Sijaona sababu ya kumkataa jamaa kama ni mtanzania na vielelezo katoa sielewi watu wanakerekwa na nini?sisi tumesoma hapa na bado hatuna kiswahili safi,sio kimaandishi tu hata kimatamshi.Sio sawa.
Wakati mungine usilete ubishi wa kichoko Kwa kitu usichokuwa n uhakika nacho taira wewe.
Nilitumia Kiswahili maana nilitaka kueleweka n kila mtu, wewe n waliosoma pia. Kama kimepinda kawaida, hata wamakonde hawakiongei vzuri