Sababu za Diamond Platnumz kutumia itel A37 hizi hapa

Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..

Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Itel na tecno ni mapacha watoto wa baba na mama mmoja
 
Watu mnaponda wengine kutumia tecno, wakati mnajua hali halisi ya watanzania au wengine uchumi wenu mzuri? , mimi natumia cammon 11,mwaka wa tatu iko poa tu au mnataka nitumie kitochi nokia kwa kuwa siwezi kununua simu gharama
Shida sio kutumia shida ni hizi mbwembwe mingi wakati tunajua ubora wa hizo simu
 
Hakuna simu hapo, Yani Hadi mnaogopa kutaja Bei yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Itel ni sawa na voda wanapojaribu kusema ndugu mteja tumesharekebisha vifurushi endelea kufurahia nasi ila hapo hapo bundle la 1GB ni 3500 😺😺😺
 
Dah!! Itel bhana.. Hizo sim au uchafu
Asee nimehamia iPhone sahizi experience yangu ya simu na perception imebadilika kabisa! iOS v14 ni tamunyoo sana! Nilikuwa nazipondea ila kiukweli iPhone ni nyepesi na fast OS kuliko android!
 
Watu mnaponda wengine kutumia tecno, wakati mnajua hali halisi ya watanzania au wengine uchumi wenu mzuri? , mimi natumia cammon 11,mwaka wa tatu iko poa tu au mnataka nitumie kitochi nokia kwa kuwa siwezi kununua simu gharama
Wabongo kwa kuropoka mpk kero
 
Wizkid anatumia Tecno anapiga mkwanja mrefu..
 
Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..

Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
Bei ya itel A37 ni Sh. 150,000 tu.
 
Unaota wewe
 
Weka na bei niangalie uwezekano Wa kuachana na haka Katecno kangu..

Maana kamezidi kuniumbua, juzi Niko namtongoza demu kenyewe mfukoni kameshajitoa lock, kamesachi namba na kameshampigia Mama Mkwe bila Mimi kujua.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…