feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 858
Wakuu sina mengi hizi ni sababu zangu kutokana na hali halisi iliyopo huku mashambani kunakofanyika kilimo..( nipo kilombero morogoro)
ZAO MPUNGA
Bei ya kukodi shamba Ni laki 2 kutoka laki 1 msimu uliopita
Bei ya kuvuruga ni laki moja na 40 kutoka 80elf msimu uliopita
Bei ya kupanda ni laki na 20 kutoka 80elf season iliyopita
Ng'olezi laki 1
Dawa za kuua magugu elf 20 kwa dumu la lita 1 kutoka elf 10 msimu uliopita
Mfuko wa mbolea ya kukuzia 50kg unauzwa laki moja na 80 kutoka 80elf msimu uliopita
Mbolea ya kuzalishia laki na 30 from 60elf
Gharama za uvunaji,usafirishaji zimepanda hadi mara tatu ya msimu uliopita
Kifupi gharama zimekuwa juu mara mbili ya msimu uliopita na inawekana hizo pembejeo zikawa juu zaidi pindi msimu mpya ukianza
ZAO MPUNGA
Bei ya kukodi shamba Ni laki 2 kutoka laki 1 msimu uliopita
Bei ya kuvuruga ni laki moja na 40 kutoka 80elf msimu uliopita
Bei ya kupanda ni laki na 20 kutoka 80elf season iliyopita
Ng'olezi laki 1
Dawa za kuua magugu elf 20 kwa dumu la lita 1 kutoka elf 10 msimu uliopita
Mfuko wa mbolea ya kukuzia 50kg unauzwa laki moja na 80 kutoka 80elf msimu uliopita
Mbolea ya kuzalishia laki na 30 from 60elf
Gharama za uvunaji,usafirishaji zimepanda hadi mara tatu ya msimu uliopita
Kifupi gharama zimekuwa juu mara mbili ya msimu uliopita na inawekana hizo pembejeo zikawa juu zaidi pindi msimu mpya ukianza