Sababu zangu za kuwaunga mkono Wapalestina ni za jadi ya Tanzania na Watanzania wote wanaojielewa

Hawana pakufanyia hayo.

Ujuwe hata hii wamepewa upenyo makusudi ili Gaza yote ichukuliwe na wayahudi, asibaki mpalestina hapo.

Wayahudi hapa ni kama walimpa samaki chambo akakimeza.

Wapalestina walilijuwa hilo, wakasema watajitosa tu na wao wakajiwekea mikakati kwanza wawadake mateka ili wajihami nao.

Bila mateka wakiyahudi, leo gaza isingekuwepo.
 
Nyie wakenya mnafanya nini somaIia?

Ngoja warudi Westgate 2

Si unafahamu kisasi cha wajomba zako wakisomali?
.
 
Very True... Hapa ndio umeongea fact

Huo ulikuwa ni mtego, Hamas bila kufikiria wameingia kichwa kichwa. Lengo la Israel ni kukamata ardhi zaidi.

Lakini kitendo cha kuua na kuteka raia kitafanya mataifa mengine yaliyotaka kuisadia Palestina yashindwe, kwa sababu tayari umoja wa mataifa umeshatafsiri kitendo cha kuua raia kama ni Ugaidi, hivyo nchi yoyote itakayotetea Kundi la Hamas nayo itaonekana kama ina fadhili ugaidi... Hapo ingekuwa vyema Hamas wangeshambulia ngome za jeshi la Israel tu, ingekuwa rahisi hata Misri au Saudi Arabia kuwatetea
 
Amani itawale, Palestina na Israel wakae chini na kumaliza tofauti zao

Kihistoria ilo eneo hata miaka ya zamani Israel waliishi hapo hata ukiangalia kumbukumbu nyingi za wayahudi , waarabu walikuja baadae sana hivyo wakisema hilo ni eneo lao la asili ntashangaa sana kwani hata majina ya miji tu hayana asili ya kiarabu

Mwisho wa siku wote wawili mnawaponza watu wasio na hatia kisa tu masuala yenu ya kisiasa, Palestina acheni fujo na Israel acheni kulipiza visasi
 
Nyie wakenya mnafanya nini somaIia?

Ngoja warudi Westgate 2

Si unafahamu kisasi cha wajomba zako wakisomali?
.

Yaani dini moja iwe ndio inapigana na dini zote, halafu majitu huwa hamna uzalendo, hata hiyo Tanzania huko Kibiti mlikua mnaua tu ndugu zenu, mtu akijiunga hiyo dini ndio ashakua muuaji maana hata asipoua ila ameamrishwa na 'mungu' wenu muarabu aue wasiomuabudu.....


Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha, Somalia
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Me nawaombea tu waongezewe siraha wauwane vizuri, Maana ni Mungu mwenyewe aliutengeneza uadui sisi ni nani tuukokeshe?
 
Mapapai mnajulikana kwa kubadili maneno, siwashangai kwa kuwa hiyo ndiyo maana kamili ya usengenyaji.
Hao sio tu mapapai Bali matango pori wamejazana humu kubadilisha maneno na kuutukana uislamu.. Ni Kuni za Jahannam hizo usibishane nazo.
 
Yoshua 1:4
From the wilderness and this Lebanon as far as the great river, the River Euphrates, all the land of the Hittites, and to the Great Sea toward the going down of the sun, shall be your territory.
 
Nyerere hakuunga mkono Hamasi. Magaidi yanayoanzisha vita na ugomvi alafu wenzao wakijibu wanajificha misikitini, hospitalini, vituo vya kulea watoto na makazi ya watu. PLO siyo Hamas
 
Hao sio tu mapapai Bali matango pori wamejazana humu kubadilisha maneno na kuutukana uislamu.. Ni Kuni za Jahannam hizo usibishane nazo.
Nani kakupa haki ya kuhukumu nani wa kwenda Jehanamu, hicho kibali umepewa na nani?
 
Mengi na mada tofauti hizo.

Ntajichetuwa vipi? Hebu nipe mbinu, mie huwa nachetuliwa na gozi langu tu.

Wewe mama'ko huwa anajichetuwa mwenyewe?
Astaghafilulahi!!

wewe kweli ni mwanamke na kama ni mwanamke umefundwa kweli??

Mbona huna haiba ya mtoto wa kike!!??
 
Mnafiki sn ebu kaishi Iran kwanza
 
Astaghafilulahi!!

wewe kweli ni mwanamke na kama ni mwanamke umefundwa kweli??

Mbona huna haiba ya mtoto wa kike!!??
Mama'ko angekuwa kafundwa angekufunda aibu ya kumwambia mama wa wengine anajichetua.
 
Huko shuleni mliendaga kusomea Ujinga.
 
Mama'ko angekuwa kafundwa angekufunda aibu ya kumwambia mama wa wengine anajichetua.
wewe unajichetua na wala huna haiba za kike...

Umejificha nyuma ya jina la mwana mama wa kimarekani tutajuaje kama wewe siyo tasa ingawa unajifanya ni mama wa mtu!!??

weka jina lako halisi ili tujue kama wewe ni mama wa nani.

Jifunde ili uheshimike acha kujichetua na kujifaragua.
 
Unajua ukichukulia maisha in its simplicity, ukiwa na misimamo ya Natural Justice wala mambo hayatakusumbua kabisa....

Hence awe Mpalestina, Muisrael, Ndugu yako, Adui yako, Jirani yako akifanyiwa Injustice ni Jukumu lako kama Binadamu kumuunga mkono na kukemea asifanyiwe hivyo, na anayefanya no matter hata kama ni mzazi wako haipaswi kumuunga mkono....

Ukifuata hii kanuni na ukawa consistent wala hakutakuwa na Kuunga mkono mtu / watu bali deeds.....
 
Je, hawa ni magaidi wawili walioungwa mkono na nyerere?

Yasser Arafat (R) rose to become the leader of the Palestinian movement in the late 1960s, leading an armed struggle against Israel.(REUTERS File Photo)
Muonyeshe na kiongoz wa polisario basi au abdalah ocalan wa wakurd alieko ndani huko Turkey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…