Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Nimeishi Magomeni bila Tatizo

Temeke nilikokua naishi nyuma ya dirisha langu nakolala tulikua tumepakana na msikiti hivyo swala zote nilikua nazisikia kama vile wanaswali chumbani kwangu.

Na bado sikuona tatizo.
 
Nimeishi Magomeni bila Tatizo

Temeke nilikokua naishi nyuma ya dirisha langu nakolala tulikua tumepakana na msikiti hivyo swala zote nilikua nazisikia kama vile wanaswali chumbani kwangu.

Na bado sikuona tatizo.
Ur the true son of ur father
 

umesoma ila huna akili. unayo ya kuvukia barabara tu
 
Andiko refu sana sijapitia ila kwa uzoefu wangu mtu peace wa kukaa nae socially ambaye hatakusumbua ni Mpagani sababu imani zako hazitamsumbua wala yeye hatakuwa anachokiamini ambacho kitakuwa Kero kwako...,

Yaani mtu kama Imani ni yako kwa faida yako kwanini jirani ajue au imsumbue....
 
Subhanallah
Endelea kuropoka kwa sababu bado una pumzi na ni mzima wa afya mpaka dakika hii.
Siku utakayotolewa roho yako ndo utakubali show aisee
 
Likud na jamaa zako ndio mnasababisha walokole wachukie ubani, kwa nini kila mnapoyaita majini LAZIMA mchome ubani, mi nimeishi Ujiji na chemchem Tabora, najua nachosema

Kila jioni wanapiga tungoma, choma ubani kuyaita majini kwa HESHIMA yamtulize kiti (muumini mwenzao), ukiona waislam wanavyo yanyenyekea hayo majini, utashangaa sana,
 
Subhanallah
Endelea kuropoka kwa sababu bado una pumzi na ni mzima wa afya mpaka dakika hii.
Siku utakayotolewa roho yako ndo utakubali show aisee
Mbona mnatumia sana vitisho utadhani jamaa alimuomba Mungu amlete duniani.
 
Eti hela zao ambazo hata hawan..ebu acha chuki na unafiki..kimsingi umejiokoteza vifungu support ujinga wako..na wala haupo open minded kama unavyojinasibu kiunafiki.

Kwangu mimi dini zimeleta utengano kuliko umoja..sometimes naonaga wale jamaa wa NWO hua wako sawa..kwa namna fulani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawakubali wakatoliki kwasababu hawana effect yoyote kwa mazindiko, misukule na majini yao.... We unafkiri nije nimwage Maji na Mafuta ya Kuhani Mussa chumbani si nakimbizwa usiku huo huo...
 
Ila walokole hata makazini tu kufanya nao kazi inahitaji moyo hata kwa sisi wakristo wenzao....
walokole ni kikundi cha watu wenye fastration vichwa vyao vina wenge sana nazani kusingekua na makanisa yao haya wangesumbua sana jamii atleast wamepata sehem ya kwenda kujifungia kupunguza stress zao
 
Religious tolerance in Islam is expressed by the acceptance of religious pluralism, which gives legitimacy to the existence of religious differences in society.
Islam rejects compelling anyone to adopt or leave a religion; it explicitly allows non-Muslims to express, practice and teach their religious beliefs.
 
Ili kubalance stori,
Unazungumziaje swala la Waislamu kuita Kafiri kwa yeyote yule asiye Muislamu?
Asie kua Muislamu ni KAFIRI

usichukie kuitwa ivo mna ndo mafundisho ya dini ytu kua yeyote asiekua Muislamu ni KAFIRI
 
Hao ni Waislamu lkn wanafanya mambo kinyume na Uislamu unavotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…