Sababu ya Watanzania kuidharau Kenya

Sababu ya Watanzania kuidharau Kenya

Sio "taira" ni "Taahira".

Wamakonde ni matamshi yao tu, ila wanakielewa vyema -- hii pia ni uthibitisho tosha, huijui Tanzania na Watanzania vizuri.

Kiswahili chako ni kibovu kujifanya Mtanzania, ila unajitahidi compared to other silly Kenyans.
Anything new mr genius?
 

Attachments

  • IMG_20200719_113229.jpg
    IMG_20200719_113229.jpg
    119.8 KB · Views: 2
Are you this stupid?

So ukituma picha za passport na mihuri ambazo zipo kibao online "google" ni uthibitisho wewe ni Mtanzania?

Dont quote me again if you are this stupid.
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot
 
uwezi ukapost your personal ducuments ili kuwaaminisha watu usio wajua kuwa wew ni mtanzania.. Niamini mimi wewe ni mpumbavu
Katumie io leseni kupata kipato au kufanya uhalifu wowote. Usiwe mpumbavu, kuna sensitive n insensitive documents taira wewe. Hujawai kujiuliza kwann vitambulisho vinaitwa vitambulisho n vina picha au unavitaja n kuvitumia unapoenda ofisi za serikali tu? Nimetumia vitambulisho vyangu kujitambulisha nimopoteza nn au nimempa nani faida? Sio lazima mmcoment, nyamazeni tu mnazidisha pumba sasa
 
Mimi ni Mtanzania asilimia mia ila kutokana na mitihani ya maisha, nikipata fursa (bhati) ya kusomea Kenya kutoka primary at Kisii-gesima _Mosobeti way, Dorcas Academy, Secondary at Nyari Sstate, Karura SDA, uni mku theka. Ninaijua Kenya vzuri kwa miaka na mijukuu.

Sikatai Kenya ipo mbali sana mbele yetu, ukitaka kuamini hili angalia GDP yao against yetu. Huo ni ukweli asilimia 100✓✓, hili linathibitishwa kwa ubora wa elimu yenu, miundombinu bora nk.

However, Kenya mna udhaifu mkubwa kwenye kuchagua wasimamizi wenu wa seriakali. Upungufu huu unaleta udhaifu mkubwa kwenye utekelezaji wenu wa miradi kikubwa ya maendeleo. Wizi umekithiri serikalini hadi kuwafanya kushindwa kutekeleza miradi mikubwa.

Mfano, hivi tangu Uhuru alipoingia, miradi mikubwa aloitekeleza imefika hata mitano? Hio miradi ina athari gani nchini Kenya? Inaskitisha kuwa, tukipotezea Kenya kushindwa kutekeleza asilimia kubwa ya miradi yake mikubwa kutokana na ubadhilifu wa fedha, ila baadhi ya miradi mingi ya Kenya huwa na athari hasi, (negative impacts) katika uchumi wa Kenya.

Hili ni tofauti na Tanzania. Hatukatai sisi pia tuna madhaifu yetu ambayo kila mtu anajua, ila ubadhirifu kwetu ni wa siri sana. Tunatekeleza miradi mikubwa na ya kisasa inayoendana n wakati, hatupendi mtumba kama, na miradi karibia yote huwa na athari chanya punde tu inapoanza kazi. Hii ndio tofauti yetu kubwa.

Ni sawa Kenya mna barabara, madaraja ni vitu vingine vizuri zaidi. Watanzania tunaipata jeuri yetu tukiona kunaitekeleza miradi mikubwa na ya kisasa kuliko Kenya na kwa ufanisi mkubwa, tukitumia bajeti ndogo kuliko Kenya iliyojenga au inayotekeleza miradi ya gharama yenye ubora wa kunyooshwa vidole.

Kwaivyo, licha ya Kenya kuwa mbele yetu, sisi tunajiona tupo juu yenu kutokana na kutekeleza miradi mikubwa inayoendana na wakati ilhali nyinyi mingi yenu ni chakavu kutokana na time ilojengwa, miradi yetu mingi kuwa bora kuliko mliyonayo by far, pesa tunayoitumia kujenga miradi yetu ya dhahabu kuwa ni ndogo kuliko pesa mnayoitumia kujenga miradi yenu ya kawaida, ufisadi kwetu kupungua ilhali Kenya mnaenda kumuelect, vyote ni vya mtoto, kinachotupa jeiri zaidi ni kuushuhudia uchumi wa Tanzania ukipaa nyinyi mkijikongoja.
Wakenya, kumbukeni hakuna lenye mwanzo bila mwisho.

Endeleeni kulala na ipo cku tutawaacha mking'ethia ng'ethia au amkeni mapewa muupe ushindani 🔥🔥🔥 kwa maisha bora n maendeleo ya nchi.
Mbona wakenya mnatumia nguvu nyingi hivi kwenye mambo ya kipumbavu? Hii nguvu mngewekeza kupambana na Corona

Huhitaji nguvu nyingi in impressing Tanzanians sisi sio wawekezaji wala watalii wenye mpango na shithole yenu
 
Are you this stupid?

So ukituma picha za passport na mihuri ambazo zipo kibao online "google" ni uthibitisho wewe ni Mtanzania?

Dont quote me again if you are this stupid.
Hahahaha mungiki huyo attention seeker

Sijui kwanini wakenya hawapendi kuitwa wakenya, they are struggling too hard to be Tanzanians
 
Mimi ni Mtanzania asilimia mia ila kutokana na mitihani ya maisha, nikipata fursa (bhati) ya kusomea Kenya kutoka primary at Kisii-gesima _Mosobeti way, Dorcas Academy, Secondary at Nyari Sstate, Karura SDA, uni mku theka. Ninaijua Kenya vzuri kwa miaka na mijukuu.

Sikatai Kenya ipo mbali sana mbele yetu, ukitaka kuamini hili angalia GDP yao against yetu. Huo ni ukweli asilimia 100✓✓, hili linathibitishwa kwa ubora wa elimu yenu, miundombinu bora nk.

However, Kenya mna udhaifu mkubwa kwenye kuchagua wasimamizi wenu wa seriakali. Upungufu huu unaleta udhaifu mkubwa kwenye utekelezaji wenu wa miradi kikubwa ya maendeleo. Wizi umekithiri serikalini hadi kuwafanya kushindwa kutekeleza miradi mikubwa.

Mfano, hivi tangu Uhuru alipoingia, miradi mikubwa aloitekeleza imefika hata mitano? Hio miradi ina athari gani nchini Kenya? Inaskitisha kuwa, tukipotezea Kenya kushindwa kutekeleza asilimia kubwa ya miradi yake mikubwa kutokana na ubadhilifu wa fedha, ila baadhi ya miradi mingi ya Kenya huwa na athari hasi, (negative impacts) katika uchumi wa Kenya.

Hili ni tofauti na Tanzania. Hatukatai sisi pia tuna madhaifu yetu ambayo kila mtu anajua, ila ubadhirifu kwetu ni wa siri sana. Tunatekeleza miradi mikubwa na ya kisasa inayoendana n wakati, hatupendi mtumba kama, na miradi karibia yote huwa na athari chanya punde tu inapoanza kazi. Hii ndio tofauti yetu kubwa.

Ni sawa Kenya mna barabara, madaraja ni vitu vingine vizuri zaidi. Watanzania tunaipata jeuri yetu tukiona kunaitekeleza miradi mikubwa na ya kisasa kuliko Kenya na kwa ufanisi mkubwa, tukitumia bajeti ndogo kuliko Kenya iliyojenga au inayotekeleza miradi ya gharama yenye ubora wa kunyooshwa vidole.

Kwaivyo, licha ya Kenya kuwa mbele yetu, sisi tunajiona tupo juu yenu kutokana na kutekeleza miradi mikubwa inayoendana na wakati ilhali nyinyi mingi yenu ni chakavu kutokana na time ilojengwa, miradi yetu mingi kuwa bora kuliko mliyonayo by far, pesa tunayoitumia kujenga miradi yetu ya dhahabu kuwa ni ndogo kuliko pesa mnayoitumia kujenga miradi yenu ya kawaida, ufisadi kwetu kupungua ilhali Kenya mnaenda kumuelect, vyote ni vya mtoto, kinachotupa jeiri zaidi ni kuushuhudia uchumi wa Tanzania ukipaa nyinyi mkijikongoja.
Wakenya, kumbukeni hakuna lenye mwanzo bila mwisho.

Endeleeni kulala na ipo cku tutawaacha mking'ethia ng'ethia au amkeni mapewa muupe ushindani 🔥🔥🔥 kwa maisha bora n maendeleo ya nchi.
Nimefika Kenya na kutembelea Mombasa, Nairobi na Kisumu miji yao mikubwa, yote ipo duni sana na michafu na masikini wengi zaidi, waporaji na wezi wengi zaidi, slams nyingi zaidi. Kenya haipo mbali na sisi hata kidogo, tembea nchini kwako uone.
 
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot

If I know something by the name of "bragging", ooh yes, I do.

I never bragged about anything nor have I said a thing about myself.
 
Pale mpumbavu mmoja anapojaribu kuthibitisha upumbavu wake kwa mtu anayeishi sinza Mori aking'ang'ania eti ni mkenya. Bro Kwanza we unakaa wapi? Sio tandale au mkoani kweli?
Pale shoga la MMU linapokuja kwenye nyuzi za wanaume huku kasahau kufuta lipsticks mdomoni
 
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot
Naona unatumia jina "kid"ni kama kutumia neno " boy"
Ukisikia kijana wa kiume anajiita "kid" eg rich kid au rich boy ogopa sana
 
Watu kama wajumbe vile, jamaa kaweka mpaka IDs lakini watu bado wamemkataa kuwa sio mTZ. Sio fresh
 
Sio "taira" ni "Taahira".

Wamakonde ni matamshi yao tu, ila wanakielewa vyema -- hii pia ni uthibitisho tosha, huijui Tanzania na Watanzania vizuri.

Kiswahili chako ni kibovu kujifanya Mtanzania, ila unajitahidi compared to other silly Kenyans.
Lakini kumbukeni amesema amesoma huko kuanzia shule ya msingi hadi secondary, kwahiyo ni rahisi kunasa lafudhi ya Kenya kuliko Tanzania.
 
Back
Top Bottom