samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Mi naona kocha aanze kutafuta straika vijana ,pia angewahi kubadili viungo kama mzamiru angeingia mapema,pia walitumia winga ya kushoto sana badala ya kulia sijui kwanini huyu wa kulia akawa anakimbiza ila bila mipango sahihi.ila uwanja pitch ilikuwa nzuri tu