Sababu za Boniface Jackob kunyimwa Dhamana zinazidisha hoja ya Wanaoidharau Mahakakama ya Tanzania, Inatumika kijinga sana!

Sababu za Boniface Jackob kunyimwa Dhamana zinazidisha hoja ya Wanaoidharau Mahakakama ya Tanzania, Inatumika kijinga sana!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini

Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa maandamano ya hadharani, bado ikakubali kuzuia dhamana yake, huu ulikuwa uamuzi wa kupigiwa simu kutoka juu kama alivyowahi kusema Rostam Aziz

Baada ya kugundua makosa yao kwenye pingamizi lao la kuomba Mahakama iamuru Bonny Dongo awape polisi Password ya mitandao yake, walipojua wataangukia pua wakaliondoa, na kuleta ombi la uongo wa wazi eti kwamba Bonny amemuomba RCO wa Kinondoni eti aendelee kubaki selo ili kulinda usalama wake.

Hakika wanaoidharau Mahakama ya Tanzania wasipuuzwe, inatumika kijinga sana!

Soma Pia:
 
Vipi na leo kanyimwa dhamana? Safi sana atakula jeuri yake!
 
Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini

Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa maandamano ya hadharani, bado ikakubali kuzuia dhamana yake, huu ulikuwa uamuzi wa kupigiwa simu kutoka juu kama alivyowahi kusema Rostam Aziz

Baada ya kugundua makosa yao kwenye pingamizi lao la kuomba Mahakama iamuru Bonny Dongo awape polisi Password ya mitandao yake, walipojua wataangukia pua wakaliondoa, na kuleta ombi la uongo wa wazi eti kwamba Bonny amemuomba RCO wa Kinondoni eti aendelee kubaki selo ili kulinda usalama wake, na Mahakama eti ikapokea huo ujinga, Yaani RCO ambaye mara zote amejaribu kupanga njama za kumteka na kumuua Bonny eti leo aombwe na Bonny ili amlinde!

Hakika wanaoidharau Mahakama ya Tanzania wasipuuzwe, inatumika kijinga sana!
Mwache apunguzwe mashavu yale. Anavimba sana.
 
Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini

Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa maandamano ya hadharani, bado ikakubali kuzuia dhamana yake, huu ulikuwa uamuzi wa kupigiwa simu kutoka juu kama alivyowahi kusema Rostam Aziz

Baada ya kugundua makosa yao kwenye pingamizi lao la kuomba Mahakama iamuru Bonny Dongo awape polisi Password ya mitandao yake, walipojua wataangukia pua wakaliondoa, na kuleta ombi la uongo wa wazi eti kwamba Bonny amemuomba RCO wa Kinondoni eti aendelee kubaki selo ili kulinda usalama wake.

Hakika wanaoidharau Mahakama ya Tanzania wasipuuzwe, inatumika kijinga sana!

Soma Pia:
Mbona Bashite bosi serikalini alitutahadharisha wananchi kuhusu kupenda kukimbilia mahakama zetu! Mahakama zenyewe zilimuelewa vizuri zikaamua kukaa kimya. Pia kuna jaji mkuu mstaafu mwenye rangi ya dipiwelidi, aliwahi kumwambia mwendazake kuhusu wao kupata wakati mgumu wa kutoa hukumu kulingana na vimemo wanavyotumiwa.
 
Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini

Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa maandamano ya hadharani, bado ikakubali kuzuia dhamana yake, huu ulikuwa uamuzi wa kupigiwa simu kutoka juu kama alivyowahi kusema Rostam Aziz

Baada ya kugundua makosa yao kwenye pingamizi lao la kuomba Mahakama iamuru Bonny Dongo awape polisi Password ya mitandao yake, walipojua wataangukia pua wakaliondoa, na kuleta ombi la uongo wa wazi eti kwamba Bonny amemuomba RCO wa Kinondoni eti aendelee kubaki selo ili kulinda usalama wake.

Hakika wanaoidharau Mahakama ya Tanzania wasipuuzwe, inatumika kijinga sana!

Soma Pia:
Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo yaani anaongeza uwezo wa kufikiri, (kutafsiri kumbukumbu alizo hifadhi katika ubongo wake),, kuweza kukabiliana na changamoto
 
Yaleyale ya Jaji mstaafu sinde WARIOBA ,ukiona mihimili miwili inahudhuria shughuli ya muhimili mwingine

Tambua hiyo miwili mingine panauozo
Wanapanda chuki kubwa sana na kufanya mahakama idharaulike, Ndio maana majaji Wetu hawawezi kutumika nje ya Nchi, wanaonekana kama Wana CCM Tu. Huu ni upumbavu wa Hali ya juu Sana
 
Kipindi anaandika taarifa za uongo ukimuona mwache apate joto kwanza akili ikawe sawa
 
Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini

Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa maandamano ya hadharani, bado ikakubali kuzuia dhamana yake, huu ulikuwa uamuzi wa kupigiwa simu kutoka juu kama alivyowahi kusema Rostam Aziz

Baada ya kugundua makosa yao kwenye pingamizi lao la kuomba Mahakama iamuru Bonny Dongo awape polisi Password ya mitandao yake, walipojua wataangukia pua wakaliondoa, na kuleta ombi la uongo wa wazi eti kwamba Bonny amemuomba RCO wa Kinondoni eti aendelee kubaki selo ili kulinda usalama wake.

Hakika wanaoidharau Mahakama ya Tanzania wasipuuzwe, inatumika kijinga sana!

Soma Pia:
pole sana chifu
 
Back
Top Bottom