Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Ahahahah inakuwa kama sumbura na gulaa wa kwenye sultan
 
Ahahahahahah
 
Ahahaahahahaha kadoda11 miss yu bro
 
Uzi wako mzima na ufipisha (summery) kwa maneno machache kama ifuatavyo:-

"Kusoma siyo kazi, kazi ni kuigeuza elimu uliyonayo/uliyoipata kuwa pesa/Mali."

"Na ukisoma sana unapishana na hela"...

Tatizo liko hapo Mkuu, u-T.O wao unabakia kwenye vyeti vyao, simply wanashindwa ku-apply AAA zao ktk kutatua changamoto za maisha halisi mtaani.
 
Last edited:
Ujue hapa nlipo naonekana chizi,punguza basi
 
shukrani sana. ila kwa huzuni kubwa naomba niachane na thread hii.

nimetumiwa PM na baadhi ya wadau wangu ninaoheshimiana nao sana kule KenyaForum.

wameniomba nisiendelee kukomenti. asanteni kwa ushirikiano wenu.
Ahahahahahahahah ndio jf ikifungwa huwa nahisi kuwehuka kwa mambo kama haya
 
Humble jamani sikujua upo mchokozi
 
The salary for a CCNP certified professional kick starts at $41,022 as per the latest figures by Payscale.com and ranges up to a whopping $133,590 as seniority of position increases.
Tanzania hii? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahahahaahahah! Mi mwenyewe sina mbavu hapa ananifurahisha kishenzi huyu Ndezi..! Ni mchokozi sana afu muoga kinyama kukoga maneno shombo. [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…