steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Tumeshuhudia kundi kubwa la wastaafu kuishi maisha magumu baada ya kustaafu hii husababishwa na mambo kadhaa miongoni mwa mambo yafuatayo
Kutojiandaa kustaafu
Wafanyajazi wengi huwa hawajiandai kustaafu na wamekuwa wakiishi maisha kama watakuwa waajiriwa maisha yao yote hali inayopelekea kutojijengea misingi ya namna ya kuishi baada ya kustaafu..
Kuegemea mshahara pekee
Hii ni sababu nyingine wafanyakazi wengi hutegemea mshahara wake pekee katika kuendesha maisha anakuwa hana kitegauchumi kingine kitakachompatia pesa baada ya kustaafu
Mshahara milioni, matumizi milioni
Hii hutokea wafanyakazi wengi hutumia mshahara wake wote anaoupata kiasi chakutokuwa na akiba hali inayopelekea kuwa na control ndogo ya pesa mfano anafanyakazi kwa mwez anatumia milioni akistaafu na kszini haendi inamaana matumizi yatazidi milioni moja baada ya muda kupoteza pesa zote za kiinua mgongo
Kufungua biashara baada ya kustaafu
Mtu hajawahi kuwa na biashara hajui changamoto za biashara akistaafu ndiyo anafungua biashara tena baada ya kushauliwa biashara ya kufanya na unavyojua kila biashara inalipa ukisimuliwa kwakuwa hana uzoefu anajikuta anashindwa kuendesha biashara mwisho anapoteza pesa
Hivyo basi mwajiliwa ukianza biashara ukiwa kazini kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa baada ya kustaafu maana kuruka sarakasi hawajifunzi ukubwani.
Kutojiandaa kustaafu
Wafanyajazi wengi huwa hawajiandai kustaafu na wamekuwa wakiishi maisha kama watakuwa waajiriwa maisha yao yote hali inayopelekea kutojijengea misingi ya namna ya kuishi baada ya kustaafu..
Kuegemea mshahara pekee
Hii ni sababu nyingine wafanyakazi wengi hutegemea mshahara wake pekee katika kuendesha maisha anakuwa hana kitegauchumi kingine kitakachompatia pesa baada ya kustaafu
Mshahara milioni, matumizi milioni
Hii hutokea wafanyakazi wengi hutumia mshahara wake wote anaoupata kiasi chakutokuwa na akiba hali inayopelekea kuwa na control ndogo ya pesa mfano anafanyakazi kwa mwez anatumia milioni akistaafu na kszini haendi inamaana matumizi yatazidi milioni moja baada ya muda kupoteza pesa zote za kiinua mgongo
Kufungua biashara baada ya kustaafu
Mtu hajawahi kuwa na biashara hajui changamoto za biashara akistaafu ndiyo anafungua biashara tena baada ya kushauliwa biashara ya kufanya na unavyojua kila biashara inalipa ukisimuliwa kwakuwa hana uzoefu anajikuta anashindwa kuendesha biashara mwisho anapoteza pesa
Hivyo basi mwajiliwa ukianza biashara ukiwa kazini kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa baada ya kustaafu maana kuruka sarakasi hawajifunzi ukubwani.