Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Naunga mkono hojaCCM ni chama cha ukombozi, na vyama vingi vilivyopigania Uhuru wa nchi zao havipo tena madarakani lakini CCM bado ipo tu.
Yafuatayo ni baadhi ya michango iliyosababisha CCM iendelee kubaki madarakani:
1. Haina ubaguzi mkubwa wa wananchi wake: Baada ya uchaguzi kwisha Hakuna tofauti kimaisha kati ya walioichagua CCM na wasioipenda CCM,
CCM ni wabuguzi sn, angalia issue za ajira, elimu, teuzi n.kKwani unailinganisha serikali ya CCM na serikali gani nyingine iliyowahi kuwepo Tanzania? unaposema haina ubaguzi mkubwa kwa wananchi, ni serikali gani imewahi kuwa na ubaguza kwa wananchi Tanzania?
CCM wamechimba kisima wapi? labda walimchimbia mumeoShida ya vyama vya upinzani ni moja tu, viongozi na wananchi wamejitenga kama maji na mafuta. Hii ni kutokana na viongozi wao kuonekana kama wanaweza kurudi CCM wakati wowote kama vile Lowassa, Slaa, Sumaye, na wengine weeengi walioenda kuunga juhudi viongozi wa ccm. Viongozi na wabunge wa upinzani wanajilimbikizia mali wao wenyewe. Hii ndio maana hata viongozi wakikamatwa na kuwekwa ndani hakuna mwananchi wa kawaida anaejali, maana hawagusi maisha yao ya kila siku kwa lolote kwa chochote. Luzuku haijawahi kuchimba hata kisima kimoja cha maji cha mfano kwenye kijiji/mtaa mmoja, wanakula tu na kumtunzia Mtei na familia yake.
3, 5, na 6 ndio zenyewe.CCM ni chama cha ukombozi, na vyama vingi vilivyopigania Uhuru wa nchi zao havipo tena madarakani lakini CCM bado ipo tu.
Yafuatayo ni baadhi ya michango iliyosababisha CCM iendelee kubaki madarakani:
Uko sahihi kabisa kwa asilimia 100.CCM ni chama cha ukombozi, na vyama vingi vilivyopigania Uhuru wa nchi zao havipo tena madarakani lakini CCM bado ipo tu.
Yafuatayo ni baadhi ya michango iliyosababisha CCM iendelee kubaki madarakani:
1. Haina ubaguzi mkubwa wa wananchi wake: Baada ya uchaguzi kwisha Hakuna tofauti kimaisha kati ya walioichagua CCM na wasioipenda CCM, wote wanakufa njaa au wote wanashiba. Hakuna maduka, usafiri, mbolea wala masoko ya wanaCCM na wapinzani.
2. Kuruhusu uholela kwa wananchi: CCM na serikali wake inaruhusu watu wajifanyie mambo yao bila bughuza hata bila kufuata utaratibu, kanuni na sheria. Imeruhusu watu kulima, kufuga, kuvua, kuchimba, kuwinda, kujenga, kuua, kununua, kulipa, kuuza na kununua na kuendesha magari kiholela. Waliiweka serikali na sheria mbali na shughuli za wananchi wake, hivyo watu hawaipati harufu ya uwepo wa serikali na sheria kwenye maisha yao, hivyo hawaoni ubaya wa CCM na uzuri wa vyama vya upinzani. Siku CCM itakapoanza kuwaambia watu wafuate utaratibu na sheria kwenye mambo yao yote itaondoka madarakani siku hiyohiyo.
3. Kushirikisha wanajeshi kwenye serikali na Chama: Huu ni mtaji mwingine wa CCM kuwafanya wanajeshi wawe sehemu ya maamuzi ya serikali kwao.
4. Udhaifu wa vyama vya upinzani: Viongozi wa vyama vya upinzani ni waganga njaa, hivyo uongozi ni sehemu ya ajira yao. Ndiyo maana unawaona viongozi na wabunge wa upinzani wana majumba, mashamba, makampuni, mahoteli, wanasomesha watoto wao shule bora kabisa badala ya kutumia nguvu za kiuchumi zao kujenga vyama vyao. Hii ndio inayowafanya wasione tabu hata kuhamia vyama vingine wakati wowote kufuata maslahi makubwa zaidi. Wanawatumia wananchi wanaowapigia na kulinda kura zao kama mitaji yao tu.
5. Umasikini wa wananchi: Maskini hana uchaguzi, akipewa uholela wa kuiba na kuuza hata vyuma vya madaraja, kofia na fulana inawatosha kabisa (Present is known!)
6. Tume ya uchaguzi: Tume ya uchaguzi inayoundwa na mwanaCCM mwenyewe ni vigumu kuidondosha.
Hivyo mtaji mkubwa wa CCM ni kuruhusu uholela kwa wananchi, kutobagua Watanzania, kushirikisha wanajeshi, udhaifu wa vyama vya upinzani, umaskini wa kipato, chakula na elimu wa watu na tume isiyo huru
Siku CCM ikiachana na mitaji hii 6 inaweza kuondoka chaliii
Imagine, Mabalozi wa nyumba kumi hawalipwiHaianguki kwa kuwa ni chama makini chama cha mioyo ya watu kisicho na longolongo
Matokeo yanapatika kabla Mwenyekiti wa tume hajateuliwaHebu fanya tafiti ndogo sehemu hizi ambazo ni wapiga kura wa 2025.
Vyuo vikuu
Vyuo vya kati
Machinga..
Afu urudi na majibu sahihi hapa. Na mhimu zaidi nenda kawaulize walimu juu ya chaguzi za 2015&2020.
CCM ni haipo isipokuwa ni dola ipo1: Huge resources
A. Money
B. Military
2. Poor citizens
3. Stupid propaganda machine
4. Poor education or no education
5. Witchcraft/machete rulling style
6. 90% CCM candidate they don't have good education qualification. They use no. 1, 3, and 5
Hao mabalozi hawana hata yeboyepo mpyaImagine, Mabalozi wa nyumba kumi hawalipwi
mshahara lakini wako tayari kupambana kuhakikisha CCM inashinda😀
Umekuja kuharibu hapaUko sahihi kabisa kwa asilimia 100.
Na kingine naongezea ambacho Ni muhimu zaidi Ni:
1. Nyerere kufuta kadri ya uwezo wake UKABILA.
2. Kujitahidi kupambania kupunguza au kudhibiti UDINI.
Hakuna kitu kinachounganisha watu kama MAKABILA na DINI.
MAKABILA chini ya UCHIEF.
Na DINI.
Nchi zote ambazo raia wake huwa wanaambana lazima huwa wanna kitu kinachounganisha, aidha DINI au KABILA.
Hasa nchi zenye makabila machache.
Tanzania Ni ngumu kuwaunganisha wasukuma, eti wake mbele kuandamana mpaka wapigwe risasi kwasababu ya mchagga Mbowe.
Huu Ni ukweli mchungu.
Mwisho kabisa, ukiachana na Hilo la CCM kuwahusisha wanajeshi kwenye serikali, vile vile CCM bado inayakumbatia makundi yote ya kijamii ambayo kiuhalisia yalisaidia sana lwenye harakati za Uhuru.
Makundi hayo Ni kama Vyama vya wafanyakazi, Wanawake, vijana, Viongozi wa dini, Wazee, Viongozi wa kimila, vyuo vikuu n.k
Hata Bara pia waliangukia pua..CCM ilianguka Zanzibar 2015 kwa dhahiri, akaitwa Jecha wakaandika historia..
Lakini Ni Watumishi watiifu wa CCM.Hao mabalozi hawana hata yeboyepo mpya
Wanalazimishwa siyo kwa hiari yao 2015 CCM waliiangusha mapema snLakini Ni Watumishi watiifu wa CCM.
Huo ndio UKWELI
Mkuu, sometimes achana na mihemko ya kisiasa.Wanalazimishwa siyo kwa hiari yao 2015 CCM waliiangusha mapema sn
Tatizo wewe unasikia na hujui kilichopo ndaniMkuu, sometimes achana na mihemko ya kisiasa.
Kubaliana na ukweli.