuwa wanalitetea hata haiwaumi wao ndio kwanza wanafuraha kuliko yanga wanakwambia jana tumecheza vizuri kocha Fadlu ni kocha mzuri.
Hii simba ni timu ya burudani au ni timu ya makombe? Mimi naona haina dira. Au ni timu maalumu kwaajili ya kutangaza matangazo ya biashara ?
Sio ajabu mkaishia makundi shirikisho, na mashabiki wakamsifia kocha na kumlaumu mangungu wakisahau kuwa mgunda aliwatumia wachezaji wale wale tena wengine hatukuwa tukiwafahamu mfano akina Balua.
Anayejua dira ya simba na malengo yake atuwekee hapa. Maana naiona simba ya miaka kadhaa mbele ikiwa kama kaizer chiefs huku azam ikigeuka mamelod.
Simba ilivyotolewa na wydad kwa mikwaju ya penati kule morocco enzi zile wydad ya moto viongozi na mashabiki walikuwa na furaha kuliko wydad wenyewe kisa tu walicheza vizuri mashabiki wakadai timu yao imekufa kiume huku viongozi wakidai hawana cha kumdai kocha na wachezaji wamecheza vizuri kuliko wydad na kwamba wametolewa kwa figisu na bahati haikuwa yao.
Hapa unaona kabisa hawana dira sio viongozi sio mashabiki. Ndio maana warabu wanatuzidi kila mwaka, wao huwa hawaangalii timu imechezaje bali wao huangalia matokeo ndio jambo kubwa kwao.
Simba ikifungwa na Al ahly viongozi na mashabiki watakuambia walikuwa wanacheza na bingwa mtetezi tumecheza vizuri kibu ni moto.
Ukiwauliza mmejifunza nini wao hilo sio jambo kubwa kikubwa wamecheza vizuri licha ya kuondolewa kwenye mashindano.
Mnakumbuka Yanga aliifunga USMA siku ya fainali ila kikanuni USMA walikuwa washindi kwa goli la ugenini wao walishangilia uwanja mzima kwa sababu kombe ni lao bila kuonyesha aibu yoyote.
Yanga hairidhiki na mafanikio iliyoyapata hata azam nao wameamka, yanga imewaamsha azam. Yanga inaimarika kila msimu imefikia hatua sasa inawaza kuwa bingwa wa CAFCL.
Waulize simba wao wana malengo gani ? Sio viongozi sio mashabiki akili zao ni sawa. Mfano jana wqmefungwa wamepoteza taji la ngao ya jamii walilo kuwa wanalitetea hata haiwaumi wao ndio kwanza wanafuraha kuliko yanga wanakwambia jana tumecheza vizuri kocha Fadlu ni kocha mzuri.
Hii simba ni timu ya burudani au ni timu ya makombe? Mimi naona haina dira. Au ni timu maalumu kwaajili ya kutangaza matangazo ya biashara ?
Sio ajabu mkaishia makundi shirikisho, na mashabiki wakamsifia kocha na kumlaumu mangungu wakisahau kuwa mgunda aliwatumia wachezaji wale wale tena wengine hatukuwa tukiwafahamu mfano akina Balua.
Anayejua dira ya simba na malengo yake atuwekee hapa. Maana naiona simba ya miaka kadhaa mbele ikiwa kama kaizer chiefs huku azam ikigeuka mamelod.