Uchaguzi 2020 Sababu za msingi kwanini nimchague huyu ndani ya CHADEMA licha ya watia Nia kibao

Uchaguzi 2020 Sababu za msingi kwanini nimchague huyu ndani ya CHADEMA licha ya watia Nia kibao

hata Jiwe anajua vzr Lisu ndio kiboko yake...hata lile angalizo la hotuba ya kulivunja bunge kwamba "matusi" na "kejeli" havitavumiliwa wakati wa uchaguzi alimlenga yeye maana anamjua cheche zake vizuri.

atampeleka puta kampeni mwanzo mwisho Jiwe atakuwa anajibu tuhuma tuu

sema uchaguzi ukiisha ikatokea Jiwe kashindishwa namshauri Lisu apande "mwewe" fasta arudi Ulaya...usiniulize kwann!!!.
 
Kama atagombea Lissu au Zitto kutoka upinzani ndio ntaenda kupiga kura hata Kama nec na police wataihujumu kura yangu lkn kwa hao wawil ntapiga kura.
 
Lissu ana kura yangu na wana familia wangu wote! Asipoteuliwa wala sitoenda hata kupiga kura
Siku atakayopitishwa T.A.M.L kugombea urais wa JMT kwa tiketi ya CDM,ndio siku nitaenda kufanya booking ya usafiri wa kunirejesha nyumbani ili by siku ya uchaguzi niwe Dar,kupiga kura yangu kwake.
 
Kilichompa umaarufu Lissu ni uongeaji wake ila sidhani kama kuna kitu alichonacho Lissu ambacho watu wanaona anafaa kuwa kiongozi,labda watu wangeeleza wanaona nini kwa Lissu endapo akiwa rais wa nchi?
 
Ili chadema iendelee kusomeka kwenye lamani ya siasa za Tanzania,ni lazima waende na Lissu wakichagua mwingine hapo ndio watakuwa wamejichimbia kabri lao wenyewe.
Lisu wafuasi wake wengi ni malofa wa mitandaoni ambao wala hawako kwenye vikao vya maamuzi vya kuamua nani awe mgombea!!!!!! uwanjani wenye wafuasi wengi wa kwanza ni Mbowe ana mtandao wa wachaga nchi nzima wenye pesa na ushawishi kwenye maeneo yao walipo yawe mabaa wanayomiliki nk

Mbowe akienda popote hakosi mapokezi kuna timu za wachaga za kumpokea na magari na honi bila kulipa hata mia.Mtandao wa Mbowe ndio Lowasa aliutumia kujaza ule umati maviwanjani walitoa mabasi bure kusafirisha watu,boda boda kuwajazia mafuta nk

Lisu network hana tegemeo lake kudandia network ya mbowe

Nyalandu pesa ipo na anaiva vizuri na Mbowe .Ni watu wenye uwezo wanaoweza ongea Lugha inayofanana na wako club moja ya elites wenye nazo ndani ya Chadema.Nyalandu Ana uwezo wa kurusha helikopta nchi nzima kwa pesa zake akajaza mafuta mabasi ya kubeba watu na bodaboda

Mbowe na Nyalandu mmojawapo lazima achukue ugombea uraisi .Na yeyote akichukua kati yao wala hawana shida wataungana mkono sababu wote ni Chadema club of the elites.Tundu Lisu na wengine ni out of the equation

Tundu Lisu ajiandae tu kisaikolojia .Sema na ujeuri wake umechangia.Akina Mbowe walimuambia arudi nchini awe karibu na wanachama yeye akatoa sharti kuwa atarudi kwa sharti moja kuwa chadema wamteue kwanza kuwa mgombea uraisi ndio arudi.!!
Mbowe na team yake wakaona Lisu anajifanya kuwashinikiza kama nani? ndio wakafungulia mlango kuwa kila anayetaka kugombea achukue form na wao wakachukua kumwonyesha Lisu wazi kuwa ana ji over estimate he is nobody ndani ya CHadema he is like anybody!!!

Lisu Ajiandae tu kutimukia ACT wazalendo akagombee aambulie vikura vichache vya Zanzibar ambako Act wazalendo walau ipo huku bara hataambulia kitu mitandao ya Mbowe itampa kura Mbowe au Nyalandu na hivyo kumfanya LISU abaki tu katoa mimacho kwenye miwani bila ushindi wowote!!
 
Tatizo la lisu moja tu,,akiwekewa kauzibe ghafla,,cdm wanafanyaje?ile kitu wanaita kujump bail?

Hata akiwekewa kauzibe poa tu lakini ndio tunayemkubali. Tutahesabu kuwa ndani ya hizi chaguzi mbili, cdm haikuwa na mgombea wa urais.
 
Lisu wafuasi wake wengi ni malofa wa mitandaoni ambao wala hawako kwenye vikao vya maamuzi vya kuamua nani awe mgombea!!!!!! uwanjani wenye wafuasi wengi wa kwanza ni Mbowe ana mtandao wa wachaga nchi nzima wenye pesa na ushawishi kwenye maeneo yao walipo yawe mabaa wanayomiliki nk

Mbowe akienda popote hakosi mapokezi kuna timu za wachaga za kumpokea na magari na honi bila kulipa hata mia.Mtandao wa Mbowe ndio Lowasa aliutumia kujaza ule umati maviwanjani walitoa mabasi bure kusafirisha watu,boda boda kuwajazia mafuta nk

Lisu network hana tegemeo lake kudandia network ya mbowe

Nyalandu pesa ipo na anaiva vizuri na Mbowe .Ni watu wenye uwezo wanaoweza ongea Lugha inayofanana na wako club moja ya elites wenye nazo ndani ya Chadema.Nyalandu Ana uwezo wa kurusha helikopta nchi nzima kwa pesa zake akajaza mafuta mabasi ya kubeba watu na bodaboda

Mbowe na Nyalandu mmojawapo lazima achukue ugombea uraisi .Na yeyote akichukua kati yao wala hawana shida wataungana mkono sababu wote ni Chadema club of the elites.Tundu Lisu na wengine ni out of the equation

Tundu Lisu ajiandae tu kisaikolojia .Sema na ujeuri wake umechangia.Akina Mbowe walimuambia arudi nchini awe karibu na wanachama yeye akatoa sharti kuwa atarudi kwa sharti moja kuwa chadema wamteue kwanza kuwa mgombea uraisi ndio arudi.!!
Mbowe na team yake wakaona Lisu anajifanya kuwashinikiza kama nani? ndio wakafungulia mlango kuwa kila anayetaka kugombea achukue form na wao wakachukua kumwonyesha Lisu wazi kuwa ana ji over estimate he is nobody ndani ya CHadema he is like anybody!!!

Lisu Ajiandae tu kutimukia ACT wazalendo akagombee aambulie vikura vichache vya Zanzibar ambako Act wazalendo walau ipo huku bara hataambulia kitu mitandao ya Mbowe itampa kura Mbowe au Nyalandu na hivyo kumfanya LISU abaki tu katoa mimacho kwenye miwani bila ushindi wowote!!

Naona umeamua kutengeneza nadharia zako kisha ukaziweka kwenye mtiririko unaodhani utatuchanganya, kwa kudhani kuwa hatuna uelewa wowote. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani, tunamkubali Lissu kuliko mgombea yoyote wa upinzani, awe cdm au chama kingine chochote cha upinzani. Na iwapo Lissu hatapitishwa kugombea, ndio atazidi kuongezea nguvu maamuzi yetu ya kutokupiga kura, kutokana na kutokuwa na tume huru uchaguzi.

Hizo propaganda mfu za ukabila sijui Mbowe anakubalika na Wachagga, sijui Nyalandu ana pesa hizo kwetu hazina nafasi, bali wapelekee waumini wenzio wa siasa chafu. Tunachojua sisi wapiga kura wengi wa upinzani tunamtaka Lissu. Kuhusu kurejea kwa Lisu hapa nchini, tatizo ni lile kundi la watu wasiojulikana linalomilikiwa na kufadhaliwa na Yesu wa ccm. Usitake kupotosha ukweli kwa kudhani hatujui lipi ni lipi. Na hata ikitokea Lissu akakimbilia ACT kwa sababu zozote zile, bado kura zetu tutampa yeye na sio mgombea mwingine yoyote, awe wa upinzani au Magufuli. Hapa ni mambo ya kipenda roho.
 
Sisi wapiga kura wengi wa upinzani, tunamkubali Lissu kuliko mgombea yoyote wa upinzani, awe cdm au chama kingine chochote cha upinzani.
Sema nyie wapiga kura wa upinzani wa mitandaoni!!!! Uzuri hamko kwenye maamuzi ya nani agombee!!!

Lisu wenu mapema asubuhi anapigwa chini hapewi ugombea yule mark my words jiandae tu kisaikolojia usije dodondoka chini mwambie na Lisu
 
. Kuhusu kurejea kwa Lisu hapa nchini, tatizo ni lile kundi la watu wasiojulikana
Ndio maana CHADEMA imeamua wagombea wengi wachukue fomu sababu Lisu mwenyewe hajulkikani atarudi au harudi!! Wanaona wasipoteze muda kuhangaika na mtu asiyeeleweka kurudi kwake mara ohhh nitarudi Magufuli akiondoka madarakani, mara ohh naogopa kurudi sababu ya wasiojulikana mara ohh kageuka nagombea uraisi !!! sasa anagombeaje wakati Raisi Magufuli bado yuko madarakani na hao anaowaita wasiojulikana kwani wameondoka nchini?

Lisu ni mental case
 
Sema nyie wapiga kura wa upinzani wa mitandaoni!!!! Uzuri hamko kwenye maamuzi ya nani agombee!!!

Lisu wenu mapema asubuhi anapigwa chini hapewi ugombea yule mark my words jiandae tu kisaikolojia usije dodondoka chini mwambie na Lisu

Wanachotambia chama chochote ni sisi wapiga kura, kama sisi wapiga kura hatuvutiwi nao, hata wamchague nani ambaye sio chaguo letu ni kazi bure. Tena hao vyama vya upinzani ndio vinabidi vitusikilize sisi wapiga kura zaidi, maana wao hawana mbeleko nyama vyombo vya dola kama ccm.

Sina chochote cha kuniangusha iwapo hatapita Lissu, mbona alichaguliwa lowasa na nilikuwa simkubali na sikuanguka?
 
Ndio maana CHADEMA imeamua wagombea wengi wachukue fomu sababu Lisu mwenyewe hajulkikani atarudi au harudi!! Wanaona wasipoteze muda kuhangaika na mtu asiyeeleweka kurudi kwake mara ohhh nitarudi Magufuli akiondoka madarakani, mara ohh naogopa kurudi sababu ya wasiojulikana mara ohh kageuka nagombea uraisi !!! sasa anagombeaje wakati Raisi Magufuli bado yuko madarakani na hao anaowaita wasiojulikana kwani wameondoka nchini?

Lisu ni mental case

Hoja yako mwanzo ilikuwa ni kwamba Mbowe ndio anakubalika na Wachagga, na Nyalandu ana pesa, hivyo hao ndio wagombea wa cdm. Ila naona saa hii umebadili propaganda unasema wagombea ni wengi kisa Lissu haeleweki kama atarudi! Kimsingi Lisu kurudi au kutokurudi atapima yeye kutokana na utashi wake, hasa kulingana na usalama wake, ila sisi wapinga kura wengi wa upinzani, huyo ndio chaguo letu. Hawa wengine wote hatuoni yoyote wa kutufanya tupate Tume huru ya uchaguzi wala katiba mpya. Wangalau Halima Mdee angegombea, angekuwa mbadala halisi wa Lisu na sio mwingine yoyote.
 
Back
Top Bottom