Sababu za Boniface Jackob kunyimwa Dhamana zinazidisha hoja ya Wanaoidharau Mahakakama ya Tanzania, Inatumika kijinga sana!

Wanapanda chuki kubwa sana na kufanya mahakama idharaulike, Ndio maana majaji Wetu hawawezi kutumika nje ya Nchi, wanaonekana kama Wana CCM Tu. Huu ni upumbavu wa Hali ya juu Sana
Majaji wanatumika sana tu nje ya nchi na anga za kimataifa
 
Kumbuka kuwa Mwendazake aliwahi kusema Serikali ndio muhimili wenye mizizi iliyojichimbia sana (mirefu) na ndio muhimili unaotoa fedha na kugawia mihimili mingine Bunge na Mahakama

Maana yake nini? Kwamba Serikali ikitaka jambo lake kutoka mihimili mingine hawawezi kukwamisha

Mahakama wa Bunge hawana ubavu wa kuitunshia musuri Serikali ikitaka jambo lake umuhimu wa katiba mpya unakuja hapo ili kuipa sheria zinaipa nguvu na mamlaka mihimili mingine isiingiliwe na Serikali

Ndio maana mihimili mingine haiko huru haina meno inaburuzwa na Muhimili wenye mizizi mirefu by Magu hapo pengine Serikali inataka tu kukomoa Boniface

Hili jina la Boni Yai asili yake nini? Nauliza tu lakini nipate jibu ingawa sio kwa umuhimu
 
Kwa hiyo wewe kwa akili yako unataka wakukaya atoke aje uraiani wakati ameshasema anaomba aendelee kubaki ndani kwa usalama wake? Bila shaka itakuwa ni wale wapinzani wake kwenye Uwenyekiti wa kanda
 
Huwa unachekesha
 
Tuwache sheria ifate mkondo wake.

Mmeishiwa mitaani na sasa mnaishiwa mahakamani.
 
 

Attachments

  • IMG-20240926-WA0053.jpg
    145 KB · Views: 1
Kama wao polisi ndio kazi Yao ya kulinda watu na Mali zao si ndio wamlinde Sasa kama wamejua Hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…