Sababu za Wanaume kutonufaika na ndoa

Sababu za Wanaume kutonufaika na ndoa

Kumpiga mkeo, na kumpiga mbele ya watoto wenu, hii sio abuse?
Hii kitu haifanyiki na kila mwanaume ni kama kusema mwanamke kumtukana matusi ya nguoni mwanaume mbele ya watoto, si tukio ambalo utalikuta katika kila mahusiano.

Ni nadra kukutana na couple ambayo mwanaume anapiga mke mbele ya watoto wao na anafanya mara kwa mara ingawa hayo matukio yapo kwenye jamii yetu hata mimi nimeyaona. Ila sio ya kawaida sana au kutokea mfululizo.

So katika kutengeneza hoja, sio sawa kukuza kitu ambacho ni nadra na kukitumia kama main topic ya mjadala. Nikikuita uje kwenye mtaa wangu hapa unionyeshe wanawake wanaofanyiwa aina hii ya abuse ya kupigwa hautapata kitu maana mtaani kwetu hakuna tukio la namna hiyo muda mrefu sana. Labda kama wakilia wanamute sauti ila lazima majirani tungesikia.
 
Uko wapi.....
Me nakwambia ipo siku lazima Evelyn Salt tutajikuta kitandani tumeloa jasho hoi huku majirani wamepagawa nini kilikuwa kinaendelea kwa zile kelele na miguno na vitu kuanguka anguka as if kulikuwa na sterling na adui wanapigana huko ndani,kumbe ulikuwa ni mtanange. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtakula kwa jasho...
Kichwa cha familia...maana ya kichwa ni kama CPU...
Endeleeni kujikaza mmalize unabiii...
Mfano, kipato chetu tunatafuta kwa kubeti na tunafanyia kazi zetu chumba chenye A/C je, hapo si tutakuwa tunakinzana na maandiko?
 
Me nakwambia ipo siku lazima Evelyn Salt tutajikuta kitandani tumeloa jasho hoi huku majirani wamepagawa nini kilikuwa kinaendelea kwa zile kelele na miguno na vitu kuanguka anguka as if kulikuwa na sterling na adui wanapigana huko ndani,kumbe ulikuwa ni mtanange. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiiiiiiiiii wewe, uko wapiiiiiii.....😹
 
Mfano, kipato chetu tunatafuta kwa kubeti na tunafanyia kazi zetu chumba chenye A/C je, hapo si tutakuwa tunakinzana na maandiko?
Ahaha😀😀 bado akili inachemka bro..ubongo unachemka kwa ndani...
 
Wanaume hawanufaiki na ndoa!!!
1. Ana miaka 72.
2. Amestaafu kutoka katika huduma ya kazi.
3. Amejitolea maisha yake yote kuwalea watoto wake.
4. Amekataa starehe za maisha ili kugharamia ada ghali za shule na gharama za maisha ya watoto wake nje ya nchi.
5. Sasa wanaishi vizuri Ulaya, ama jijini Dar, Mwanza au Arusha
6. Mkewe, mwenye umri wa miaka 62, amehamia kuishi na watoto wao.
7. Yeye amebaki peke yake huko kijijini.
8. Watoto wake humpigia simu kidogo sana.
9. Anapaswa kuanza maisha upya kama mzalendo.
10. Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine yanayohusiana na uzee.
11. Atasurvive peke yake kwa muda gani zaidi?
12. Hii ndiyo hali halisi kwa wanaume wengi wa tabaka la kati: uzee wao mara nyingi ni wa upweke na, kwa visa vingi, huzuni.
13. Haijalishi jinsi mwanaume alivyo mzuri,aliyewajibika kwa familia yake, wanawake huonekana kuwapenda watoto wao zaidi ya waume zao. Kadri anavyozeeka, na waume zao kadri wanavyozeeka ndivyo inaonekana wana umuhimu mdogo kwao.
14. Kwa hivyo, wanaume wanufaikaje kweli na ndoa?
15. Wanatoa maisha mengi lakini wanapata kutambuliwa kidogo kwa kazi yao ngumu, huku mwanamke akionekana kuvuna faida zote.
Aliyeimba wanaume wameumbwa mateso kuhangaika huenda aliyaona haya pia .
Ukiwa kama mwanaume hali hii inaweza kuwa yako katika miongo michache ijayo.nini Unachofanya kuhusu hilo? Mpango wako wa kustaafu ni upi? Jali nafsi yako kama unavyojali familia yako. Jipende mwenyewe. Mungu akubariki.

KUMBUKA WANAUME WENYE WAKE WENGI, HAWAKUMBWI NA SHIDA HIZI
WANAUME WENYE WAKE WENGI WANAISHI MAISHA MAREFU
 
Ndo maana Huwa nampa thamani sana babayngu sio rahisi kuwa mwanaume lakini ndio mliumbwa mteseke ndugu zangu mjikaze
 
Wanaume hawanufaiki na ndoa!!!
1. Ana miaka 72.
2. Amestaafu kutoka katika huduma ya kazi.
3. Amejitolea maisha yake yote kuwalea watoto wake.
4. Amekataa starehe za maisha ili kugharamia ada ghali za shule na gharama za maisha ya watoto wake nje ya nchi.
5. Sasa wanaishi vizuri Ulaya, ama jijini Dar, Mwanza au Arusha
6. Mkewe, mwenye umri wa miaka 62, amehamia kuishi na watoto wao.
7. Yeye amebaki peke yake huko kijijini.
8. Watoto wake humpigia simu kidogo sana.
9. Anapaswa kuanza maisha upya kama mzalendo.
10. Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine yanayohusiana na uzee.
11. Atasurvive peke yake kwa muda gani zaidi?
12. Hii ndiyo hali halisi kwa wanaume wengi wa tabaka la kati: uzee wao mara nyingi ni wa upweke na, kwa visa vingi, huzuni.
13. Haijalishi jinsi mwanaume alivyo mzuri,aliyewajibika kwa familia yake, wanawake huonekana kuwapenda watoto wao zaidi ya waume zao. Kadri anavyozeeka, na waume zao kadri wanavyozeeka ndivyo inaonekana wana umuhimu mdogo kwao.
14. Kwa hivyo, wanaume wanufaikaje kweli na ndoa?
15. Wanatoa maisha mengi lakini wanapata kutambuliwa kidogo kwa kazi yao ngumu, huku mwanamke akionekana kuvuna faida zote.
Aliyeimba wanaume wameumbwa mateso kuhangaika huenda aliyaona haya pia .
Ukiwa kama mwanaume hali hii inaweza kuwa yako katika miongo michache ijayo.nini Unachofanya kuhusu hilo? Mpango wako wa kustaafu ni upi? Jali nafsi yako kama unavyojali familia yako. Jipende mwenyewe. Mungu akubariki.
Pole kwa kutelekezwa baada ya kustaafu
 
Haya mambo unaweza kuona kama ya kusadikika, lakini yanatokea sana. I know mzee mmoja (RIP), ambaye alivyostaafu akahamishia familia yake kijijini kwao, ambako alishajenga nyumba nzuri sana ya kustaafia. Mkewe alikaa muda mfupi, akatimkia Canada kwa binti yake.

Mzee alikaa, ikafika muda akaona cha kufia nini... akavuta dogodogo, akaanza maisha upya.

Cha muhimu mwanaume, tengeneza na future yako. Familia ikienda upande wake, ubaki na kitu cha kushikiria
Well said
 
Back
Top Bottom