Sababu ya wapenzi wapya kufurahiana na kuongea sana ni kwa kuwa hamjuani sana, mkishazoena na kujuana basi stori zinaisha.

Sababu ya wapenzi wapya kufurahiana na kuongea sana ni kwa kuwa hamjuani sana, mkishazoena na kujuana basi stori zinaisha.

nakumbka nilkaa kwenye mahusiano wiki moja na kuachwa shwaaa,,, mwenzangu alkua m'babe af mm ndo waleeee wa ......au bas😂😂😂😂
 
Isa wikendi, yeesi iliiiiziiii.

Hii saikolojia iliyothibitishwa.
Kitu chochote ukishakijua sana huendelei kukidadisi, unakuwa unajua ukianza hivi kitatokea hivi ama vile.

Hata kwa wapenzi ni hivyo hivyo, hakuna tofauti ya kweli kivile.

Wengine huenda mbali zaidi kiasi cha kuwachukia wenzi wao wa sasa, na kudhani kuwa hawaendani tena..... ama hawawafai kisa tu huyu mpya ni vibe kama lote.

Ni suala la muda tu, hata huyu mpya mkishakuwa mmejuana sana stori zinapungua kama sio kuisha kabisa.

Je, mnaoshauri wapenzi waimarishe mawasiliano kila wakati mnataka waongee nini?

Binafsi nashauri wapenzi wapya kutokuongea sana tangu mwanzo wa mahusiano yao, hii itapunguza kuja kuonekana penzi linaelekea kufa ikifikia stori zimeisha.

Niwatakie wikendi njema.
Ni kweli mkuu uko sahihi 80%
 
Penzi jipya hata ukiulizwa bebi umekula au unapenda chakula gani? Utaona ni swali muhimu na unaweza kutumia dakika kumi kulijibu.

[emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana na niliachwa pia kisa kapata penzi jipya usiku mzima siku ipo busy wanaongea nikipiga inatumika akipokea anakasirika anasem anaongea na mama ilibd tu nijiongeze hata kama nilimpenda maskini mtoto wa watu nikampa na block.
 
Back
Top Bottom