Ndio. Hiyo ndio ndoto yangu. Kama wakiweza kuwafundisha 'wajinga' hao na kuwasaidia wafaulu hiyo necta, huoni kuwa itakuwa ni jambo jema zaidi?....kuliko kuchukuwa ambao tayari 'wanajiweza' ambao hata wakienda shule nyingine bado wanaweza kufanya vizuri..... Wachukue waliofeli ambao chance ya kugaragara kwene NECTA ni kubwa na wazazi mwishoe wakose imani na shule? Is that what u want?
G'luck with that bro.Ndio. Hiyo ndio ndoto yangu. Kama wakiweza kuwafundisha 'wajinga' hao na kuwasaidia wafaulu hiyo necta, huoni kuwa itakuwa ni jambo jema zaidi?....kuliko kuchukuwa ambao tayari 'wanajiweza' ambao hata wakienda shule nyingine bado wanaweza kufanya vizuri.
Naelewa perspective yako kuwa shule kwa sasa ni biashara zaidi na mmiliki/mfanya biashara anayo haki ya kufanya lolote ili kuongeza faida ili muradi havunji sheria.
Thank you.G'luck with that bro.
Many have tried to save the world before...
sasa hiyo criterion ya mtihani si inawapa nafasi wale tu wenye akili? Unless kama unaniambia baada ya huo mtihani watachukua 150 ambao hawakufaulu?Ni hatua tu ya kuwachuja watu kwa sababu nafasi ni chache, wangeweza kueka criterion nyingine, lakini ya kuwapa mtihani wa darasani naona iko njema zaidi na haina longolongo.
Kweli kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.....
Shule kama Marian, Kifungilo, Mary Goreth wala husikii redioni wahi sasa nafasi ni chache! Watu wanawahi wenyewe juu kwa juu
Kuhusu kudahiliwa, ni jambo la kawaida kabisa wale wanastandards zao na passmarks zao, they know how many they can or can't take
Nakumbuka Arusha School ya enzi zetu ilikuwa ni moja ya shule yenye kutoa wanafunzi makini sana, sasa hivi sifa imeshuka sana
kaka wewe mwalimu nini wa marian???........umeshawai kusikia ilboru,mzumbe,makongo,azania na st antony zikijitangaza??.......hapa point ni ileile kama kweli wanatoa elimu bora wachukue vilaza wawafundushe wakiwatoa ndo tutasema kweli ile shule kama kufahuru wanafahuru ilboru,aza,benja na mishule mingi tu msilete thread za kuadvertise shule.
Ku'disco' siyo lazima iwe kwamba mwanafunzi hamnazo. Inaweza kuwa imesababishwa pia na mazingira ya uchakachuaji. Mfano, mwanafunzi aliyezoe kujisomea vizuri na kufaulu akienda shule au chuo ambacho ushindi unategemea kuibia mitihani au kuhonga walimu anaweza kufeli. Shule nzuri zote zina marking scheme inayoeleweka mtu anapojibu swali. Lakini hizi za kuchakachua unakuta mtu anapewa maksi mfano 67.6% bila maelezo yoyote kipi kinatakiwa na kipi hakikutakiwa. Au unakuta mwanafunzi mwingine amejitahidi kujibu vizuri swali halafu anapewa maksi 39.1% bila maelezo. Siamini sana mfumo wa usahihishaji kwenye shule nyingi au vyuo vingi hapa Tanzania!Hzo mbwembwe 2 mkuu,mwaka huu nawajua 9 walioko vyuo mbalimbali hapa tz wamedisco.
Wanabodi,
Leo ndio siku ya Interview ya kujiunga na Shule ya Sekondary ya Marrian Girls iliyopo Bagamoyo.
Interview hiyo inahusisha mtihani wa masomo matatu ya Hisabati, Kiingereza na Maarifa ambayo wataifanya kwa masaa 4 mfulilizo. Imeelezwa mtihani huo ni mgumu mara 10 kumi zaidi ya mtihani wa taifa wa darasa la 7 uliofanyika wiki mbili zilizopita ili watakaofaulu ndio watakao chaguliwa kujiunga na shule hiyo.
Jumla ya waombaji ni 3000 wakigombea nafasi 150 tuu!. Kila muombaji amelipia fomu ya kujiunga kwa Sh. 15,000/= hivyo kwa zoezi hilo la interview pekee, shule hiyo imeshajiingizia Shilingi Miilioni 45 ya chap chap!.
Kufuatia interview hiyo, asubuhi ya leo imeanza kwa mashindano ya magari kuelekea Bagamoyo na mjini Bagamoyo penyewe ndio hapafai kabisa kwa makundi ya watu. Ziko familia zenye uwezo wamekuja na magari mawili kuanzia baba, mama, bibi, babu, mjomba, shangazi, na watoto wa familia wakimsindikiza mtoto kufanya interview as if wakiwa wengi basi mtoto wao ataongezewa maksi!.
Magari zaidi ya 1000 kuizunguka Marian Girls ni kizungumkuti, hivyo Traffic police wametanda kuyaongoza magari kwa kuyazuia kukaribia eneo la shule hivyo wanafunzi kulazimika kutembea nusu maili kuifikia shule. Hao traffic wakiona gari za kipesa pesa ziliruhusiwa kupita ndani kwa kihisiwa ni waheshimiwa!.
Na tukirudi mitaani Bagamoyo leo, kila hoteli, kila mgahawa, kila kioski, kila chini ya mti kwenye kivuli ni parking za magari!. Waliokuja ki-pikiniki wamekuja,waliokuja ki beach beach wamekuja na mahotelini hakuna chochote watu wameshakomba kila kitu!.
Kwa wale watoto wa familia za kula kuku sio mpaka siku ya sikukuu au soda sio mpaka wakija wageni au mayai mpaka wakiogua na matunda mpaka waambiwe na dakitari, ile kutembezwa tuu nusu maili kabla ya kuingia chumba cha mtihani ndio elimination test ya kwanza kwa wabafunzi wenye uwezo wa wastan kufanya mtihani wakiwa tayari exhausted hivyo kufanya vibaya.
Kwa idadi hiyo ya wanafunzi 3000 kugombea nafasi 150 inamaanisha watakaofaulu ndio top most cream hivyo wanakuwa ni wepesi kufundishika ukijumlisha na spoon feeding ya kutafuniwa kila kitu na wao kupewa kumeza, then no wonder ni kwa nini St. Marrian Girls wanatoa Div 1 za darasa zima na kuongoza kwenye ufaulu kitaifa.
Swali kwa nyie wanafunzi wa kisasa ambao mtakutana na hivi vichwa vya Marrian Girls jee ni vichwa kiukweli mpaka huko mavyuoni?.
Nakumbuka tukiwa UD shule zilizokuwa zikiongoza wakati huo zilileta nusu ya darasa kupiga Law. Tangu registration pale chini ya Mdigrii hadi faculty walikuwa wakipiga ung'eng'e tuu as if Kiswahili hawajui yaani hadi kucheka walikuwa wakicheka kizingu!. Hata ukimuuliza kitu kwa Kiswahili kwanza atakuuliza " what?" ili swali lako uliulize kwa Kiingereza na ukisisitiza kwa Kiswahili ndipo atajilazimisha kwa "you mean" nyingi na ma "what na what not" kibao ili mradi ni kiswanglish kwa kwenda mbele!. Sie wengine tukawaona kusema ukweli wenzetu wanaakili!. Kufika matokea ya mwisho ya mwaka wa kwanza, wanafunzi kumi naa wakapigwa Disco, wachache waliobakia nao wakalabwa disco mwaka wa pili, na sikumbuki hata ni wangapi walifanikiwa kumaliza ila tukikutana nao mitaani kwa sasa ni Kiswahili safi kwa kwenda mbele!.
Naomba Kuwakiliza.
Kimsingi nakuunga mkono kuwa wazazi wasikurupuke.Zipo tetesi kuwa hawa watoto wanamezeshwa kila kitu na mbaya zaidi nilishawahi sikia kuwa huwa wamiliki wa hizi shule wanafanya jitihada binafsi za kuwaibia mitihani ya Taifa (NECTA).Hii ni kwa minajili ya kujenga jina la shule ili kuvutia wateja wengi kwani wao wapo kibiashara zaidi.
Wanabodi,
Leo ndio siku ya Interview ya kujiunga na Shule ya Sekondary ya Marrian Girls iliyopo Bagamoyo.
Interview hiyo inahusisha mtihani wa masomo matatu ya Hisabati, Kiingereza na Maarifa ambayo wataifanya kwa masaa 4 mfulilizo. Imeelezwa mtihani huo ni mgumu mara 10 kumi zaidi ya mtihani wa taifa wa darasa la 7 uliofanyika wiki mbili zilizopita ili watakaofaulu ndio watakao chaguliwa kujiunga na shule hiyo.
Jumla ya waombaji ni 3000 wakigombea nafasi 150 tuu!. Kila muombaji amelipia fomu ya kujiunga kwa Sh. 15,000/= hivyo kwa zoezi hilo la interview pekee, shule hiyo imeshajiingizia Shilingi Miilioni 45 ya chap chap!.
Kufuatia interview hiyo, asubuhi ya leo imeanza kwa mashindano ya magari kuelekea Bagamoyo na mjini Bagamoyo penyewe ndio hapafai kabisa kwa makundi ya watu. Ziko familia zenye uwezo wamekuja na magari mawili kuanzia baba, mama, bibi, babu, mjomba, shangazi, na watoto wa familia wakimsindikiza mtoto kufanya interview as if wakiwa wengi basi mtoto wao ataongezewa maksi!.
Magari zaidi ya 1000 kuizunguka Marian Girls ni kizungumkuti, hivyo Traffic police wametanda kuyaongoza magari kwa kuyazuia kukaribia eneo la shule hivyo wanafunzi kulazimika kutembea nusu maili kuifikia shule. Hao traffic wakiona gari za kipesa pesa ziliruhusiwa kupita ndani kwa kihisiwa ni waheshimiwa!.
Na tukirudi mitaani Bagamoyo leo, kila hoteli, kila mgahawa, kila kioski, kila chini ya mti kwenye kivuli ni parking za magari!. Waliokuja ki-pikiniki wamekuja,waliokuja ki beach beach wamekuja na mahotelini hakuna chochote watu wameshakomba kila kitu!.
Kwa wale watoto wa familia za kula kuku sio mpaka siku ya sikukuu au soda sio mpaka wakija wageni au mayai mpaka wakiogua na matunda mpaka waambiwe na dakitari, ile kutembezwa tuu nusu maili kabla ya kuingia chumba cha mtihani ndio elimination test ya kwanza kwa wabafunzi wenye uwezo wa wastan kufanya mtihani wakiwa tayari exhausted hivyo kufanya vibaya.
Kwa idadi hiyo ya wanafunzi 3000 kugombea nafasi 150 inamaanisha watakaofaulu ndio top most cream hivyo wanakuwa ni wepesi kufundishika ukijumlisha na spoon feeding ya kutafuniwa kila kitu na wao kupewa kumeza, then no wonder ni kwa nini St. Marrian Girls wanatoa Div 1 za darasa zima na kuongoza kwenye ufaulu kitaifa.
Swali kwa nyie wanafunzi wa kisasa ambao mtakutana na hivi vichwa vya Marrian Girls jee ni vichwa kiukweli mpaka huko mavyuoni?.
Nakumbuka tukiwa UD shule zilizokuwa zikiongoza wakati huo zilileta nusu ya darasa kupiga Law. Tangu registration pale chini ya Mdigrii hadi faculty walikuwa wakipiga ung'eng'e tuu as if Kiswahili hawajui yaani hadi kucheka walikuwa wakicheka kizingu!. Hata ukimuuliza kitu kwa Kiswahili kwanza atakuuliza " what?" ili swali lako uliulize kwa Kiingereza na ukisisitiza kwa Kiswahili ndipo atajilazimisha kwa "you mean" nyingi na ma "what na what not" kibao ili mradi ni kiswanglish kwa kwenda mbele!. Sie wengine tukawaona kusema ukweli wenzetu wanaakili!. Kufika matokea ya mwisho ya mwaka wa kwanza, wanafunzi kumi naa wakapigwa Disco, wachache waliobakia nao wakalabwa disco mwaka wa pili, na sikumbuki hata ni wangapi walifanikiwa kumaliza ila tukikutana nao mitaani kwa sasa ni Kiswahili safi kwa kwenda mbele!.
Naomba Kuwakiliza.
mkuu hyo benjamin unayoitaja kuwa wanafaulu, una uhakika unachozungumza au? Wana zero mia na ushee, katka shule za serìkal zilizopo mjiní benjamìn inaongoza kwa kuproduce zero.
si kweli kuwa nafasi ni 150, ni takribani 300 maana ni entry exams ya shule 2 za Marian BOYS & GIRLS. Kuhusu wingi wa candidates yes, but mi nadhani mmiliki anajaribu kutoa nafasi kwa yeyeto anaependa kusoma pale ajaribu bahati yake, So hii si mbaya kwa mtazamo wangu. Pia suala la mil 45 za chapchap kidogo ninawasiwasi na uwezo wa kufikiri wa muwasilishaji. Kuna gharama nyingi sana katika kuratibu mitihani! Mf printing,statiories,invigilators,markers payments, etc so its not a simple math as he did.
Na mwisho mafanikio ya chuo kikuu hayako related sana na shule uliotoka it is a personal issue! Hata waliosoma kayumba wengi tu wanafanya vibaya vyuoni. Fanya uchunguzi wa kina kabla ya kuwasilisha hoja!
We kuwa analytical, huwezi kuiba mitihani miaka 10 mfululizo. sema realities. Huo ni wivu wa marian. acha roho ikuume
swala la wizi wa mitihani sio miaka kumi tu kaka mbona kitambo sana kwa hii mishule ya private na hiyo ya seminary shule ni govt ndo hazina hayo mambo ya ajabu tunasoma tunaelewa tunajibu mitihani na tunafahulu na tunaunganisha vyuo govt na wengine scholarship so kataa ila wizi unafanyika na kwanini huwa hawapendi kufanya mitihani kwenye centers mbalimbali???
mngekuwa na statistical data to back up your claim,wanaongoza kusupp/kudisco mlimani ni wanaotoka marian na shule za kikatoliki tungewaelewa,kwa sasa hivi mnaongelea hisia tu na inferiority complex zenu ndio zinawasumbua si kweli kuwa wanafunzi wa hizo shule hawaandaliwi kucope na modern world at univeristy......infact tunaona madkatari kibao na wengine wako successful katika profffesion nyingine kutoka hizo shule...hao mamilion wanaogombea watoto wao kuingia ktk hio shule are not stupid as some of you want us to believe.
Wanabodi,
Leo ndio siku ya Interview ya kujiunga na Shule ya Sekondary ya Marrian Girls iliyopo Bagamoyo.
Interview hiyo inahusisha mtihani wa masomo matatu ya Hisabati, Kiingereza na Maarifa ambayo wataifanya kwa masaa 4 mfulilizo. Imeelezwa mtihani huo ni mgumu mara 10 kumi zaidi ya mtihani wa taifa wa darasa la 7 uliofanyika wiki mbili zilizopita ili watakaofaulu ndio watakao chaguliwa kujiunga na shule hiyo.
Jumla ya waombaji ni 3000 wakigombea nafasi 150 tuu!. Kila muombaji amelipia fomu ya kujiunga kwa Sh. 15,000/= hivyo kwa zoezi hilo la interview pekee, shule hiyo imeshajiingizia Shilingi Miilioni 45 ya chap chap!.
Kufuatia interview hiyo, asubuhi ya leo imeanza kwa mashindano ya magari kuelekea Bagamoyo na mjini Bagamoyo penyewe ndio hapafai kabisa kwa makundi ya watu. Ziko familia zenye uwezo wamekuja na magari mawili kuanzia baba, mama, bibi, babu, mjomba, shangazi, na watoto wa familia wakimsindikiza mtoto kufanya interview as if wakiwa wengi basi mtoto wao ataongezewa maksi!.
Magari zaidi ya 1000 kuizunguka Marian Girls ni kizungumkuti, hivyo Traffic police wametanda kuyaongoza magari kwa kuyazuia kukaribia eneo la shule hivyo wanafunzi kulazimika kutembea nusu maili kuifikia shule. Hao traffic wakiona gari za kipesa pesa ziliruhusiwa kupita ndani kwa kihisiwa ni waheshimiwa!.
Na tukirudi mitaani Bagamoyo leo, kila hoteli, kila mgahawa, kila kioski, kila chini ya mti kwenye kivuli ni parking za magari!. Waliokuja ki-pikiniki wamekuja,waliokuja ki beach beach wamekuja na mahotelini hakuna chochote watu wameshakomba kila kitu!.
Kwa wale watoto wa familia za kula kuku sio mpaka siku ya sikukuu au soda sio mpaka wakija wageni au mayai mpaka wakiogua na matunda mpaka waambiwe na dakitari, ile kutembezwa tuu nusu maili kabla ya kuingia chumba cha mtihani ndio elimination test ya kwanza kwa wabafunzi wenye uwezo wa wastan kufanya mtihani wakiwa tayari exhausted hivyo kufanya vibaya.
Kwa idadi hiyo ya wanafunzi 3000 kugombea nafasi 150 inamaanisha watakaofaulu ndio top most cream hivyo wanakuwa ni wepesi kufundishika ukijumlisha na spoon feeding ya kutafuniwa kila kitu na wao kupewa kumeza, then no wonder ni kwa nini St. Marrian Girls wanatoa Div 1 za darasa zima na kuongoza kwenye ufaulu kitaifa.
Swali kwa nyie wanafunzi wa kisasa ambao mtakutana na hivi vichwa vya Marrian Girls jee ni vichwa kiukweli mpaka huko mavyuoni?.
Nakumbuka tukiwa UD shule zilizokuwa zikiongoza wakati huo zilileta nusu ya darasa kupiga Law. Tangu registration pale chini ya Mdigrii hadi faculty walikuwa wakipiga ung'eng'e tuu as if Kiswahili hawajui yaani hadi kucheka walikuwa wakicheka kizingu!. Hata ukimuuliza kitu kwa Kiswahili kwanza atakuuliza " what?" ili swali lako uliulize kwa Kiingereza na ukisisitiza kwa Kiswahili ndipo atajilazimisha kwa "you mean" nyingi na ma "what na what not" kibao ili mradi ni kiswanglish kwa kwenda mbele!. Sie wengine tukawaona kusema ukweli wenzetu wanaakili!. Kufika matokea ya mwisho ya mwaka wa kwanza, wanafunzi kumi naa wakapigwa Disco, wachache waliobakia nao wakalabwa disco mwaka wa pili, na sikumbuki hata ni wangapi walifanikiwa kumaliza ila tukikutana nao mitaani kwa sasa ni Kiswahili safi kwa kwenda mbele!.
Naomba Kuwakiliza.