Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Yatakuwa makosa ya kihistoriaMbowe atapitishwa halafu atabadili gia angani na kumpisha Lazaro Nyalandu agombee urais kupitia Chadema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatakuwa makosa ya kihistoriaMbowe atapitishwa halafu atabadili gia angani na kumpisha Lazaro Nyalandu agombee urais kupitia Chadema!
Hana utani amedhamiriaLissu ni mtu ambaye unapomtazama hauna hata chembe ya kumtilia shaka
Hahahaaaa........!Yatakuwa makosa ya kihistoria
Sinking shipMbowe atapitishwa halafu atabadili gia angani na kumpisha Lazaro Nyalandu agombee urais kupitia Chadema!
Mkuu punguza ukali wa manenoLissu lazima atoboe pApuchi za ccm zote
Nami siamini sana huenda kuna plan BHivi Mbowe yuko serious kabisa!?
Ndio maana nimesema labda Mbowe ni plan B.Tatizo la lisu moja tu,,akiwekewa kauzibe ghafla,,cdm wanafanyaje?ile kitu wanaita kujump bail?
Watia nia Mpaka sasa
1. Tundu Lissu
2. Freeman Mbowe
3. Lazaro Nyalandu
4. Peter Msigwa,
Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu
KUNDI A
Wanaoonekana kuimiliki chadema kimtizamo na mawazo ya waliowengi japo wana maono na ni wachapakazi
KUNDI B
Wanaoonekana Kuwa wapya na wana uwezo wa kuongoza
KUNDI C
Wanaoonekana kutoaminiwa kutokana na kosa walilofanya CHADEMA Mwaka 2015,
Hapo nayeona anafaa kukaa kundi B ni TUNDU ANTI PASS LISSU
Kwanza ana uwezo mkubwa sana kulinganisha na Wengine
Ana nia ya dhati na amedhamiria hatanii,
Uwezo wake wa Kuongoza unaonekana dhahiri
SABABU ZA KWANINI SIMPENDELEI MBOWE
Moja pamoja na kazi nzuri anayofanya Mbowe ila CHADEMA kwa muda mrefu imeonekana kuwekwa mfukoni , japo si kweli , lakini ilo yapaswa lifutike kwa kutomsimamisha,
Pili, Mbowe anatakiwa astaafu siasa ndani ya CDM maana aliyoyafanya ni makubwa na Ameshaweka Heshima
Tatu, Hana uthubutu wa Lissu
KWANINI SIMPENDELEI NYALANDU
Pamoja na watu kumuona ana uwezo mkubwa kimataifa na kiintelijensia, lakin tuwape kwanza waliosiginwa vya kutosha ndani ya CHAMA, Ku avoid makosa ya Kumpa wa Kuja alafu baadae akahama,
KWA MSIGWA
niwe Mkweli Msigwa siyo Presidential Material at all
Nampendekeza lissu Japo naye anapaswa kupunguza madhaifu yake
Pitia hapa
Ufanano na utofauti wa Magufuli na Lissu kwenye ngazi ya juu ya uongozi wa nchi
Britanicca
Mbowe atapitishwa halafu atabadili gia angani na kumpisha Lazaro Nyalandu agombee urais kupitia Chadema!
Lissu ni mtu ambaye unapomtazama hauna hata chembe ya kumtilia shaka
Wewe tuletee habari za lumumba tu, za huku waachie wengine.
Lissu ana kura yangu na wana familia wangu wote! Asipoteuliwa wala sitoenda hata kupiga kura
Wataanza sasa hivi kuuguaLissu lazima atoboe pApuchi za ccm zote
Lissu for Presidency
Tulia mtoboleweZa wana chadema kashamaliza zote! Yani hakuna akiyeachwa!
Lisu hana sifa!Naona mnamuogopa sana mh Lissu
Lisu hana sifa!