Sababu ya vitambi ni kula chakula kingi kupita mahitaji yetu.

Sababu ya vitambi ni kula chakula kingi kupita mahitaji yetu.

Sijui sababu za kitaalam lakn wanasema kiporo cha wali huchangia kwa kiasi kikubwa kwa kwenye kuongezeka uzito
Ila afadhali wali kuliko vyakula vya ngano kama chapati.
Maana Mimi niliumuka sana miezi iliyopita kwa sababu kila siku asubuh nilikuwa nakula chapati.
Lakini wiki mbili hizi nimeacha kula chapati nimepungua sana na kitambi kimebaki wastani tu.
 
Mazoezi yanaimarisha mwili lakini ni 20% ya kupunguza uzito. Chakula unachokula ni 80% kinachangia uzito wa mwili.
Mwili una uwezo wa kujihifadhia chakula. Tulipokuwa hunters tuliweza kukaa siku tatu au zaidi bila kupata chakula cha kutosha na mwili ulitumia akiba yake kujitosheleza.
Baada ya maendeleowya kilimo chakula kilianza kuwa kingi na mwili unahifadhi bila ziada kutumika.
The more you exercise the more you eat.
Kama unafanya mazoezi utajikuta tu unaongeza capacity ya msosi,watu tunapiga double bundle daily lakini bado vimbaombao.
 
Ila afadhali wali kuliko vyakula vya ngano kama chapati.
Maana Mimi niliumuka sana miezi iliyopita kwa sababu kila siku asubuh nilikuwa nakula chapati.
Lakini wiki mbili hizi nimeacha kula chapati nimepungua sana na kitambi kimebaki wastani tu.
Ni kweli mkuu chapati inafyonza mafuta na digestion yake ni taratibu. Huu utaratibu wa chapati mbili asubuhi nimeuacha.
 
Kitambi ni zao la Sukari(Itokanayo na soda ,juice nk),wanga(Vyakula kama wali,ugali chips ,maandazi ,chapati etc)

1.Kwa wale wafanyakazi nzito za kubeba zege,magunia sokoni huwa si waathirika wa vitambi sana,ila wale maafisa wa Bank ,na watumishi au wafanyabiashara wanakuwa na vitambi na magonjwa yasiyoambukiza kama Diabetes type 2,BP,Bad Cholesterol ,matatizo ya nguvu za kiume au matatizo ya overies kwa kina mama

2.Dawa ni kula kiasi na kufanya mazoezi mepesi(Unaweza usile wanga na sukari kwa asilimia 85 na mwili utafanya kazi vizuri kwa kutumia Protein na wanga kidogo ipatikanayo kwenye matunda na mboga za majani
 
Kama ni hivyo basi wanaume wengi wa mikoani wangekuwa na kitambi
 
Hii ndio siri ilinifanya nikapungua kutoka kilo 78 mpk 65 kwa miezi 4 tuu.

Now nimemaintain kwenye 65~67kg.
Una urefu size gani mkuu?? Kama ni mwanaume halaf una urefu mzur tu 78kg ni optimam,

Sasa km una urefu mzur halaf kilo zako ni 65kg mbona BMI yako itakua poor
 
Una urefu size gani mkuu?? Kama ni mwanaume halaf una urefu mzur tu 78kg ni optimam,

Sasa km una urefu mzur halaf kilo zako ni 65kg mbona BMI yako itakua poor
Mimi si mrefu na nilikuwa na 88-90 kg nilikuwa kama ka mtungi flani hivi
 
Mimi nipo na mamake Elitwege, naning'iniza miguu mpaka tumbo kwishney! Jamani njooni mpate uzoefu kwangu kupitia mama Elitwege!
@Elitwege Njoo huku uone
Maza yako anafanyiwa hivi??? Daaah hatar fayaaa mzee baba
 
Back
Top Bottom