Mkuu ulikutana na wezi pole sana…ila nakwambia chunga sana attitude yako dhidi ya wateja, wao ndo wana iyo ela unayoitaka na kumbuka iyo bussines sio kwamba unayo peke yako Tz nzima kuna vitu vidg vidg sana vitakutofautisha na competitors wako…mimi ni mfanyabiashara ni nimefanya kazi kwenye makampuni makubwa najua how customer anavyoheshimiwa no matter what, na anavyoangaika kutafutwa watu wanalipia millions of money kuhangaika kufanya matangazo ili kumvuta uyo mteja…naelewa ivi vitu mzee! Kaulize watu wanaofanya kazi za customer care za mitandao uone?? Hutakiwi kumjibu mteja ovyo ata akutukane…wanajua wanavyolipia matangazo kila siku ili kumpata na hawataki kumpoteza sasa hiyo ndo proffesional na saikolojia ya kuhandle customer sasa ww nenda kienyeji