Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Nimeishi Magomeni bila Tatizo

Temeke nilikokua naishi nyuma ya dirisha langu nakolala tulikua tumepakana na msikiti hivyo swala zote nilikua nazisikia kama vile wanaswali chumbani kwangu.

Na bado sikuona tatizo.
 
Nimeishi Magomeni bila Tatizo

Temeke nilikokua naishi nyuma ya dirisha langu nakolala tulikua tumepakana na msikiti hivyo swala zote nilikua nazisikia kama vile wanaswali chumbani kwangu.

Na bado sikuona tatizo.
Ur the true son of ur father
 
Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana

umesoma ila huna akili. unayo ya kuvukia barabara tu
 
Andiko refu sana sijapitia ila kwa uzoefu wangu mtu peace wa kukaa nae socially ambaye hatakusumbua ni Mpagani sababu imani zako hazitamsumbua wala yeye hatakuwa anachokiamini ambacho kitakuwa Kero kwako...,

Yaani mtu kama Imani ni yako kwa faida yako kwanini jirani ajue au imsumbue....
 
Dini zote chanzo chake ni kimoja na mmilik ni mmoja.

Haya tunaongea kila siku humu lkn watu hawaelewi, hiv muafrika inakuwaje unamtenga na kumkebehi mwenzako kisa dini uliyoletewa?

Huyo Mungu wa dini kama alkuwa na upendo why alete imani zake kupitia ukoloni na mauwaji ya kutisha?

Dini ni ujinga na upumbavu, Muumba wa kwel hapatikan ktk hayo magenge yenu ya ibada za jumapil, ijumaa,na jmos.

Dini zote muanzilishi ni mmoja kupitia vibaraka wake yaan warumi&waarabu bila kuwasahau wahindu na takataka zingine ziitwazo dini.

Viumbe wote hao majin,malaika,wakina yesu, Allah,yehova, yahwe,elishadai, alpha&Omega, hawa woote ni kiumbe mmoja ktk uhalisia wa majina tofaut tofaut, na ndye yule aliyejivka utakatifu na kuchukua mamlaka yasiyo yake kwa kuwafanya watu wamuabudu bila wao kujua ama kwa kujua.

Dini ya kweli ambayo wanajua nini wanakiabudi na nan wanamtumikia ni hao muwaitao waabudu shetan na freemason, maana hawa wanaabudu directly kiumbe wakijuacho kuwa ni shetan, lkn nyie wengine mko brainwashed kwa uongo mliokalilishwa na viongoz wenu wa dini.

Ukiwa open minded utanielewa nini namaanisha, chunguza maandiko, chunguza history ya dunia, utagundua kuwa tunaish ktk dunia iliyojawa uongo, na ukwel unajulkana kwa kiwango kidogo sana.


View attachment 2078792
Subhanallah
Endelea kuropoka kwa sababu bado una pumzi na ni mzima wa afya mpaka dakika hii.
Siku utakayotolewa roho yako ndo utakubali show aisee
 
Likud na jamaa zako ndio mnasababisha walokole wachukie ubani, kwa nini kila mnapoyaita majini LAZIMA mchome ubani, mi nimeishi Ujiji na chemchem Tabora, najua nachosema

Kila jioni wanapiga tungoma, choma ubani kuyaita majini kwa HESHIMA yamtulize kiti (muumini mwenzao), ukiona waislam wanavyo yanyenyekea hayo majini, utashangaa sana,
 
Subhanallah
Endelea kuropoka kwa sababu bado una pumzi na ni mzima wa afya mpaka dakika hii.
Siku utakayotolewa roho yako ndo utakubali show aisee
Mbona mnatumia sana vitisho utadhani jamaa alimuomba Mungu amlete duniani.
 
Eti hela zao ambazo hata hawan..ebu acha chuki na unafiki..kimsingi umejiokoteza vifungu support ujinga wako..na wala haupo open minded kama unavyojinasibu kiunafiki.

Kwangu mimi dini zimeleta utengano kuliko umoja..sometimes naonaga wale jamaa wa NWO hua wako sawa..kwa namna fulani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawakubali wakatoliki kwasababu hawana effect yoyote kwa mazindiko, misukule na majini yao.... We unafkiri nije nimwage Maji na Mafuta ya Kuhani Mussa chumbani si nakimbizwa usiku huo huo...
 
Ila walokole hata makazini tu kufanya nao kazi inahitaji moyo hata kwa sisi wakristo wenzao....
walokole ni kikundi cha watu wenye fastration vichwa vyao vina wenge sana nazani kusingekua na makanisa yao haya wangesumbua sana jamii atleast wamepata sehem ya kwenda kujifungia kupunguza stress zao
 
Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana
Religious tolerance in Islam is expressed by the acceptance of religious pluralism, which gives legitimacy to the existence of religious differences in society.
Islam rejects compelling anyone to adopt or leave a religion; it explicitly allows non-Muslims to express, practice and teach their religious beliefs.
 
Ili kubalance stori,
Unazungumziaje swala la Waislamu kuita Kafiri kwa yeyote yule asiye Muislamu?
Asie kua Muislamu ni KAFIRI

usichukie kuitwa ivo mna ndo mafundisho ya dini ytu kua yeyote asiekua Muislamu ni KAFIRI
 
Likud na jamaa zako ndio mnasababisha walokole wachukie ubani, kwa nini kila mnapoyaita majini LAZIMA mchome ubani, mi nimeishi Ujiji na chemchem Tabora, najua nachosema

Kila jioni wanapiga tungoma, choma ubani kuyaita majini kwa HESHIMA yamtulize kiti (muumini mwenzao), ukiona waislam wanavyo yanyenyekea hayo majini, utashangaa sana,
Hao ni Waislamu lkn wanafanya mambo kinyume na Uislamu unavotaka
 
Back
Top Bottom