Kaka Mshana hoja yako naipinga kwa asilimia 95,,Usiseme wasanii duniani afadhali ungesema wasanii wa kibongo,vilevile hata wasanii wa kibongo sio wote wana akili hio ni baadhi yao
Kama vile Mr Nice,alikuwa na wapambe kiasi kwamba akisafiri ktk show zake mikoani,wapambe tu wanajaa ndani ya costet[emoji38]
TID alikua akienda sehem msafara kuliko wa waziri mkuu[emoji38]
Lkn kuna wasanii waliotuliza akili zao kama vile sugu,profesa J,diamond,lady jdee na wengineo hao walikuwa wakiwekeza wakati wana make money
Walifungua miradi biashara.na maisha yaliendelea
Leo masanja mkandamizaji kila msimu wa kilimo cha mpunga hakosi gunia elf na kuendelea