MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Imebainika Kenya itakua ya tatu Afrika kunufaika kutokana na kufunguliana kwa Afrika, huu ndio umuhimu wa kuwa na watu wenye hulka ya kujituma na ujasiri wa kutoka.
Afrika inabadilika, Afrika mpya isiyo ya taswira ya kuomba omba, ila Afrika ya biashara na viwanda, japo kuna baadhi wamenunia hili wakiwemo majirani zetu Tanzana, lakini kwa baadhi yetu tuna fahari sana kuona Afrika inafunguliana tukiwa hai, tunashuhudia mageuzi ya ajabu, kwamba tutapokeza hili bara kwa watoto wetu likiwa limepiga hatua na kuondokana na umaskini na ukata uliokubuhu, mkulima wa matikiti maji ana uhuru wa kuyauza kwenye mataifa yote haya bila mahangaiko.
Mliobaki nje na kununa ifike mahali muanze kutumia ubongo na sio hisia, mtafakari sana kama mpo tayari kuwa kwenye upande unaofaa wakati historia itaandikwa.
======
Kenya has been ranked third among African countries that stand to gain most from the continental free-trade zone that is expected to start work in January, Word Bank reveals.
Only Ivory Coast and Zimbabwe are said to benefit more than Kenya from the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) — the largest since the creation of the World Trade Organisation in 1994.
The World Bank reckons Kenya’s relatively developed industrial potential and human capital will give it an edge from reduced trade barriers on the continent.
Kenya is also among those that have already reduced trade costs and barriers with neighbouring countries.
“Most of AfCFTA’s income gains are likely to come from measures that cut red tape and simplify customs procedures,” the World Bank`.
“Tariff liberalisation accompanied by a reduction in non-tariff barriers — such as quotas and rules of origin —would boost income by 2.4 per cent, or about $153 billion. The remainder — $292 billion — would come from trade-facilitation measures that reduce red tape.”
AfCFTA is expected to unlock Africa’s long-stymied economic potential by boosting intra-regional trade, strengthening supply chains and spreading expertise.
The continental free-trade zone, once implemented, will bring together 1.3 billion people in a $3.4 trillion economic partnership.
The deal, which was set to commence on July 1, 2020, was expected to lower compliance costs for traders and make it easier for African businesses to integrate into global supply chains.
The AfCFTA could begin operating on January 1 next year, after the Covid-19 pandemic made its original launch date untenable.
Source: Business Daily
Afrika inabadilika, Afrika mpya isiyo ya taswira ya kuomba omba, ila Afrika ya biashara na viwanda, japo kuna baadhi wamenunia hili wakiwemo majirani zetu Tanzana, lakini kwa baadhi yetu tuna fahari sana kuona Afrika inafunguliana tukiwa hai, tunashuhudia mageuzi ya ajabu, kwamba tutapokeza hili bara kwa watoto wetu likiwa limepiga hatua na kuondokana na umaskini na ukata uliokubuhu, mkulima wa matikiti maji ana uhuru wa kuyauza kwenye mataifa yote haya bila mahangaiko.
Mliobaki nje na kununa ifike mahali muanze kutumia ubongo na sio hisia, mtafakari sana kama mpo tayari kuwa kwenye upande unaofaa wakati historia itaandikwa.
======
Kenya has been ranked third among African countries that stand to gain most from the continental free-trade zone that is expected to start work in January, Word Bank reveals.
Only Ivory Coast and Zimbabwe are said to benefit more than Kenya from the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) — the largest since the creation of the World Trade Organisation in 1994.
The World Bank reckons Kenya’s relatively developed industrial potential and human capital will give it an edge from reduced trade barriers on the continent.
Kenya is also among those that have already reduced trade costs and barriers with neighbouring countries.
“Most of AfCFTA’s income gains are likely to come from measures that cut red tape and simplify customs procedures,” the World Bank`.
“Tariff liberalisation accompanied by a reduction in non-tariff barriers — such as quotas and rules of origin —would boost income by 2.4 per cent, or about $153 billion. The remainder — $292 billion — would come from trade-facilitation measures that reduce red tape.”
AfCFTA is expected to unlock Africa’s long-stymied economic potential by boosting intra-regional trade, strengthening supply chains and spreading expertise.
The continental free-trade zone, once implemented, will bring together 1.3 billion people in a $3.4 trillion economic partnership.
The deal, which was set to commence on July 1, 2020, was expected to lower compliance costs for traders and make it easier for African businesses to integrate into global supply chains.
The AfCFTA could begin operating on January 1 next year, after the Covid-19 pandemic made its original launch date untenable.
Source: Business Daily