Sababu za Simba kuachana na CEO wao ni zipi

Sababu za Simba kuachana na CEO wao ni zipi

Hivyo ni visingizio tu. Unaposema watawala kucontrol timu za mpira ina maana kuna upangaji wa matokeo pia. Wewe unaunga mkono hilo jambo?
Wewe jamaa upo bongo hii hii au unazungumza kutokea wapi ..
Nini uschojua au unanichekecha
 
Sijapinga kinachosemwa ila nipe tafsiri ya kucontrol mpira wa bongo
Na siyo mpira tu ndugu yangu siasa ya kwanza ya nchi hii ni Simba na yanga..
Ukizikamata hizi team vizuri umeweza kuitawala Tanzania
 
Back
Top Bottom