Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

We mjambaji tuachane na hayo shemeji kashatengua kauli yake ya awali na amekuachia upambane na hali yako.

Nikuulize wewe ni engineer katika field gani? Civil engineering? Aerospace engineering au?
Nimsaidie kujibu CCNP Engineer kujibu hili swali maana kwake limekuwa gumu na analikwepa kila akiliona,Yy ni Engineer wa mitaro ya majitaka so hata kule kujamba ni side effect ya kuwa Too much exposed kwenye zile harufu hivyo haonagi tofauti ya hewa safi na iliyokuwa polluted na mashuzi yake.I hope nimetoa msaada kidogo kwa ndugu TO japo najua ameshatumbukia shimoni kwake.
 
Ahahaha!! Umenisuprize Mkuu!! I didn't see it coming. Mbona hii ID umependeza kuliko ile ya awali?

[emoji119]
Its not better kujisifia sana mbele ya watu kuhusu matokeo yako hadharan kila mtu angeweka results zake hapa nadhan tungekimbia mfn mh kiranga akiweka results zake hapa ... Nliona anashaur madg kuhusu kusoma of coz ni vzur ila hakukua na ulazma wa kuweka results ....#njia nzuri ya kujisifia ni kwa kumsifia mtu mwingine ... Cc..dady swalehe
 
Ndio maana kuna siku alijamba akamsingizia mtoto...tukakataaa! [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nasubiri anijibu hilo swali langu kwa kinagaubaga akimangamanga naenda kufukua kwenye makaburi yake nitaipata tu field yake for hook and crook! Ahahaha!
 
Hakuna muhandisi ambaye anashindwa kuficha ujinga wake kama wewe kuwa mkweli tu kuwa wewe ni mkunga (midwife )
 
Kama Wewe unavyofanyaga Mzaha na swala la uwepo wa MUNGU!
 
Bora angekuwa anajisifia afu tunaona effects yake mtaani na hata kwenye mitkasi yake...yote hola! Hana mke mkali, hana ndinga kali, anatapeliwa kifara kwenye Forex, hana hela, afu Anajisifia na kujifanya anawaonyesha vijana namna ya kupata A+ Kali afu ana thread ya kutaka kukopa na kukimbia kibarua na nyingine ya kulalamika kwamba punyeto inataka kumuua...pumbafu zangu!! Ohooo sorry..I mean pumbafu zake!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Anijibu haraka amesoma engineer ya ishu gani unless naingia chimbo kusakua mwenyewe...!
 
Humble huyo dgo scientist fala sana wiki ya pili hii ananibembeleza nmfundishe kutongoza ... Et ulimpataje mama ... ?
 
Mh
Kwahiyo siku hizi na ww umefikia huku kijibishana na i'd yako nyingine woiiii jf pekee ndio kuna hizi mambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna muhandisi ambaye anashindwa kuficha ujinga wake kama wewe kuwa mkweli tu kuwa wewe ni mkunga (midwife )
Ahahaha!! Mkuu kurlzawa niachieni huyu asije sema tulimpiga mande wengi... Nataka kuzaa nae Mimi mwenyewe.

Ila umenchekesha kusema njemba ni mkunga [emoji23] [emoji23] [emoji23] .... Najua anawakera na kuwadhalilisha wahindisi wengi sana kwa akili zake na sio Mimi tu lakini niachieni huyu nimnyambulishe!
 
Mh
Kwahiyo siku hizi na ww umefikia huku kijibishana na i'd yako nyingine woiiii jf pekee ndio kuna hizi mambo
Kama hujanijua mimi ni mtu wa masihara basi sawa mi ndo nlivyo matan utan jokes silah .. Mangala ... Sipend ila napend
 
Yaani nikiiona na hiyo avatar yako ya Charlie Chaplin na jinsi unavyojiuliza maswali na kujijbu kwa ID zako hizo mbili...nacheeeka hadi machozi yanatoka mkuu! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Comedic gold!
Ndo nlvyo mkuu ....
 
Humble huyo dgo scientist fala sana wiki ya pili hii ananibembeleza nmfundishe kutongoza ... Et ulimpataje mama ... ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Huwa unanikosha sana ndugu yangu! Loh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…