Bora umekua mwaminifu. [emoji23][emoji23] Hawajmaaa wanatuona sisi n mazuzu yaaniWe mwenyewe umetumia SAMSUNG kupost ujumbe hapa jamvini ndio ujue itel na techno siyo simu
Mm natumia techno sababu ya mfuko wangu mfupi
Wehu tu hao hakuna simu hapoBora umekua mwaminifu. [emoji23][emoji23] Hawajmaaa wanatuona sisi n mazuzu yaani
Hizi simu ndio zile ukiweka mfukoni inajiwasha tochi yenyewe unashtuka tu kusikia paja linaungua tu taratiiiiiibu?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..
Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Ni Qualcomm,krin,Exynos au ni utopolo kutoka media tek?
Daah we jamaa muongo balaa[emoji38][emoji38][emoji38]Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..
Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Simu kama jiko la ndafu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi simu ndio zile ukiweka mfukoni inajiwasha tochi yenyewe unashtuka tu kusikia paja linaungua tu taratiiiiiibu?
Another one from MTK (mtikenge)Ni Qualcomm,krin,Exynos au ni utopolo kutoka media tek?
Anatumia simu ganiSimu kiboko ni ile ya Maria Sarungi