Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaje kuwa wameachana nae kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao??? Sababu zipo ndani ya uwezo wao ndio maana
Ndio hapo wanapotuchanganya hizo sababu ni zipi?Wanasemaje kuwa wameachana nae kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao??? Sababu zipo ndani ya uwezo wao ndio maana wameachana
Okay alinyimwa?Bila kumung'unya maneno, kuna mtu aliwahi kusema CEO alikosa vibali vya kazi.
KumbeeVetting ya kitengo imemkataa, APR ni timu ya jeshi la Rwanda
Kwa mujibu wa mleta mada mmoja wiki chache zilizopitaOkay alinyimwa?
Tuna haki ya kufahamu kwasababu kwanini aondolew ghafla licha ya mwenendo mzuri wa timu.Itoshe kusema " sababu zilizo nje ya uwezo wao" vinginevyo unatafuta nongwa
Serikali iondoe na Wanyarwanda wengine waliojaa Serikalini.Wanyarwanda wanaogopeka kwenye mataifa mengi ukanda huu
Yule alikuwa auze ramani na Siri nyingi za Taifa letu
Kongole Kwa serikali kuchunguza na kumnyima kibali
Asa sababu si washasema njee ya uwezo waoTuna haki ya kufahamu kwasababu kwanini aondolew ghafla licha ya mwenendo mzuri wa timu.