Sababu za Kisayansi kwanini Tundu Lissu alikuja Tanzania kugombea Urais mwaka 2020

Sababu za Kisayansi kwanini Tundu Lissu alikuja Tanzania kugombea Urais mwaka 2020

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
It was a part of his healing process.

Alikuwa ana fanya therapy ya kuiponya nafsi Na akili yake Kwa trauma ya tukio la Septemba 7.(Eidha Kwa kujua au Kwa kutokujua)

Kwa kutaja madudu yote ya serikali ya awamu ya Tano, kutamka hadharani Nani aliye toa amri ashambuliwe Kwa risasi, Lissu aliweza kutema nyongo/sumu Jambo ambalo lilikuwa muhimu Sana katika process ya yeye kuwa healed completely from the Post Trauma.

Upendo mkubwa alio onyeshwa na wananchi wa Tanzania kwa namna yoyote ile utakuwa umesaidia sana katika mchakato wa kuharakisha uponyaji wa nafsi yake.

Sympathy aliyoipata kutoka kwa mamilioni ya Watanzania ilikuwa muhimu sana katika kuiponya nafsi yake kwasababu ilimpa faraja kwamba wapo watu ambao walimsaidia kubeba uchungu wake na kwamba walihuzunika pamoja naye.

# Serikali ya awamu ya Tano kama ingekuwa na watu smart wala wasingehangaika kumfanyia Lissu figisu figisu alipokuja kugombea, wangepaswa kujua kwamba ujio wa Lissu TZ ilikuwa sehemu ya uponyaji wake.

Yericko Nyerere unakubaliana Na hoja yangu?
 
Kisayansi hiyo, iwe mathematically, kwa fizikia, kemia ama kwa baiolojia!?,, 😂

Mambo ya siasa, tena ya bongo, haiwezekani mzee, utapiga moaka integration lakini mzigo hauji😂, hapa lazima uende kisiasa siasa na ujinga mwingi wa lumumba na ufipa.
 
Kibata r and compay walikuwa hawajajiandaa na deffence , walikuwa wanaacha kuuliza maswali ya msingi wanauliza maswali ya ku injure character za mashahidi

Wamepoteza muda mwingi sa mahakama kwa maswali utopolo

Sasa ni zamu ya wakili wa mashtaka kuwa shuti maswali wateja wao kwenye cross examination

Tutawasikia sasa wateja wao wanaongea muda mrefu hadi wanaomba kupumzia au kuomba maji

Vijana wasiojua taratibu za kimahakama watajua vizuri tofauti ya kifungu cha 230 na 231 CPA, tunatarajia kuona final submission iliyojaa utaalamu, short and concise sio wajaze habari za oh!!! baba yako alikuwa igp oh sijui nini zinahusu nini ?
 
Lissu alifanyiwa figisu zipi? Lissu alionekana kituko tu
Kama hata Hilo hujui bila la shaka amri ya kuzuiwa haki take ya matibabu itakuwa ilitolewa na wewe ili afe, Sasa Kwa uwezo waMungu akamponya na watesi wake wote, ikiwa ni pamoja na weye.
 
Kama hata Hilo hujui bila la shaka amri ya kuzuiwa haki take ya matibabu itakuwa ilitolewa na wewe ili afe, Sasa Kwa uwezo waMungu akamponya na watesi wake wote, ikiwa ni pamoja na weye.
Nakazia
 
Pamoja na hayo pia alikuja kuwashtaki waliotaka kumua kwa mizimu ya makabila yote Tanzania.
Ajabu hata mwaka haujaisha maombi yakajibiwa.
 
Pamoja na hayo pia alikuja kuwashtaki waliotaka kumua kwa mizimu ya makabila yote Tanzania.
Ajabu hata mwaka haujaisha maombi yakajibiwa.
Alifanya hivyo Kweli?
 
Nadhan itumike data mining kwanza naona Kuna details Zina mis
 
It was a part of his healing process.

Alikuwa ana fanya therapy ya kuiponya nafsi Na akili yake Kwa trauma ya tukio la Septemba 7.(Eidha Kwa kujua au Kwa kutokujua)

Kwa kutaja madudu yote ya serikali ya awamu ya Tano, kutamka hadharani Nani aliye toa amri ashambuliwe Kwa risasi, Lissu aliweza kutema nyongo/sumu Jambo ambalo lilikuwa muhimu Sana katika process ya yeye kuwa healed completely from the Post Trauma.

Upendo mkubwa alio onyeshwa na wananchi wa Tanzania kwa namna yoyote ile utakuwa umesaidia sana katika mchakato wa kuharakisha uponyaji wa nafsi yake.

Sympathy aliyoipata kutoka kwa mamilioni ya Watanzania ilikuwa muhimu sana katika kuiponya nafsi yake kwasababu ilimpa faraja kwamba wapo watu ambao walimsaidia kubeba uchungu wake na kwamba walihuzunika pamoja naye.

# Serikali ya awamu ya Tano kama ingekuwa na watu smart wala wasingehangaika kumfanyia Lissu figisu figisu alipokuja kugombea, wangepaswa kujua kwamba ujio wa Lissu TZ ilikuwa sehemu ya uponyaji wake.

Yericko Nyerere unakubaliana Na hoja yangu?

Unaijua sayansi ? Hypothesis ziko wapi hapo kubeba uzi wako
 
Back
Top Bottom