vulturine vulture
Senior Member
- Sep 5, 2019
- 154
- 99
Axa ujinga.rudi shule hera ndio nini mkuu??Kama hana hera kihivo kwann awe na msafara na mabodigadi kaama mvua kwann asiwe mwenyewe na watu wake wa mhimu au wa lazima kuwa nao eti unakuwa na watu kisa kwa kuwa mlikuwa mnasota wote geto au kitaani unadhani kila mtu akisema abebe watu alokuwa nao utotoni tutapiga hatua kweli!!? [emoji848] [emoji848]
Kama. Kweli anataka kupiga hatua aache hayo mazoea ya kifara na kujipa matumizi makubwa ambayo hana uwezo nayo bali kwa ss afanye vitu vya mhim na vya lazima tu ili kwa baadae akisha zikamata za kutosha ndo afanye hayo ma show off ila kwa ss hana uwezo huo zaid anachokitafuta ni kushuka kama sio kujichelewesha.. Fukuza wote kuanza upya sio ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app