future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Sio zote!
Ila Iko stori moja ya msemaji wa Yanga Ali alimponda sana huku watu hatujui kitu chochote baadae heee tukashangaa dogo ndo huyo huyo amekuwa semaji lenye barka Yanga! Sijui alizipataje kuwa Ali yumo anagombea!
jamaa ana info za uhakika ila mnamchukulia poa tumpe credit zake genta