Sababu za kiroho kwanini uganga na uchawi wake siku hizi hauna nguvu kama.ilivyo kuwa zamani.

Sababu za kiroho kwanini uganga na uchawi wake siku hizi hauna nguvu kama.ilivyo kuwa zamani.

Kama uchawi ulikuwepo kuanzia 1985 kushuka chini. Kwanini wasiwaroge waarabu na wazungu ambao walikuwa wanachukua watumwa Afrika? Mababu na mabibi zetu waliuwawa, wengine walibakwa na walitawaliwa. Kwanini wasitumie uchawi wao kujikomboa?
Kwanini hawakutumia uchawi kwenye vita vya majimaji tukashinda? Afrika yote ilitawaliwa, enzi hizo kodi ya kichwa, baiskeli na matiti zilikuwepo kwanini wasitumie huo uchawi kuwadhuru wakoloni?
Jamaa ndo kapotea hajarudi kujibu
 
Back
Top Bottom