Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Humble nakuonea huruma ujue Intelligence tutakukosa man injinia hawezi kuniunganisha msomi mwenzie wa pure mathematics tumepiga wote pure 1 na pure 2 nauhakika kabanwa tu akitulia kutoka site atatuma au vipi CCNP Engineer naona dogo wa HKL anataka kututunishia mabavu watu wa science
 
Aliyesoma kasoma tu![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!kujikwaa kupo
 
Duh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mwanaume ambae yuko vizuri kichwani nampenda sana tatizo CCNP Engineer mdogo sana kwangu anaenda Ilboru Advance mimi nimeshapambana na Kibacha kwenye business law ,nishakula supp ya cost accounting,nishamalizana na corporate finance yaani niko chuo huko mwishoni mwishoni angekua agemate sawa nani asiyetaka kuwa mama T.O pengine tungezaa katanzania one kadogo
 
Last edited:
Umeona best sasa ndo Engineer atuokoe wasomi wenzako maana hapa humble atatudharau sana muamala usipothibitishwa
Engineer huyu ni maskini hadi chai huwa ananywea kwenye kifuniko cha pen ya BIC? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Simchukii, namdharau...akikupa pay siingii tena JF eternity. I bet.
 
Umeona best sasa ndo Engineer atuokoe wasomi wenzako maana hapa humble atatudharau sana muamala usipothibitishwa
[emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sanaa tu!amu ukitumiwa Mimi buku 10 tu
Halafu asipotuma H kunani watatutukana sanaa eti
 
Hizo ban zisikuogopeshe ni za uonevu kuna mod atakuwa ananitaka anashindwa kuniambia au kama mwanamke ananionea wivu nikikohoa ban nikisema mapugi ban
[emoji15] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…