Sababu zenye kufanya mwenza wako anakutafuta akiwa na matatizo tu kisha anakuacha ghafla baada ya kumsaidia

Sababu zenye kufanya mwenza wako anakutafuta akiwa na matatizo tu kisha anakuacha ghafla baada ya kumsaidia

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
SABABU ZENYE KUFANYA MWENZA WAKO ANAKUTAFUTA AKIWA NA MATATIZO TU KISHA ANAKUACHA GHAFLA BAADA YA KUMSAIDIA
Kwanini unapata mwenza ambaye anakukumbuka akiwa na matatizo tu yaani labda anahitaji msaada wa kifedha,anahitaji faraja baada ya kupitia huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza ni kwamba kuna sifa upo nazo zenye kumvutia mwenza wako.

Kwa asili Mwanamke huwa mwenye sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,upole,kusaidia sana,kujitoa mhanga kumfariji, kumliwaza mtoto lakini mwanaume huwa hana sifa hizo.

mwanaume akiona mtoto analia,amesusa chakula,anasugua kisigino sakafuni,anajirusharusha kwa ghadhabu- mwanaume huwa anakuwa mkali kupitiliza kukemea tabia hizo kwa mtoto kisha anamsukumiza mtoto kwa mama yake ili mama yake aanze kumbembeleza, kumliwaza,kumuimbia, kumnyonyesha.

kwa mantiki hiyo sifa ya kufariji,kuliwaza,kulea (nurturing), kuhurumia,kutaka kumbadilisha mtu mwingine tabia huwa ni sifa ya MWANAMKE

Lakini sifa ya kukemea tabia mbaya,kutoa onyo,kupanga sheria,kutoa maagizo,,kutoa vitisho,kupiga marufuku ni hulka ya mwanaume .

kwa mantiki hiyo endapo mwanaume atakuwa na sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, anambembeleza sana, analalamika sana,anajieleza sana,anatenda wema kwa lengo la kumfurahisha mtu mwengine ni wazi kwamba mwanaume huyo anakuwa hana sifa za kiume (Masculine behavior) matokeo yake anapata mwanamke mwenye sifa za kiume (Masculine woman) ambaye atakuwa na tabia ya ubabe, ukali, kulazimisha mambo kwa nguvu,kutaka kumtawala mwanaume kimabavu.

Hii ni kwa sababu sio hulka ya Mwanamke kushika usukani ndani ya familia hivyo kwa sababu Mwanamke atalazimika kusimama ngangari kama vile ndiyo mwanaume ,uzito wa majukumu utamuelemea kisha Mwanamke atakuwa mkali kupitiliza,atakuwa na hasira kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mgomvi mgomvi,anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa hataki kuambiwa makosa yake hataki kukosolewa, hataki kupangiwa cha kufanya, hataki kutumwa, hataki kupewa maagizo.

Hii ni kwa sababu wanakuwa wamebadilishana majukumu.
Sehemu- ya mwanaume anakuwa amesimama mwanamke na sehemu- ya Mwanamke anakuwa amesimama mwanaume.

Mwanaume ataanza kutaka kumbadilisha tabia Mwanamke lakini mwanamke atagoma kubadilika tabia kwa sababu ile hulka ya kuona anapewa maagizo na mwanaume inatoweka hivyo atakuwa anahisi anaongea na Mwanamke mwenzake hivyo lazima ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa sababu mwanaume anaonyesha kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza, ustaarabu sana,kujali sana,kuwa muelewa sana,kutaka amani na utulivu saa 24.

SIFA ZA KIKE HUWA ZINAVUTIA SIFA ZA KIUME
Mwanaume kamili huwa anavutiwa na sifa za kike, na Mwanamke vilevile huwa anavutiwa na hulka ya kiume.

Sifa za kike (feminine behavior) ambazo ni huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kujali sana huwa zinahitajika kwa ajili ya kulea watoto wachanga (nurturing) , lakini sifa za kiume (Masculine behavior) kama kujiongoza ,kutaka uhuru, kuthubutu, kueleza mahitaji bila woga, kujiamini sana huwa zinahitajika kutoa maagizo, kutoa vitisho, kupiga marufuku,kutoa onyo,kuongoza, kupanga sheria, kutoa amri,kupanga majukumu ya watu wengine.

utagundua kwamba ofisi yoyote huwa inaongozwa kwa maagizo, vitisho, kupiga marufuku,kukemea tabia mbaya,kutoa amri,kutoa onyo, kupanga sheria,kupanga majukumu kwa Watu wengine.
kwa mfano magereza, jeshini, shuleni,kwenye viwanja vya michezo,mahakamani,ofisi mbalimbali za kiutawala n.k huwa zenye kutumia sifa za kiume (Masculine behavior).
Haijalishi kiongozi atakuwa Mwanamke au mwanaume lazima utaona sifa za kiume (Masculine behavior) zinatumika

lakini sifa kama huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji, kumliwaza, kumuimbia, kumbembeleza sana mtu mwingine ni sifa ambazo utazikuta pale ambapo mtu labda ni mtoto mdogo sana yaani mtoto mchanga au mtoto ambaye hana uelewa mkubwa wa maisha, vilevile utakuta sifa hizo zinatumika kwa wagonjwa,watoto yatima ,wazee,walemavu,wahanga wa manyanyaso,wahanga wa ajali n.k

Hivyo maana yake mwanaume mwenye sifa za kiume (Masculine behavior) huwa hana muda wa kuanza kumbembeleza, kumkumbusha wema amefanya zamani, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuomba msamaha muda mrefu,kupiga magoti, kutishia kujiua, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo.

lakini kwa mwanaume mwenye hulka ya kike (feminine man) huwa mwenye kuomba msamaha mfululizo, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuanza kulia, kujilaumu,kutishia kujiua n.k

SIFA ZA KIKE ZIPO KWA AJILI YA FARAJA TU
Mtu yeyote mwenye sifa za upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kufariji, kuliwaza, kulea ( nurturing),mpenda amani, hataki ugomvi wala migogoro utagundua kwamba mtu huyo hawezi kufanya kazi ngumu,hawezi kubishana,hawezi kugombana,hawezi kuongoza,badala yake anakuwa mwenye kutoa ushauri,kutoa faraja,kuliwaza Watu wengine wenye maumivu makali sana labda mtu amepata msiba,ajali, kufukuzwa kazi,kudaiwa fedha nyingi sana n.k

Je binadamu anahitaji faraja akiwa na furaha sana?
jibu lake hapana.Binadamu huwa anahitaji faraja pale ambapo amevunjika moyo,ni mgonjwa sana,ni mlemavu,ni yatima,ni muathirika wa magonjwa au unyanyasaji.

Hivyo basi kama mwenza wako huwa anakuja kwako akiwa na matatizo tu jibu lake ni kwamba umejenga tabia ya upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji mara kwa mara,kumliwaza mara kwa mara,kumpa ushauri, kumbembeleza mara kwa mara.

Hivyo baada ya mwenza wako kupata faraja anakuwa hana kingine cha kuhitaji kutoka kwako kwa sababu sifa yako ni kutoa faraja tu hauna kazi nyingine.

Mtu akiwa na furaha haitaji kuwa na wewe kwa sababu hauna cha kumpa lakini akiwa na huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza, simanzi na hasira kupitiliza anakuwa anahitaji faraja yako.

Kama wewe ni mwanaume mwema sana maana yake kazi yako maisha yako yote itakuwa kutoa faraja kwa Mwanamke wako pale ambapo ameachwa na wanaume wengine labda kwa kupigwa, kufokewa, kutukanwa, kutelekezwa na ujauzito au watoto, kudhulumiwa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane.

Akija kwako anakuja kwa mahitaji ya aina mbili,moja ni kupata faraja kwa sababu ya hisia za upweke, huzuni, majonzi, simanzi na hasira kupitiliza,pili anahitaji msaada wa kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto au ujauzito wa mwanaume mwengine.

maana yake akifanikiwa kupata mahitaji hayo mawili yaani kupata faraja kwa upweke uliopitiliza alionao,kisha akipata MSAADA wa kifedha maana yake hana shida na wewe kwa sababu amefanikiwa kupata mahitaji yake yote.

Baada ya wewe kumhudumia,kulea watoto au ujauzito wake,baada ya kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumnunulia zawadi za gharama, kumjengea, kusaidia sana ndugu zake,kumuuguza, kusomesha watoto zake hapo anakuwa hana shida na uwepo wako .

atakuwa na fedha na furaha hivyo haoni umuhimu wako kwake kwa wakati huo kwa sababu kile ambacho unaona fahari kuwa nacho yeye pia yupo nacho

kitu pekee atakuwa hana ni kukidhi mahitaji yake ya kimapenzi.
Kwa sababu mwanaume mstaarabu sana hana mvuto wa kimapenzi basi mwanamke atalazimika kwenda kutafuta mwanaume mwengine labda Ex wake watarudiana kwa sababu ex wake anampa hitaji la moyo wake la mapenzi kwa maana Ex wake kipaumbele chake ni kufanya mapenzi na hilo ndiyo hitaji lake kwa wakati huo lazima aende kwa Ex wake ili apate hitaji la kufanya mapenzi.

lakini ex wake hana uwezo wa kumfariji, kumliwaza,kumhudumia kifedha ,hawezi kulea watoto hivyo kwa mahitaji ya kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto wake,pamoja na kumpa faraja akiwa na maumivu atarudi kwako tu kwa sababu hicho ndiyo kitu pekee unaweza kumpa.

unajua kwanini WANAWAKE wenye tabia njema kama huruma, kujali, kunyenyekea,, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza hawana hisia zozote kwa mwanaume mstaarabu sana? jibu lake ni kwamba mwanaume mwema sana, muaminifu, mwenye huruma kupitiliza, mwenye kusamehe makosa haraka hana tofauti na MWANAMKE kwenye tabia.

hivyo wanaweza kujenga urafiki wa karibu lakini hawawezi kujenga mahusiano ya kimapenzi kwa sababu Mwanamke anawezaje kujenga mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwenzake ? haiwezekani.
zingatia like charge repel each other, unlike charge attract each other.

ukiwa mwanaume mwenye sifa za kike hauwezi kupata mwenza mwenye sifa za kike kwa sababu anaona kama wote ni wanawake japokuwa mmoja anakuwa na mwili wa mwanaume lakini tabia zinakuwa za kike.
 
SABABU ZENYE KUFANYA MWENZA WAKO ANAKUTAFUTA AKIWA NA MATATIZO TU KISHA ANAKUACHA GHAFLA BAADA YA KUMSAIDIA
Kwanini unapata mwenza ambaye anakukumbuka akiwa na matatizo tu yaani labda anahitaji msaada wa kifedha,anahitaji faraja baada ya kupitia huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza ni kwamba kuna sifa upo nazo zenye kumvutia mwenza wako.

Kwa asili Mwanamke huwa mwenye sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,upole,kusaidia sana,kujitoa mhanga kumfariji, kumliwaza mtoto lakini mwanaume huwa hana sifa hizo.

mwanaume akiona mtoto analia,amesusa chakula,anasugua kisigino sakafuni,anajirusharusha kwa ghadhabu- mwanaume huwa anakuwa mkali kupitiliza kukemea tabia hizo kwa mtoto kisha anamsukumiza mtoto kwa mama yake ili mama yake aanze kumbembeleza, kumliwaza,kumuimbia, kumnyonyesha.

kwa mantiki hiyo sifa ya kufariji,kuliwaza,kulea (nurturing), kuhurumia,kutaka kumbadilisha mtu mwingine tabia huwa ni sifa ya MWANAMKE

Lakini sifa ya kukemea tabia mbaya,kutoa onyo,kupanga sheria,kutoa maagizo,,kutoa vitisho,kupiga marufuku ni hulka ya mwanaume .

kwa mantiki hiyo endapo mwanaume atakuwa na sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, anambembeleza sana, analalamika sana,anajieleza sana,anatenda wema kwa lengo la kumfurahisha mtu mwengine ni wazi kwamba mwanaume huyo anakuwa hana sifa za kiume (Masculine behavior) matokeo yake anapata mwanamke mwenye sifa za kiume (Masculine woman) ambaye atakuwa na tabia ya ubabe, ukali, kulazimisha mambo kwa nguvu,kutaka kumtawala mwanaume kimabavu.

Hii ni kwa sababu sio hulka ya Mwanamke kushika usukani ndani ya familia hivyo kwa sababu Mwanamke atalazimika kusimama ngangari kama vile ndiyo mwanaume ,uzito wa majukumu utamuelemea kisha Mwanamke atakuwa mkali kupitiliza,atakuwa na hasira kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mgomvi mgomvi,anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa hataki kuambiwa makosa yake hataki kukosolewa, hataki kupangiwa cha kufanya, hataki kutumwa, hataki kupewa maagizo.

Hii ni kwa sababu wanakuwa wamebadilishana majukumu.
Sehemu- ya mwanaume anakuwa amesimama mwanamke na sehemu- ya Mwanamke anakuwa amesimama mwanaume.

Mwanaume ataanza kutaka kumbadilisha tabia Mwanamke lakini mwanamke atagoma kubadilika tabia kwa sababu ile hulka ya kuona anapewa maagizo na mwanaume inatoweka hivyo atakuwa anahisi anaongea na Mwanamke mwenzake hivyo lazima ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa sababu mwanaume anaonyesha kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza, ustaarabu sana,kujali sana,kuwa muelewa sana,kutaka amani na utulivu saa 24.

SIFA ZA KIKE HUWA ZINAVUTIA SIFA ZA KIUME
Mwanaume kamili huwa anavutiwa na sifa za kike, na Mwanamke vilevile huwa anavutiwa na hulka ya kiume.

Sifa za kike (feminine behavior) ambazo ni huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kujali sana huwa zinahitajika kwa ajili ya kulea watoto wachanga (nurturing) , lakini sifa za kiume (Masculine behavior) kama kujiongoza ,kutaka uhuru, kuthubutu, kueleza mahitaji bila woga, kujiamini sana huwa zinahitajika kutoa maagizo, kutoa vitisho, kupiga marufuku,kutoa onyo,kuongoza, kupanga sheria, kutoa amri,kupanga majukumu ya watu wengine.

utagundua kwamba ofisi yoyote huwa inaongozwa kwa maagizo, vitisho, kupiga marufuku,kukemea tabia mbaya,kutoa amri,kutoa onyo, kupanga sheria,kupanga majukumu kwa Watu wengine.
kwa mfano magereza, jeshini, shuleni,kwenye viwanja vya michezo,mahakamani,ofisi mbalimbali za kiutawala n.k huwa zenye kutumia sifa za kiume (Masculine behavior).
Haijalishi kiongozi atakuwa Mwanamke au mwanaume lazima utaona sifa za kiume (Masculine behavior) zinatumika

lakini sifa kama huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji, kumliwaza, kumuimbia, kumbembeleza sana mtu mwingine ni sifa ambazo utazikuta pale ambapo mtu labda ni mtoto mdogo sana yaani mtoto mchanga au mtoto ambaye hana uelewa mkubwa wa maisha, vilevile utakuta sifa hizo zinatumika kwa wagonjwa,watoto yatima ,wazee,walemavu,wahanga wa manyanyaso,wahanga wa ajali n.k

Hivyo maana yake mwanaume mwenye sifa za kiume (Masculine behavior) huwa hana muda wa kuanza kumbembeleza, kumkumbusha wema amefanya zamani, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuomba msamaha muda mrefu,kupiga magoti, kutishia kujiua, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo.

lakini kwa mwanaume mwenye hulka ya kike (feminine man) huwa mwenye kuomba msamaha mfululizo, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuanza kulia, kujilaumu,kutishia kujiua n.k

SIFA ZA KIKE ZIPO KWA AJILI YA FARAJA TU
Mtu yeyote mwenye sifa za upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kufariji, kuliwaza, kulea ( nurturing),mpenda amani, hataki ugomvi wala migogoro utagundua kwamba mtu huyo hawezi kufanya kazi ngumu,hawezi kubishana,hawezi kugombana,hawezi kuongoza,badala yake anakuwa mwenye kutoa ushauri,kutoa faraja,kuliwaza Watu wengine wenye maumivu makali sana labda mtu amepata msiba,ajali, kufukuzwa kazi,kudaiwa fedha nyingi sana n.k

Je binadamu anahitaji faraja akiwa na furaha sana?
jibu lake hapana.Binadamu huwa anahitaji faraja pale ambapo amevunjika moyo,ni mgonjwa sana,ni mlemavu,ni yatima,ni muathirika wa magonjwa au unyanyasaji.

Hivyo basi kama mwenza wako huwa anakuja kwako akiwa na matatizo tu jibu lake ni kwamba umejenga tabia ya upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji mara kwa mara,kumliwaza mara kwa mara,kumpa ushauri, kumbembeleza mara kwa mara.

Hivyo baada ya mwenza wako kupata faraja anakuwa hana kingine cha kuhitaji kutoka kwako kwa sababu sifa yako ni kutoa faraja tu hauna kazi nyingine.

Mtu akiwa na furaha haitaji kuwa na wewe kwa sababu hauna cha kumpa lakini akiwa na huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza, simanzi na hasira kupitiliza anakuwa anahitaji faraja yako.

Kama wewe ni mwanaume mwema sana maana yake kazi yako maisha yako yote itakuwa kutoa faraja kwa Mwanamke wako pale ambapo ameachwa na wanaume wengine labda kwa kupigwa, kufokewa, kutukanwa, kutelekezwa na ujauzito au watoto, kudhulumiwa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane.

Akija kwako anakuja kwa mahitaji ya aina mbili,moja ni kupata faraja kwa sababu ya hisia za upweke, huzuni, majonzi, simanzi na hasira kupitiliza,pili anahitaji msaada wa kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto au ujauzito wa mwanaume mwengine.

maana yake akifanikiwa kupata mahitaji hayo mawili yaani kupata faraja kwa upweke uliopitiliza alionao,kisha akipata MSAADA wa kifedha maana yake hana shida na wewe kwa sababu amefanikiwa kupata mahitaji yake yote.

Baada ya wewe kumhudumia,kulea watoto au ujauzito wake,baada ya kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumnunulia zawadi za gharama, kumjengea, kusaidia sana ndugu zake,kumuuguza, kusomesha watoto zake hapo anakuwa hana shida na uwepo wako .

atakuwa na fedha na furaha hivyo haoni umuhimu wako kwake kwa wakati huo kwa sababu kile ambacho unaona fahari kuwa nacho yeye pia yupo nacho

kitu pekee atakuwa hana ni kukidhi mahitaji yake ya kimapenzi.
Kwa sababu mwanaume mstaarabu sana hana mvuto wa kimapenzi basi mwanamke atalazimika kwenda kutafuta mwanaume mwengine labda Ex wake watarudiana kwa sababu ex wake anampa hitaji la moyo wake la mapenzi kwa maana Ex wake kipaumbele chake ni kufanya mapenzi na hilo ndiyo hitaji lake kwa wakati huo lazima aende kwa Ex wake ili apate hitaji la kufanya mapenzi.

lakini ex wake hana uwezo wa kumfariji, kumliwaza,kumhudumia kifedha ,hawezi kulea watoto hivyo kwa mahitaji ya kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto wake,pamoja na kumpa faraja akiwa na maumivu atarudi kwako tu kwa sababu hicho ndiyo kitu pekee unaweza kumpa.

unajua kwanini WANAWAKE wenye tabia njema kama huruma, kujali, kunyenyekea,, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza hawana hisia zozote kwa mwanaume mstaarabu sana? jibu lake ni kwamba mwanaume mwema sana, muaminifu, mwenye huruma kupitiliza, mwenye kusamehe makosa haraka hana tofauti na MWANAMKE kwenye tabia.

hivyo wanaweza kujenga urafiki wa karibu lakini hawawezi kujenga mahusiano ya kimapenzi kwa sababu Mwanamke anawezaje kujenga mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwenzake ? haiwezekani.
zingatia like charge repel each other, unlike charge attract each other.

ukiwa mwanaume mwenye sifa za kike hauwezi kupata mwenza mwenye sifa za kike kwa sababu anaona kama wote ni wanawake japokuwa mmoja anakuwa na mwili wa mwanaume lakini tabia zinakuwa za kike.
Kama mnamsema X wangu vile. Shikamoo Neema Mziho
 
Habari njema ni kuwa Sasa ninao maprofesa wawili niliowaambia kuwa wanaonaje wanilipe fadhila kwa mengi niliyowafanyia kwa kukupa udaktari wa heshima ,wakasema wanaomba waone mada zako hivyo itoshe kukujulisha ni katika mada zako hawa maprofesa tukuka wanapitia kila unachoandika hivyo si mda utakuwa daktari wa heshima Kama wengine.
 
SABABU ZENYE KUFANYA MWENZA WAKO ANAKUTAFUTA AKIWA NA MATATIZO TU KISHA ANAKUACHA GHAFLA BAADA YA KUMSAIDIA
Kwanini unapata mwenza ambaye anakukumbuka akiwa na matatizo tu yaani labda anahitaji msaada wa kifedha,anahitaji faraja baada ya kupitia huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza ni kwamba kuna sifa upo nazo zenye kumvutia mwenza wako.

Kwa asili Mwanamke huwa mwenye sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,upole,kusaidia sana,kujitoa mhanga kumfariji, kumliwaza mtoto lakini mwanaume huwa hana sifa hizo.

mwanaume akiona mtoto analia,amesusa chakula,anasugua kisigino sakafuni,anajirusharusha kwa ghadhabu- mwanaume huwa anakuwa mkali kupitiliza kukemea tabia hizo kwa mtoto kisha anamsukumiza mtoto kwa mama yake ili mama yake aanze kumbembeleza, kumliwaza,kumuimbia, kumnyonyesha.

kwa mantiki hiyo sifa ya kufariji,kuliwaza,kulea (nurturing), kuhurumia,kutaka kumbadilisha mtu mwingine tabia huwa ni sifa ya MWANAMKE

Lakini sifa ya kukemea tabia mbaya,kutoa onyo,kupanga sheria,kutoa maagizo,,kutoa vitisho,kupiga marufuku ni hulka ya mwanaume .

kwa mantiki hiyo endapo mwanaume atakuwa na sifa za huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, anambembeleza sana, analalamika sana,anajieleza sana,anatenda wema kwa lengo la kumfurahisha mtu mwengine ni wazi kwamba mwanaume huyo anakuwa hana sifa za kiume (Masculine behavior) matokeo yake anapata mwanamke mwenye sifa za kiume (Masculine woman) ambaye atakuwa na tabia ya ubabe, ukali, kulazimisha mambo kwa nguvu,kutaka kumtawala mwanaume kimabavu.

Hii ni kwa sababu sio hulka ya Mwanamke kushika usukani ndani ya familia hivyo kwa sababu Mwanamke atalazimika kusimama ngangari kama vile ndiyo mwanaume ,uzito wa majukumu utamuelemea kisha Mwanamke atakuwa mkali kupitiliza,atakuwa na hasira kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mgomvi mgomvi,anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa hataki kuambiwa makosa yake hataki kukosolewa, hataki kupangiwa cha kufanya, hataki kutumwa, hataki kupewa maagizo.

Hii ni kwa sababu wanakuwa wamebadilishana majukumu.
Sehemu- ya mwanaume anakuwa amesimama mwanamke na sehemu- ya Mwanamke anakuwa amesimama mwanaume.

Mwanaume ataanza kutaka kumbadilisha tabia Mwanamke lakini mwanamke atagoma kubadilika tabia kwa sababu ile hulka ya kuona anapewa maagizo na mwanaume inatoweka hivyo atakuwa anahisi anaongea na Mwanamke mwenzake hivyo lazima ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa sababu mwanaume anaonyesha kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza, ustaarabu sana,kujali sana,kuwa muelewa sana,kutaka amani na utulivu saa 24.

SIFA ZA KIKE HUWA ZINAVUTIA SIFA ZA KIUME
Mwanaume kamili huwa anavutiwa na sifa za kike, na Mwanamke vilevile huwa anavutiwa na hulka ya kiume.

Sifa za kike (feminine behavior) ambazo ni huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kujali sana huwa zinahitajika kwa ajili ya kulea watoto wachanga (nurturing) , lakini sifa za kiume (Masculine behavior) kama kujiongoza ,kutaka uhuru, kuthubutu, kueleza mahitaji bila woga, kujiamini sana huwa zinahitajika kutoa maagizo, kutoa vitisho, kupiga marufuku,kutoa onyo,kuongoza, kupanga sheria, kutoa amri,kupanga majukumu ya watu wengine.

utagundua kwamba ofisi yoyote huwa inaongozwa kwa maagizo, vitisho, kupiga marufuku,kukemea tabia mbaya,kutoa amri,kutoa onyo, kupanga sheria,kupanga majukumu kwa Watu wengine.
kwa mfano magereza, jeshini, shuleni,kwenye viwanja vya michezo,mahakamani,ofisi mbalimbali za kiutawala n.k huwa zenye kutumia sifa za kiume (Masculine behavior).
Haijalishi kiongozi atakuwa Mwanamke au mwanaume lazima utaona sifa za kiume (Masculine behavior) zinatumika

lakini sifa kama huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji, kumliwaza, kumuimbia, kumbembeleza sana mtu mwingine ni sifa ambazo utazikuta pale ambapo mtu labda ni mtoto mdogo sana yaani mtoto mchanga au mtoto ambaye hana uelewa mkubwa wa maisha, vilevile utakuta sifa hizo zinatumika kwa wagonjwa,watoto yatima ,wazee,walemavu,wahanga wa manyanyaso,wahanga wa ajali n.k

Hivyo maana yake mwanaume mwenye sifa za kiume (Masculine behavior) huwa hana muda wa kuanza kumbembeleza, kumkumbusha wema amefanya zamani, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuomba msamaha muda mrefu,kupiga magoti, kutishia kujiua, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo.

lakini kwa mwanaume mwenye hulka ya kike (feminine man) huwa mwenye kuomba msamaha mfululizo, kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo, kujieleza sana mbele ya Mwanamke,kuanza kulia, kujilaumu,kutishia kujiua n.k

SIFA ZA KIKE ZIPO KWA AJILI YA FARAJA TU
Mtu yeyote mwenye sifa za upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu,kusaidia sana, kujitoa mhanga, kufariji, kuliwaza, kulea ( nurturing),mpenda amani, hataki ugomvi wala migogoro utagundua kwamba mtu huyo hawezi kufanya kazi ngumu,hawezi kubishana,hawezi kugombana,hawezi kuongoza,badala yake anakuwa mwenye kutoa ushauri,kutoa faraja,kuliwaza Watu wengine wenye maumivu makali sana labda mtu amepata msiba,ajali, kufukuzwa kazi,kudaiwa fedha nyingi sana n.k

Je binadamu anahitaji faraja akiwa na furaha sana?
jibu lake hapana.Binadamu huwa anahitaji faraja pale ambapo amevunjika moyo,ni mgonjwa sana,ni mlemavu,ni yatima,ni muathirika wa magonjwa au unyanyasaji.

Hivyo basi kama mwenza wako huwa anakuja kwako akiwa na matatizo tu jibu lake ni kwamba umejenga tabia ya upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu, kusaidia sana, kujitoa mhanga, kumfariji mara kwa mara,kumliwaza mara kwa mara,kumpa ushauri, kumbembeleza mara kwa mara.

Hivyo baada ya mwenza wako kupata faraja anakuwa hana kingine cha kuhitaji kutoka kwako kwa sababu sifa yako ni kutoa faraja tu hauna kazi nyingine.

Mtu akiwa na furaha haitaji kuwa na wewe kwa sababu hauna cha kumpa lakini akiwa na huzuni, majonzi, upweke uliopitiliza, simanzi na hasira kupitiliza anakuwa anahitaji faraja yako.

Kama wewe ni mwanaume mwema sana maana yake kazi yako maisha yako yote itakuwa kutoa faraja kwa Mwanamke wako pale ambapo ameachwa na wanaume wengine labda kwa kupigwa, kufokewa, kutukanwa, kutelekezwa na ujauzito au watoto, kudhulumiwa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane.

Akija kwako anakuja kwa mahitaji ya aina mbili,moja ni kupata faraja kwa sababu ya hisia za upweke, huzuni, majonzi, simanzi na hasira kupitiliza,pili anahitaji msaada wa kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto au ujauzito wa mwanaume mwengine.

maana yake akifanikiwa kupata mahitaji hayo mawili yaani kupata faraja kwa upweke uliopitiliza alionao,kisha akipata MSAADA wa kifedha maana yake hana shida na wewe kwa sababu amefanikiwa kupata mahitaji yake yote.

Baada ya wewe kumhudumia,kulea watoto au ujauzito wake,baada ya kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumnunulia zawadi za gharama, kumjengea, kusaidia sana ndugu zake,kumuuguza, kusomesha watoto zake hapo anakuwa hana shida na uwepo wako .

atakuwa na fedha na furaha hivyo haoni umuhimu wako kwake kwa wakati huo kwa sababu kile ambacho unaona fahari kuwa nacho yeye pia yupo nacho

kitu pekee atakuwa hana ni kukidhi mahitaji yake ya kimapenzi.
Kwa sababu mwanaume mstaarabu sana hana mvuto wa kimapenzi basi mwanamke atalazimika kwenda kutafuta mwanaume mwengine labda Ex wake watarudiana kwa sababu ex wake anampa hitaji la moyo wake la mapenzi kwa maana Ex wake kipaumbele chake ni kufanya mapenzi na hilo ndiyo hitaji lake kwa wakati huo lazima aende kwa Ex wake ili apate hitaji la kufanya mapenzi.

lakini ex wake hana uwezo wa kumfariji, kumliwaza,kumhudumia kifedha ,hawezi kulea watoto hivyo kwa mahitaji ya kifedha kwa ajili ya kuhudumia mtoto wake,pamoja na kumpa faraja akiwa na maumivu atarudi kwako tu kwa sababu hicho ndiyo kitu pekee unaweza kumpa.

unajua kwanini WANAWAKE wenye tabia njema kama huruma, kujali, kunyenyekea,, kusamehe makosa haraka, uvumilivu uliopitiliza hawana hisia zozote kwa mwanaume mstaarabu sana? jibu lake ni kwamba mwanaume mwema sana, muaminifu, mwenye huruma kupitiliza, mwenye kusamehe makosa haraka hana tofauti na MWANAMKE kwenye tabia.

hivyo wanaweza kujenga urafiki wa karibu lakini hawawezi kujenga mahusiano ya kimapenzi kwa sababu Mwanamke anawezaje kujenga mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwenzake ? haiwezekani.
zingatia like charge repel each other, unlike charge attract each other.

ukiwa mwanaume mwenye sifa za kike hauwezi kupata mwenza mwenye sifa za kike kwa sababu anaona kama wote ni wanawake japokuwa mmoja anakuwa na mwili wa mwanaume lakini tabia zinakuwa za kike.
We Manyanza kwaiyo baada ya maelezo yote hayo unatushaurije sisi tunaotumiwa kuwapa wengine furaha wakiipata wanasepa
 
Back
Top Bottom