MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Hali yake ngumu inahusika vipi kwetu?wakati ujenzi wa Reli yetu unasonga kwa kasi ya kuridhisha!?.
Muda utaamua tu, TZ iliyumbishwa na mabadiliko ya kisera lakini sasa TZ imeamka wananchi ni wamoja pamoja na utofauti wa kisiasa ila tunaongea Lugha moja kwenye kujiletea maendeleo chini ya rais shupavu mfano wa kuigwa Africa.
Reli ilikua muanze kutumia mwaka jana, naona mnaendela na ngonjera.