Sababu za waimbaji wengi kufilisika Duniani kulipa watu ovyo

Axa ujinga.rudi shule hera ndio nini mkuu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kipato cha muuza nyanya na njugu ndio ufananishe na kipato cha msanii? Msanii kupiga show moja wengine wanaingiza hadi 10m per week,wasanii wengi wanalipwa kwa "CAMEO" tu,Wasanii wanakuwa mabalozi/brand ambassador wanalipwa mipunga ya kutosha,wanafanya matangazo ya biashara ,wanafanya matangazo kwenye pages zao halafu unataka kusema wawe wanaishi maisha kama ya digidigi?
 
Ni kitendo cha kupata thawabu huku ukiwa unajongea kwenye mlima wa moto ingawa muda huo Yuda anakua anakucheki maana usahili utaendelea mpk machweo ya siku muhimu kabisa, pia itategemea na maandalizi ya siku zinazofuata pamoja na warsha maalumu kwenye kila idara husika na usisahau bado Oxygen sensor,air cleaner,hoses zitahitajika kwa pamoja.
‘Kujionyesha’ ni nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Kwa hawa wabongo ,asilimia kubwa ni waigizaji.



Unajua Mara nyingi Mali ilochumwa kwa muda mfupi huwai pia kuyeyuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…