Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Swissme limbwata la chenge linaendelea kukupa kick, utazimia wewe jiangalie kila saa unamtaja tu atakugharimu!!
Heti mwizi anasifiwa hadi kupewa katiba ya nchi kuandika chenge na kundi lake na haya makitu ccm Wanataka kuibia Watanzani.


swissme
 
una uhakika gani kwa hilo ulilolisema mkuu?



Pia zingatia kauli ya Jaji Bomani

https://www.jamiiforums.com/katiba-mpya/829562-jaji-bomani-apigilia-msumari-katiba-mpya.html
 
Mkuu uko vizuri kwa uchambuzi,
Hatuwezi kupigia kura hiyo katiba.
Hiyo ibara inayohusu kuwa na fedha nje ya nchi - ibara 29(2)(b) itakuwa imewekwa na Mafisadi.
Mtumishi wa umma anapata wapi fedha za kuficha nje ya nchi
???


Wewe ni Gambala plastic tu huna jipya, analysis gani kaifanya huyu kachukua vifungu kama vilivyo tena kibaya zaidi havielewi hata kidogo.
 
Wewe ni Gambala plastic tu huna jipya, analysis gani kaifanya huyu kachukua vifungu kama vilivyo tena kibaya zaidi havielewi hata kidogo.

Mkuu,
Ulitaka avibadilishe hivyo vifungu ?
Hujaeleweka
 
Mme wa nyanya yako mwuzi mkubwa wewe wa mali za umma.wewe na katiba ya chenge na familia yako

swissme

Busara ni kitu cha bure, msiendekeze matusi kwanza siii uungwana, pili inaonesha kutokukomaa katika kujadiliana hoja na mambo mbalimbali. Iweni wajasiri na wavumilivu na kuvvumiliana pale watu mnapopishana kauli. Chonde chonde
 
Mme wa nyanya yako mwuzi mkubwa wewe wa mali za umma.wewe na katiba ya chenge na familia yako

swissme

Unapotumia sana matusi unatuonesha kuwa wewe hujakomaa ktk kujadiliana, mtu huyu hana uvumilivu wa kuhimili vinavyokuwa nje ya yale anayopenda kuyasikia anapoyakosa. Kuwa muungwana ili basi hata anayesoma asikwazike kwa matusi yako
 

Nasikitik ndugu yang hujui hata maan ya mchakato huyo humphrey anayetumiwa na UKAWA sik hiz kawa CCM au unatak ku associate na jamaa kujitoa baada ya kisa serikli 3 hazikupita...walizoon zitakuw na maslah kwao....hivi unajua nin maan ya RAIS? Hiv unajua hiy ni Taasis...sasa jus imagine ucmpe nguv kweny masual ya msingi hali itakuwaj...si ndo kupinduliwa kesh na kushindwa kutekelez masual ya kitaifa

Kingin ucwe bendera fuata upepo....achan na vigez vya kisiasa ...angalia mamb ya msing yanayomgus mwananchi moja kwa moja
 

Umeongea mengi lakini sijaona point yako bado.
Kumbuka hapo mimi sijazungumzia watu.
Na pia ujue Rais lazima atakuwa binadamu na sio malaika hivyo check and balance ie separation of powers ni muhimu.
 
Heti mwizi anasifiwa hadi kupewa katiba ya nchi kuandika chenge na kundi lake na haya makitu ccm Wanataka kuibia Watanzani.


swissme

Duuu kweli limbwata la Chenge bado limekolea huchomoki bado unapata kick muda wote unamuwaza Chenge licha ya kuambiwa na wana JF kuwa huyo mwananchi hana Katiba bado husikii.
 
Wewe ndugu madaraka ya Rais yana shida gani. Hapa angalia Katiba Inayopendekezwa fursa inazotoa kwa watu au makundi mbali mbali ili kuinuka kiuchumi. Madaraka ya Rais yamekuwa makubwa tangu enzi lakini hayajaathiri uchumi. Kuteua wabunge kumi na tano ni kitu kizuri kwani Rais anaweza kupata watu wazuri ambao hawakugombea ubunge lakini wanafaa kuwa mawaziri akawateua tukawa na mawaziri bora. Pia naomba msaada wako katika Afrika Mashariki na Kati pia Kusini nipe nchi tano ambazo mawaziri wake hawatokani na wabunge! Hata kwa Ulaya mnakokupenda sana nitajie nchi hizo hapo ndo tutaendeleza mjadala. Lakini nakupongeza kwa kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kuvipenda vipengele vingi isipokuwa cha madaraka ya Rais na Seperation of Powers. Vingine vingi huna shida navyo. Kwa kusema hivyo Katiba hii unaipenda kwa aslimia zaidi ya 80.:majani7:

 
Goodrich wewe ndo ujiandae kisaikolojia na kisosholojia na anthropolojia kuendelea na serikali mbili kwani hilo lilishafungwa. Nadhani hukuwa Tanzania na haukuwa na access ya network na media kujua nini kinaendelea. Nakupa pole sana!
 
Goodrich wewe ndo ujiandae kisaikolojia na kisosholojia na anthropolojia kuendelea na serikali mbili kwani hilo lilishafungwa. Nadhani hukuwa Tanzania na haukuwa na access ya network na media kujua nini kinaendelea. Nakupa pole sana!

Nani kakudanganya kuwa hapo ndio mwisho wa rami
 
Goodrich wewe ndo ujiandae kisaikolojia na kisosholojia na anthropolojia kuendelea na serikali mbili kwani hilo lilishafungwa. Nadhani hukuwa Tanzania na haukuwa na access ya network na media kujua nini kinaendelea. Nakupa pole sana!

Ungesoma kuanzia mwanzo ungeelewa topic inapotokea !
Halafu una maana gani kwenye red ?, ....referendum kwani tayari ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…