Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Kama ni hivyo wanasheria tutakua hatuolewi looh😂... wanachoaminishwa wanasheria wanatakiwa wafahamu karibia kila kitu hapa chini ya jua..

Kuna mtu tulikua tunawasiliana sku moja akaniambia anaangalia tv kipindi cha mieleka... nkamtajia list ya wacheza mieleka nnaowapenda haswa hawa wapya wapya walioleta challenge kweny WWE akina Dan Ambrose na Roman Reigns ... yule kaka aliniogopa na tangu sku hiyo akapunguza ukaribu na mimi...
I was like damn I'll die single 🤦‍♀️🤦‍♀️😂😂😂
 
Kama ni hivyo wanasheria tutakua hatuolewi looh😂... wanachoaminishwa wanasheria wanatakiwa wafahamu karibia kila kitu hapa chini ya jua..

Kuna mtu tulikua tunawasiliana sku moja akaniambia anaangalia tv kipindi cha mieleka... nkamtajia list ya wacheza mieleka nnaowapenda haswa hawa wapya wapya walioleta challenge kweny WWE akina Dan Ambrose na Roman Reigns ... yule kaka aliniogopa na tangu sku hiyo akapunguza ukaribu na mimi...
I was like damn I'll die single 🤦‍♀️🤦‍♀️😂😂😂
Kwa ufupi life style ya wanasheria is so boring.

Hakawii kukwambia " what Ur telling is strictly prohibited under Section 29(3)a of the xxxx Act which has to be read together with the second schedule to the Act No 5 of 1999 which is paramateria with Government Notice Number 7 of 2007.

U guys are so boring
 
Ndo maana tunaitwa BABA MWENYE NYUMBA, ili utoe mwongozo au uulizwe kila kitu utoe solution.

Inatakiwa uwe na mwanamke ambaye ukiwa unaangalia naye mpira kwenye TV, kipa akidaka akuulize "sasa mbona yule kashika..???"

Sio anajua kila kitu offside, kona, freekick, penalt etc.

Wanaume hatuwezi kuwa na mwanamke wa style hyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]

Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....

View attachment 1422744

Ni ngumu sana kupata mwandada mwanasheria halafu akawa humble wako wachache sana wengi ni freedom fighters wao ni swala la haki tu hamna kingine. wengi wao ni single unless apate Mwanaume mpole.
 
Ukweli uliomchungu wanaume wengi hasa wa Afrika hatupendi wanawake wanaojua mengi (Elimu)
Maana tutashindwa kuwatawala na kuwapelekesha tuwezavyo!!

Kwamba mwanaume kujua vitu vingi ndo vinasaidia kumpelekesha mwanamke? hivi kumbe lengo la mahusiano ni kupelekeshana?? kweli elimu haina mwisho.
 
Kwa ufupi life style ya wanasheria is so boring.

Hakawii kukwambia " what Ur telling is strictly prohibited under Section 29(3)a of the xxxx Act which has to be read together with the second schedule to the Act No 5 of 1999 which is paramateria with Government Notice Number 7 of 2007.

U guys are so boring
Mkuu Mimi binafsi siwezi kuleta mambo ya carrier kwenye mahusiano... tukiwa kwenye mahusiano mambo ya sjui something is strictly prohibited according to section ngapi ngapi ya act gani ya mwaka gani sjui .. alooh siwezi...
Ukiona mtu ni much know ivo ujue ni limbukeni.. kwanza ukiniona unaeza dhani ni fala flani ivi na huwa siwezi kuzungumizia carrier yangu sehemu isiyohusika!!!
 
Kama ni hivyo wanasheria tutakua hatuolewi looh😂... wanachoaminishwa wanasheria wanatakiwa wafahamu karibia kila kitu hapa chini ya jua..

Kuna mtu tulikua tunawasiliana sku moja akaniambia anaangalia tv kipindi cha mieleka... nkamtajia list ya wacheza mieleka nnaowapenda haswa hawa wapya wapya walioleta challenge kweny WWE akina Dan Ambrose na Roman Reigns ... yule kaka aliniogopa na tangu sku hiyo akapunguza ukaribu na mimi...
I was like damn I'll die single 🤦‍♀️🤦‍♀️😂😂😂
Du, pole sana. Utaolewa tu usiwe na shaka.
 
Japo ni ya kutunga na umeitoa sehemu lakini ni mada yenye ujumbe fulani
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]kwahy ukamzimia data[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ni hivyo wanasheria tutakua hatuolewi looh[emoji23]... wanachoaminishwa wanasheria wanatakiwa wafahamu karibia kila kitu hapa chini ya jua..

Kuna mtu tulikua tunawasiliana sku moja akaniambia anaangalia tv kipindi cha mieleka... nkamtajia list ya wacheza mieleka nnaowapenda haswa hawa wapya wapya walioleta challenge kweny WWE akina Dan Ambrose na Roman Reigns ... yule kaka aliniogopa na tangu sku hiyo akapunguza ukaribu na mimi...
I was like damn I'll die single [emoji2356][emoji2356][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unayejua vitu vingi unafaa
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
haahahhha
 
Back
Top Bottom