EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
RAM 1GB
STORAGE 16GB 😡 😡 😡
STORAGE 16GB 😡 😡 😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh?,mie nusra katume picha x kwenye family groupWeka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..
Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Itel ni simu au kibebea laini??Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda simu hiyo ambayo ni tolea jipya la itel A37 ambayo imezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.
Miongoni mwa sababu zilizoelezwa na Diamond kuhusu itel A37 ni pamoja na ubora na ukubwa wa skrini ya A37 ambayo ina 5.7” HD+ Waterdrop ikiwa ni full skrini. Kabla ya uzinduzi huo Diamond aliwaambia wafanyabiashara ambao ni wadau wa “itel A37 ni lazima niwe nayo kila siku ina skirini kubwa inatoa mwonekano bomba wa chochote ninachokitazama kwenye skrini ndio sababu naipenda sana na kizuri zaidi simu hii ina face unlock” amenukuliwa Diamond.
Kwa ufafanuzi zaidi face unlock ni mbadala wa fingerprint na hufanya kazi kwa ufanisi na ni salama na rahisi, ili kufungua itel A37 mtumiaji atatakiwa kutazama kwenye skrini ya A37 na simu itajifungua yenyewe.
View attachment 1751731
Mbali na hilo itel A37 imeundwa kwa namna ambayo kama mtumiaji anataka kujipiga picha maarufu sefie na asingependa kubofya kwa kidole basi anaweza kutabasamu tu mbele ya kamera ya itel A37 na hapo atakuwa tayari ameshajipiga picha.
Kikubwa zaidi itel A37 imedizainiwa ikiwa na ukanda maalum mzuri wa kuvutia (ribbon), hii inakumweka mtumiaji kwenye ulimwengu wa fasheni mahali popote anapokuwepo.
Zaidi ya hayo, simu ya itel A37 imewekewa ulinzi wa macho kwa mtumiaji, hii inajulikana kama eye care ambapo mtumiaji atatumia simu hiyo kusoma vitabu ama kutazama chochote kwa mwanga laini usio na mionzi inayoumiza macho.
Simu hii iliyozinduliwa ina rangi tatu ambazo ni, Dark Blue, Light Purple, Gradient Green.
View attachment 1751733
Taarifa zaidi tafadhali tembelea ukurasa wa instagram wa itel tanzania au bofya link hii: Login • Instagram
Maelezo mengi ila vitu muhimu kama iv kaviruka [emoji848]RAM 1GB
STORAGE 16GB 😡 😡 😡
Sio hizi A series na M seriesSimu ni sumsung tu!
Ongeza hapo kuuliza SnapdragonNi Qualcomm,krin,Exynos au ni utopolo kutoka media tek?
Kama wasukuma wanavyoamini wembe ni topaz tu.Simu ni sumsung tu!
Watu mnaponda wengine kutumia tecno, wakati mnajua hali halisi ya watanzania au wengine uchumi wenu mzuri? , mimi natumia cammon 11,mwaka wa tatu iko poa tu au mnataka nitumie kitochi nokia kwa kuwa siwezi kununua simu gharama
inaonekana ujuaji mwingi ila kichwani umejaa kamasi tui...Ni Qualcomm,krin,Exynos au ni utopolo kutoka media tek?
We baba saa kumi hii ,unaacha usingizi unakuja kutukana?inaonekana ujuaji mwingi ila kichwani umejaa kamasi tui...