Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesahau la maadili ya viongozi wa umma na ukomo wa ubunge,na mbunge kuwajibishwa na waliomchagua.
lkn nakupongeza kwa kuyaona hayo uliyoyasema.
Asante mama,sitegemei majibu nje ya haya kutoka kwa kitu maalum.
Acha kupoteza muda wako Katiba inayopendekezwa imeliweka wazi suala la maadili ya viongozi wa umma na watumishi wote kwa ujumla kama hukusoma na kuelewa useme acha kudanganya,ukomo wa ubunge nenda kawaulize wapiga kura walioweka wabunge wao!!unawasemea wapiga kura kwani wee nani?maamuzi yako ndo hatima yako usitegemee huruma ya katiba wakati umevurunda kwa kuchagua mbunge asiyefaa!!
asante mama,sitegemei majibu nje ya haya kutoka kwa kitu maalum.
"masharti yote nimetimiza hili la jinsia...." alijisemea mzee six.
Kinachonisikitisha ni kuona mnatumia viungo vyenu
kuliangamiza taifa,kama hamtalipa hapa basi mtalipa gharama mbinguni.
Asante mama,sitegemei majibu nje ya haya kutoka kwa kitu maalum.
"Masharti yote nimetimiza hili la jinsia...." alijisemea mzee six.
Kinachonisikitisha ni kuona mnatumia viungo vyenu
kuliangamiza taifa,kama hamtalipa hapa basi mtalipa gharama mbinguni.
MWALLA aka MWALLA4REAL THE BANNED MAN IN JF ULIYEPITIA DIRISHANI KWA KUONGEZA ID NYINGINE AND THE LIKE THIS IS YOUR DECISSION BABU HANA NAFASI,MSIPOTEZE MUDA WENU HUMU NAKUZUIA MAFULIKO KWA ULIMI
HIYO BANNED WALA HAINISUMBUI. MUULIZE HUYO MPIGAJI BANNER WAKO AMEPIGA NGAPI TANGU NIMEINGIA JF. KWA TAARIFA YAKO NIMO HUMU KABLA YA HUYO MPIGA BANNER. MRADI NIMO NA NINAKUPA DOZZEE NA INAKUINGIA UZURI BAS INTOSHA KABSAA
Waswahili wakasema ''CHEMA CHAJIUZA,KIBOVU CHAJITEMBEZA''
View attachment 243811acha kupiga mayowe katiba mpya haiepukiki
Kwasabu huwa unaimbaga taarab kwakweli kipaji cha mipasho tu unacho nahc we ni shoga maana unavyoshabikia duh ni noma, Katiba hii haiepukiki ng'ooooooo itapita tu nyie mnaoikejeli mnapoteza muda wenu na mpo kimaslahi ya matumbo yenu maana c mmetumwa na UKAWAWaswahili wakasema ''CHEMA CHAJIUZA,KIBOVU CHAJITEMBEZA''
hii katibu pendekezwa ni zaidi ya kibovu maana badala ya kujitembeza mnaitembeza.
ooh,mara asasi za kidini zinazoipinga zifungiwe,oohh....
Hatudanganyiki tena,jifunzeni mapema kutafuta pesa
kwa nguvu zenu,maana za bure mwisho wake umefika.
Avatar yako unaonyesha ulivyo,mimi nimezaliwa na mwanamkeKwasabu huwa unaimbaga taarab kwakweli kipaji cha mipasho tu unacho nahc we ni shoga maana unavyoshabikia duh ni noma, Katiba hii haiepukiki ng'ooooooo itapita tu nyie mnaoikejeli mnapoteza muda wenu na mpo kimaslahi ya matumbo yenu maana c mmetumwa na UKAWA
wewe utakuwa si mtanzania maana umeandika pumba tupu hapo, huna jipya kaa kimya, kwakomwewe ndo umeona hivo lkn kwa watanzania sisi imetulia
Lusajo, twambombo. Kama kweli ni Lusajo, hujitambui. Hebu piga kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa Kama babu zako UKAWA wameanza kuikubali mmoja mmoja itakuwa wewe. Ndaaga fijo kwa kunielewa.
Aisifiae mvua ujue imemnyea, kwahiyo unayoasema hapo ndo jinsi ulivyo, kilaza tuu huwezi kuweka hoja, kojoa ukalalwe.Avatar yako unaonyesha ulivyo,mimi nimezaliwa na mwanamke
wewe umetokea kwenye tube,lazima tupishane kimawazo.
Aliyezaliwa na mtu ana mawazo ya utu,aliyetoka kwenye chupa ana mawazo ya chupa.
Bye
mbinguni mbali sana watalipa hapahapa uswazi tuwaone live labda wakimbilie mstuni kama kaka yao komba
View attachment 243813