Hali yake ngumu inahusika vipi kwetu?wakati ujenzi wa Reli yetu unasonga kwa kasi ya kuridhisha!?.
Muda utaamua tu, TZ iliyumbishwa na mabadiliko ya kisera lakini sasa TZ imeamka wananchi ni wamoja pamoja na utofauti wa kisiasa ila tunaongea Lugha moja kwenye kujiletea maendeleo chini ya rais shupavu mfano wa kuigwa Africa.
Wewe endelea kujikuna kalio,watu site wako busy kudeliver kitu tunachohitaji.Reli ilikua muanze kutumia mwaka jana, naona mnaendela na ngonjera.
Hebu mjibu jamaa kwa hoja hapo juu, nikweli tuliskia kwamamba mwaka jana tulikuwa tuanze kutumia treni vp?Wewe endelea kujikuna kalio,watu site wako busy kudeliver kitu tunachohitaji.
Mlisikia wapi??huo mradi ulitakiwa kukabidhiwa 2020 sept.hali ya hewa imesababisha usitishwaji wa kazi kwa kipindi kirefu.ndio maana unaona tumeachwa na muda.Hebu mjibu jamaa kwa hoja hapo juu, nikweli tuliskia kwamamba mwaka jana tulikuwa tuanze kutumia treni vp???
Kila nchi ipo huru kufuata inachoamini. Msitulazimishe, mbona mnafunga mioaka biala kushauriana na wenzenu na hakuna anaewaulizaMliobaki nje na kununa ifike mahali muanze kutumia ubongo na sio hisia, mtafakari sana kama mpo tayari kuwa kwenye upande unaofaa wakati historia itaandikwa.
JPM kawa tishio kwa marais wote wa EA anafanya marais wengine waonekane ni takatakaHakuna cha kuongeza umemaliza, waache waendelee kufurahia visivyo vyao, TZ inasonga kwa kasi watu wanabadilika kwa kiwango cha juu mno, msipende sana kubishana na watu wanaoionea wivu TZ, tulichelewa kweli lakini sasa tunawawashia taa ya kuovertake ndio maana wanahangaika kila kukicha kuangalia madhaifu na mafanikio yetu - ukweli ni kwamba WANATISHWA NA MWENDO WA TZ, Ahsante Watanzania, Ahsante Magufuli.
Clearly, you're illiterateBidhaa gani za Wakenya?
Biashara ya maua ni Mali ya Muzungu toka Uingereza
Biashara ya Chai ni Mali ya Muzungu
Viwanda na Makampuni ni Mali za Wazungu, Wahindi, Wasomali na Kenyatta Family,
Hospitality Industry owned by Italians
Even the Aviation sector,
What do these folks own?
Land is also owned by Wazungu and Uhuru Kenyatta Family
Black Kenyans are cheap labour in these sectors,
All they can achieve upon their retirement is a 20*30 plot of land that appears to be a great Achievement to these wicked brothers.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu umeua, bia gani unakunywa?Bidhaa gani za Wakenya?
Biashara ya maua ni Mali ya Muzungu toka Uingereza
Biashara ya Chai ni Mali ya Muzungu
Viwanda na Makampuni ni Mali za Wazungu, Wahindi, Wasomali na Kenyatta Family,
Hospitality Industry owned by Italians
Even the Aviation sector,
What do these folks own?
Land is also owned by Wazungu and Uhuru Kenyatta Family
Black Kenyans are cheap labour in these sectors,
All they can achieve upon their retirement is a 20*30 plot of land that appears to be a great Achievement to these wicked brothers.
Sent using Jamii Forums mobile app
And veery primitive to the core.Clearly, you're illiterate