Sababu ya Watanzania kuidharau Kenya

Sio "taira" ni "Taahira".

Wamakonde ni matamshi yao tu, ila wanakielewa vyema -- hii pia ni uthibitisho tosha, huijui Tanzania na Watanzania vizuri.

Kiswahili chako ni kibovu kujifanya Mtanzania, ila unajitahidi compared to other silly Kenyans.
Anything new mr genius?
 

Attachments

  • IMG_20200719_113229.jpg
    119.8 KB · Views: 2
Are you this stupid?

So ukituma picha za passport na mihuri ambazo zipo kibao online "google" ni uthibitisho wewe ni Mtanzania?

Dont quote me again if you are this stupid.
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot
 
Umepataje sonona ukiwa na miaka 22. Dah!
 
uwezi ukapost your personal ducuments ili kuwaaminisha watu usio wajua kuwa wew ni mtanzania.. Niamini mimi wewe ni mpumbavu
Katumie io leseni kupata kipato au kufanya uhalifu wowote. Usiwe mpumbavu, kuna sensitive n insensitive documents taira wewe. Hujawai kujiuliza kwann vitambulisho vinaitwa vitambulisho n vina picha au unavitaja n kuvitumia unapoenda ofisi za serikali tu? Nimetumia vitambulisho vyangu kujitambulisha nimopoteza nn au nimempa nani faida? Sio lazima mmcoment, nyamazeni tu mnazidisha pumba sasa
 
Mbona wakenya mnatumia nguvu nyingi hivi kwenye mambo ya kipumbavu? Hii nguvu mngewekeza kupambana na Corona

Huhitaji nguvu nyingi in impressing Tanzanians sisi sio wawekezaji wala watalii wenye mpango na shithole yenu
 
Are you this stupid?

So ukituma picha za passport na mihuri ambazo zipo kibao online "google" ni uthibitisho wewe ni Mtanzania?

Dont quote me again if you are this stupid.
Hahahaha mungiki huyo attention seeker

Sijui kwanini wakenya hawapendi kuitwa wakenya, they are struggling too hard to be Tanzanians
 
Nimefika Kenya na kutembelea Mombasa, Nairobi na Kisumu miji yao mikubwa, yote ipo duni sana na michafu na masikini wengi zaidi, waporaji na wezi wengi zaidi, slams nyingi zaidi. Kenya haipo mbali na sisi hata kidogo, tembea nchini kwako uone.
 
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot

If I know something by the name of "bragging", ooh yes, I do.

I never bragged about anything nor have I said a thing about myself.
 
Pale mpumbavu mmoja anapojaribu kuthibitisha upumbavu wake kwa mtu anayeishi sinza Mori aking'ang'ania eti ni mkenya. Bro Kwanza we unakaa wapi? Sio tandale au mkoani kweli?
Pale shoga la MMU linapokuja kwenye nyuzi za wanaume huku kasahau kufuta lipsticks mdomoni
 
So you've already measured my intelligence! Genius uh!
Do you know something by the name 'bragging?' Check in the dictionary n try to change that personality which has made you an architect in dismantling your own public image. Idiot
Naona unatumia jina "kid"ni kama kutumia neno " boy"
Ukisikia kijana wa kiume anajiita "kid" eg rich kid au rich boy ogopa sana
 
Watu kama wajumbe vile, jamaa kaweka mpaka IDs lakini watu bado wamemkataa kuwa sio mTZ. Sio fresh
 
Sio "taira" ni "Taahira".

Wamakonde ni matamshi yao tu, ila wanakielewa vyema -- hii pia ni uthibitisho tosha, huijui Tanzania na Watanzania vizuri.

Kiswahili chako ni kibovu kujifanya Mtanzania, ila unajitahidi compared to other silly Kenyans.
Lakini kumbukeni amesema amesoma huko kuanzia shule ya msingi hadi secondary, kwahiyo ni rahisi kunasa lafudhi ya Kenya kuliko Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…