Sababu za CCM kutoanguka tangu Uhuru hadi sasa


Kwanini yatumiwe majeshi , Polisi Na usalama Na tume ya CCM Si waweke tume huru Na wasitumie vyombo vya dola tuone Kama kweli CCM inapendwa Na wananchi
 
Imagine, Mabalozi wa nyumba kumi hawalipwi
mshahara lakini wako tayari kupambana kuhakikisha CCM inashinda😀
wakati wa kampeni na uchaguzi hawa watu wana kazi muhimu sana, hawatoki hivihivi. Orodha ya watakaokwenda kupiga kura na kuhakikisha wanakwenda kupiga kura wanayo wao. Hivyo T-shirts, kofia, khanga na posho zote za kampeni zinapitia kwao.
 
w
Ruzuku ya CCM ni zaidi ya 4B per month inafanya kitu gani?
wao wana serikali hawahitaji kutumia hela yao ya ruzuku. Wanatumia ruzuku kuisimamia serikali yao na kulipa mishahara na poho kwa viongozi wa chama nchi nzima na mikutano yao
 
w

wao wana serikali hawahitaji kutumia hela yao ya ruzuku. Wanatumia ruzuku kuisimamia serikali yao na kulipa mishahara na poho kwa viongozi wa chama nchi nzima na mikutano yao
Mpikie sham ale chakula mambo ya wanaume achana nayo dada angu
 
Sababu kuu CCM kutoanguka ni utekelezaji wa chukua, weka waa........
 

7-Mzimu wa Nyamrunda aka Mwenge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…