Sababu za kiroho kwanini uganga na uchawi wake siku hizi hauna nguvu kama.ilivyo kuwa zamani.

Sababu za kiroho kwanini uganga na uchawi wake siku hizi hauna nguvu kama.ilivyo kuwa zamani.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwenye kamusi yangu, neno mganga linatokana na neno "kuganga" yaani.kubahatisha..Kwa hiyo mganga NI mtu.anae bahatisha.bahatisha tu yani Hana uhakika na.kile anacho kifanya.

So unapokuwa na tatizo serious halafu ukaenda kwa.mganga ili akusaidie Basi jua unapeleka shida yako kwa.mtu ambae Hana uhakika na anacho kifanya. Be wise!!!


Back.to.the topic.

Siku hizi uganga na uchawi hauna nguvu kabisa kama.ilivyo kuwa zamani.

For.my personal opinion, uganga na uchawi wenyewe ulikuwa relevant mwaka 1985 kushuka chini and not after the said year.

Ndio maana siku hizi kila.mtu anae enda kwa mganga anaishia kucomplain kwamba hajapata matokeo ya alicho kuwa ana kitarajia.


SABABU NI RAHISI SANA;
In the Bible, it has been written " Mungu NI Alpha na Omega" Yani " MUNGU NI MWANZO NA MWISHO".

Wote tunajua kuwa Sasa hivi tupo katika Nyakati za Mwisho.

Kwa hiyo kwa lugha nyingine wakati wa mwisho NI wakati wa Mungu.

Sasa hivi NI wakati wa Mungu kutawala. Uganga na uchawi hauwezi kufanya lolote Wala hauwezi kukusaidia chochote.

Kama una tatizo lolote linalo hitaji msaada wa kiroho go straight to God and he will help you without a doubt.

Unless otherwise ni Bora utumie akili yako tu kuliko kutumia hirizi kwa sababu akili ina nguvu kuliko hirizi,uganga na uchawi wake aina yoyote ile unao ujua wewe.

Ndio.maana Nyani Ngabu na Kiranga kila siku Wana toa challenge kwa wachawi wawaroge wanashindwa.


N.B: Hata waganga wenyewe hawajui chochote kuhusu hili kwa sababu wao wanafanya vitu vyao kwa kuganga tu yaani kubahatisha bahatisha.


Be.blessed
 
Mention their names so I be sure that ur not talking about ghosts
 
Mtu kajificha humu JF anasema anataka kurogwa sasa kwa hivyo hata mie naweza kujitangaza kuwa hakuna mwenye ubavu wa kupigana na mimi humu JF nzima.
 
Mtu kajificha humu JF anasema anataka kurogwa sasa kwa hivyo hata mie naweza kujitangaza kuwa hakuna mwenye ubavu wa kupigana na mimi humu JF nzima.
Not in 1984 and beyond..hata kama upo kwenye ndege ..utatunguliwa Kama Juvenal Habyarimana
 
Not in 1984 and beyond..hata kama upo kwenye ndege ..utatunguliwa Kama Juvenal Habyarimana
Uchawi haupo hivyo kwamba unapitwa na wakati hadi uone sasa uchawi hauna nguvu kuliko zamani,uchawi ni ujuzi ule na ndiyo maana utasikia sehemu fulani watu wana uchawi wa kufanya kitu fulani basi huo ni ujuzi ambao watu wa huko wanao huo ujuzi hivyo ni suala tu la kujua nini ufanye na si suala la zamani au sasa.

Hivyo kama zamani kunaonekana kulikuwa na uchwi sana kuliko sasa basi tatizo ni kukosekana huo ujuzi tu na si kwamba uchawi umepunguwa nguvu sasa hivi.
 
Ur still.a.learner
Uchawi haupo hivyo kwamba unapitwa na wakati hadi uone sasa uchawi hauna nguvu kuliko zamani,uchawi ni ujuzi ule na ndiyo maana utasikia sehemu fulani wana uchawi wa kufanya kitu fulani basi huo ni ujuzi ambao watu wa huko ndiyo wanao huo ujuzi hivyo ni suala tu kujua nini ufanye na si suala la zamani au sasa.
 
Huu uxi sidhani kama Wakinga watakubaliana nao.
 
Hekaya za Abunuwasi. Tangu lini uchawi ukaonekana kwa macho
Maana yake ni kwamba ulizidiwa nguvu ndio maana ukaonekana? Je sinisawa na wale wanaokamatwa wamedodoka na vyombo (Nyungo) vya kusafiria usiku?
 
Maana yake ni kwamba ulizidiwa nguvu ndio maana ukaonekana? Je sinisawa na wale wanaokamatwa wamedodoka na vyombo (Nyungo) vya kusafiria usiku?
Umezidiwa nguvu kwa sababu hauna nguvu. Tunarudi pale pale. Mchawi kudondoka na ungo huwaga NI sinema tu
 
Not in 1984 and beyond..hata kama upo kwenye ndege ..utatunguliwa Kama Juvenal Habyarimana
Kama uchawi ulikuwepo kuanzia 1985 kushuka chini. Kwanini wasiwaroge waarabu na wazungu ambao walikuwa wanachukua watumwa Afrika? Mababu na mabibi zetu waliuwawa, wengine walibakwa na walitawaliwa. Kwanini wasitumie uchawi wao kujikomboa?
Kwanini hawakutumia uchawi kwenye vita vya majimaji tukashinda? Afrika yote ilitawaliwa, enzi hizo kodi ya kichwa, baiskeli na matiti zilikuwepo kwanini wasitumie huo uchawi kuwadhuru wakoloni?
 
Back
Top Bottom