Sababu ya Watanzania kuidharau Kenya

Swahili_Patriot

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
358
Reaction score
831
Mimi ni Mtanzania asilimia mia ila kutokana na mitihani ya maisha, nikipata fursa (bhati) ya kusomea Kenya kutoka primary at Kisii-gesima _Mosobeti way, Dorcas Academy, Secondary at Nyari Sstate, Karura SDA, uni mku theka. Ninaijua Kenya vzuri kwa miaka na mijukuu.

Sikatai Kenya ipo mbali sana mbele yetu, ukitaka kuamini hili angalia GDP yao against yetu. Huo ni ukweli asilimia 100βœ“βœ“, hili linathibitishwa kwa ubora wa elimu yenu, miundombinu bora nk.

However, Kenya mna udhaifu mkubwa kwenye kuchagua wasimamizi wenu wa seriakali. Upungufu huu unaleta udhaifu mkubwa kwenye utekelezaji wenu wa miradi kikubwa ya maendeleo. Wizi umekithiri serikalini hadi kuwafanya kushindwa kutekeleza miradi mikubwa.

Mfano, hivi tangu Uhuru alipoingia, miradi mikubwa aloitekeleza imefika hata mitano? Hio miradi ina athari gani nchini Kenya? Inaskitisha kuwa, tukipotezea Kenya kushindwa kutekeleza asilimia kubwa ya miradi yake mikubwa kutokana na ubadhilifu wa fedha, ila baadhi ya miradi mingi ya Kenya huwa na athari hasi, (negative impacts) katika uchumi wa Kenya.

Hili ni tofauti na Tanzania. Hatukatai sisi pia tuna madhaifu yetu ambayo kila mtu anajua, ila ubadhirifu kwetu ni wa siri sana. Tunatekeleza miradi mikubwa na ya kisasa inayoendana n wakati, hatupendi mtumba kama, na miradi karibia yote huwa na athari chanya punde tu inapoanza kazi. Hii ndio tofauti yetu kubwa.

Ni sawa Kenya mna barabara, madaraja ni vitu vingine vizuri zaidi. Watanzania tunaipata jeuri yetu tukiona kunaitekeleza miradi mikubwa na ya kisasa kuliko Kenya na kwa ufanisi mkubwa, tukitumia bajeti ndogo kuliko Kenya iliyojenga au inayotekeleza miradi ya gharama yenye ubora wa kunyooshwa vidole.

Kwaivyo, licha ya Kenya kuwa mbele yetu, sisi tunajiona tupo juu yenu kutokana na kutekeleza miradi mikubwa inayoendana na wakati ilhali nyinyi mingi yenu ni chakavu kutokana na time ilojengwa, miradi yetu mingi kuwa bora kuliko mliyonayo by far, pesa tunayoitumia kujenga miradi yetu ya dhahabu kuwa ni ndogo kuliko pesa mnayoitumia kujenga miradi yenu ya kawaida, ufisadi kwetu kupungua ilhali Kenya mnaenda kumuelect, vyote ni vya mtoto, kinachotupa jeiri zaidi ni kuushuhudia uchumi wa Tanzania ukipaa nyinyi mkijikongoja.
Wakenya, kumbukeni hakuna lenye mwanzo bila mwisho.

Endeleeni kulala na ipo cku tutawaacha mking'ethia ng'ethia au amkeni mapewa muupe ushindani πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ kwa maisha bora n maendeleo ya nchi.
 
Kenya is full corrupted,kupima corona 5k-8k sio bure and pesa ya covid 19 ipo tumboni kwa raia
Bro, ckutoa ushahidi maana ctaki kumuaibisha mtu, kuna jamaa alinunua peni ya plastiki Ile ya buku tz, ksh. 5000 bayo ni sawa na tsh123,000, kikombe cha maziwa k5000 - tsh 223,000 na yuyo huyo alinunua wheelbarrow πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚cji nisisemeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, ksh 200,000 ambayo dar labda 50,000-120,000. Io pesa kwa tsh 4,900,000, cha ajabu moja kati ya izo wheelbarrow iliharibika after just a week, lilivunjika kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hata nikimaliza chuo, Kenya sihami maana na mimi nikiajiriwa tu nitapiga pesa nitajirike nirudi sinzaaaaaa kula bom n wakush wenzanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😁😁I have a relative in Kenya, maisha yao ni full kuhonga, trafic faini akuandikie au umpe nusu ya faini mkononi akuachie
 

Mkuu tujuane baasi Unasoma Kenya?
 
Pale mkenya anapotaka kuikosoa Kenya kwa kujifanya mtz
 

Wewe ni Mkenya, sio Mtanzania.

Tena koma.

Mtanzania hana kiswahili kibovu hivyo.
 
Wewe ni Mkenya, sio Mtanzania.

Tena koma.

Mtanzania hana kiswahili kibovu hivyo.
Sio Tu Kwa maneno, Nina vielelezo vyote Kwa kuthibitisha uraia wangu....una jipya? Mihuri io apo ya namanga n passport no ya tz
 

Attachments

  • IMG_20200719_111246.jpg
    158.6 KB · Views: 2
Wewe ni Mkenya, sio Mtanzania.

Tena koma.

Mtanzania hana kiswahili kibovu hivyo.
Wakati mungine usilete ubishi wa kichoko Kwa kitu usichokuwa n uhakika nacho taira wewe.
Nilitumia Kiswahili maana nilitaka kueleweka n kila mtu, wewe n waliosoma pia. Kama kimepinda kawaida, hata wamakonde hawakiongei vzuri
 
Sio Tu Kwa maneno, Nina vielelezo vyote Kwa kuthibitisha uraia wangu....una jipya? Mihuri io apo ya namanga n passport no ya tz

Are you this stupid?

So ukituma picha za passport na mihuri ambazo zipo kibao online "google" ni uthibitisho wewe ni Mtanzania?

Dont quote me again if you are this stupid.
 
Wakati mungine usilete ubishi wa kichoko Kwa kitu usichokuwa n uhakika nacho taira wewe.
Nilitumia Kiswahili maana nilitaka kueleweka n kila mtu, wewe n waliosoma pia. Kama kimepinda kawaida, hata wamakonde hawakiongei vzuri

Sio "taira" ni "Taahira".

Wamakonde ni matamshi yao tu, ila wanakielewa vyema -- hii pia ni uthibitisho tosha, huijui Tanzania na Watanzania vizuri.

Kiswahili chako ni kibovu kujifanya Mtanzania, ila unajitahidi compared to other silly Kenyans.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…