Uchaguzi 2020 Sababu za msingi kwanini nimchague huyu ndani ya CHADEMA licha ya watia Nia kibao

Rais wa nchi hii ni Mh. John Pombe Magufuli. Chadema mwaka huu mtadondokea pua maana kura zitakuwa chache sana na wabunge ni kama sifuri tu.
 
Tunashukuru sana kwa kutupatia mawazo yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…