Sababu za Diamond Platnumz kutumia itel A37 hizi hapa

Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..

Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Duh?,mie nusra katume picha x kwenye family group
 
Itel ni simu au kibebea laini??
 
Yaani hata atumie Trump sina mzuka kabisa la itel ilishawahi tumia simu hizi za itel zikanitesa sana unampigia mtu unaongea unakuta imezima tu bila sabababu
 
Watu mnaponda wengine kutumia tecno, wakati mnajua hali halisi ya watanzania au wengine uchumi wenu mzuri? , mimi natumia cammon 11,mwaka wa tatu iko poa tu au mnataka nitumie kitochi nokia kwa kuwa siwezi kununua simu gharama
 
Watu mnaponda wengine kutumia tecno, wakati mnajua hali halisi ya watanzania au wengine uchumi wenu mzuri? , mimi natumia cammon 11,mwaka wa tatu iko poa tu au mnataka nitumie kitochi nokia kwa kuwa siwezi kununua simu gharama

Ah wala hata ni watu wamechka kutembea na simu inapata moto kama jiko la umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…