amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Humble nakuonea huruma ujue Intelligence tutakukosa man injinia hawezi kuniunganisha msomi mwenzie wa pure mathematics tumepiga wote pure 1 na pure 2 nauhakika kabanwa tu akitulia kutoka site atatuma au vipi CCNP Engineer naona dogo wa HKL anataka kututunishia mabavu watu wa scienceKweli amehaidi akitoka site...ngoja nisubiri nione maana huu ugomvi wetu unaweza kumalizwa na mwenye hela zaidi ya mwenzie pia...amesema anatuma elfu 50...na Mimi nimehaidi akituma 50 natuma laki. Sitaki dharau!
Huyu ndio TO engineer wa kwanza maskini kabisa nchi za nje kinyerezi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akituma hiyo pesa siingii tena JF maisha yangu yote. I swear!!!