OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #21
Mkuumkuu
kuna muda unajiuliza kwanini gamondi hakupenda kumtumia kabisa kibwana hata katika zile mechi ndogo?
leo saed anamuamini tena katika mechi ngumu kama jana, na kijana hajatuangusha kabisa amefanya kabwiti akaomba maji
boka ana shida ya kupiga tackling sana kwenye boksi hilo tu ila uwezo wa kupanda anaoa mkubwa sana sana
Ganobd kumchukia kivwana ni masuala ya kiroho zaidi