Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Mme wa nyanya yako mwuzi mkubwa wewe wa mali za umma.wewe na katiba ya chenge na familia yako


swissme
Punguza jazba wewe na huyo UFO hamna akili mnarushiana matuc, si mpeane email au namba za simu mtukanane vizuri!
 
Huu ni potoshaji mkubwa kwa kuwa katiba inayopendekezwa inatokana na maoni ya wananchi wenyewe,sasa kazi inaelekea mwishoni wewe unasema kuwa haifai kwa mtazamo wako,je ww ndio mjuaji sana kuliko watanzania wote waliopendekeza kuwa wanataka katiba hii inayopendekezwa,acha kupotosha,naomba ukaisome upya alafu ukishaelewa ndio uje jf tujadiliane badala ya kuokoteza taarifa na kuweka maoni yako
 
Taifa ambalo misingi mikuu ya maamuzi na haki yanewekwa mikononi mwa mtu mmoja(Rais) haliwezi kusonga mbele hata siku moja.

Tutapata uchaguzi mbovu maana uteuzi utalenga kujaza ndugu, jamaa na maswahiba. Uwezo na weled wa mtu vitawekwa kando.

Tumesshuhudia uteuzi wa wakuu wa wilaya wa hovyo kabisa akina Makonda na Mabinti ilikuwaridhisha wazee wa ngono nk.

Ibara ya 39 kwenye Katiba inayopendekezwa inatoa uhuru wa maoni naamini na haya umeyasema mwenyewe kwa mawazo yako, Adolay kinachokusumbua wewe ni kutokuelewa nafasi ya Rais katika nchi!! Hujui Rais ni nani katika nchi, unadhani President ni sawa na wewe!hilo haliwezekani??? Nguvu yake ni kura zake kama hujui go to school uache kusumbua Members humu. mambo mengine unayoongea hayana maana ni hisia tu na unawaza tabia ulizonazo wewe ziko kwa watu wengine,don't be aggressive kwenye stupidity things!
 
Mme wa nyanya yako mwuzi mkubwa wewe wa mali za umma.wewe na katiba ya chenge na familia yako
swissme

swissme! Hoja hujibiwa kwa hoja siyo kwa matusi. Maneno yako ya rejareja hayatakusaidia zaidi yatakufanya ijianike na wasomaji JF tutakudharau. Zaidi ya hayo taifa la Tanzania halina “katiba ya change” bali Tanzania kuna Katiba Inayopendekezwa ambayo ipo kihalali kwa mujibu wa Kisheria.
 
Punguza jazba wewe na huyo UFO hamna akili mnarushiana matuc, si mpeane email au namba za simu mtukanane vizuri!
Hivi hawa wanaorushiana mitusi ni watu wa namna gani. Ukiona mtu anatukanana hovyo ujue huyo hajui kuongea na hana hoja zaidi ya kuwa na haja. Jitahidi kuwafundisha namna ya kujenga hoja.:focus:Katiba Inayopendekezwa ni muhimu kuisoma na kuielewa vizuri na kufanya uamzi sahihi.
 
Taifa ambalo misingi mikuu ya maamuzi na haki yanewekwa mikononi mwa mtu mmoja(Rais) haliwezi kusonga mbele hata siku moja.Tutapata uchaguzi mbovu maana uteuzi utalenga kujaza ndugu, jamaa na maswahiba. Uwezo na weled wa mtu vitawekwa kando.Tumesshuhudia uteuzi wa wakuu wa wilaya wa hovyo kabisa akina Makonda na Mabinti ilikuwaridhisha wazee wa ngono nk.
Huna hoja na mawazo yako ya mkia wa mbuzi,afu unaonekana una wivu sana au katika awamu hii ulitarajia uteuliwe kuwa DC sasa umeukosa unaanza kutukana jiheshimu!
 
Huu ni potoshaji mkubwa kwa kuwa katiba inayopendekezwa inatokana na maoni ya wananchi wenyewe,sasa kazi inaelekea mwishoni wewe unasema kuwa haifai kwa mtazamo wako,je ww ndio mjuaji sana kuliko watanzania wote waliopendekeza kuwa wanataka katiba hii inayopendekezwa,acha kupotosha,naomba ukaisome upya alafu ukishaelewa ndio uje jf tujadiliane badala ya kuokoteza taarifa na kuweka maoni yako

Kijana hata wewe unahasira au umejipanga kubishana nasio kujadiliana maana niukweli usiopingika kuwa katiba inayopendekezwa umetupilia mbali maoni ya wananchi kwa maana hiyo hiki ndicho kilichotakiwa kuwa kiini cha mjadala kuwa yaliyoachwa yanamaslahi kwa nchi au yalikuwa yanawabana viongozi? na sio kutupiana maneno na kujadili illusion(mambo ambayo hayafikiki na hayapo)
 
Kijana hata wewe unahasira au umejipanga kubishana nasio kujadiliana maana niukweli usiopingika kuwa katiba inayopendekezwa umetupilia mbali maoni ya wananchi kwa maana hiyo hiki ndicho kilichotakiwa kuwa kiini cha mjadala kuwa yaliyoachwa yanamaslahi kwa nchi au yalikuwa yanawabana viongozi? na sio kutupiana maneno na kujadili illusion(mambo ambayo hayafikiki na hayapo)
Kama mambo gani yaliyotupiliwa mbali maana umeropoka tu hapo juu pasipo ushahidi, ebu yataje ufafanuliwe kaka, wala hakuna haja ya malumbano mengi humu ndani. Weka ushahidi na mimi nitakuwekea ushahid ili mwisho wa siku tujue nani muongo, simtetei huyo jamaa hapo juu lkn kwenye ukweli ctopenda nikae kimya. Katiba hii kaka imesheheni mambo mengi sana.
 
Kuna sababu nyingi za kuipigia kura ya hapana katiba inayopendekezwa.
Kati ya sababu hizo ni ubatili wa mchakato wenyewe ambao ulihodhiwa na ccm, kutokuwa na sifa za msingi za katiba, kutokuwa na muafaka wa kitaifa zaidi ya kulinda maslahi ya ccm na baadhi ya wabunge hasa wasio na elimu na uwezo, kuacha mambo yote ya msingi yaliyopendekezwa na wananchi nk.

Lakini pia katika kuipitia katiba yenyewe inayopendekezwa nimeona mapungufu mengi, hasa katika muundo wa serikali ambao una mikanganyiko mingi ibara za 1(1), 75, 76, 77 na 163.

Katiba hii pia bado inapingana katika maeneo mengi na Katiba ya Zanzibar ya mwaka (1984) toleo la 2010.

Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).

Nadhani ilikuwa vema kwa Bunge Maalumu kuzingatia maoni ya Tume ya Jaji Warioba.
hiii sio katiba hii ni TOILETPAPER ya MSALANI na ni special kwa matumizi ya wana wa LUMUMBA TU kujisafishia
 
hiii sio katiba hii ni TOILETPAPER ya MSALANI na ni special kwa matumizi ya wana wa LUMUMBA TU kujisafishia

Babu kateka akili yenu afu kawaacha solemba,teh teh teh wee Mwalla tu hakuna cha 4 real wala nini nimekushtukia hizo jero jero ulizomeza lazima uzitapike mwaka huu, katiba mpya haiepukiki!!!!
 
Wee Gamba la plastic tu utacheza ana ana do mpaka utokee Mtwara kwenye gesi, bila kunitaja huoni raha,ha ha ha ha safi endelea kunipa nguvu dogo!maana unajijua sipendi longolongo kwenye hoja!
lumumba TEAM aka buku7
 
Back
Top Bottom