Kwa Ajib sina pingamizi ila msimu huu Simba wajiangalie sana maana huu ndo mwanzo wa mfarakano wa timuHakuna lolote, aliyewatia gundu ni Ibrahim Ajib. Huyu jamaa kila anaenda na nuksi zake. Kipindi kile alivyoondoka msimbazi tu, Simba ikaanza kung'aa, imebeba vikombe misimu yote miwili.
Kaja Jangwani mambo ni ziiii hata kikombe cha kuku hawajabeba. Na sasa yupo simba wasubiri waone.
tukiondoa mzaha lakini tangu mapema nilipinga sana usajili wa huyu jamaa.Hakuna lolote, aliyewatia gundu ni Ibrahim Ajib. Huyu jamaa kila anaenda na nuksi zake. Kipindi kile alivyoondoka msimbazi tu, Simba ikaanza kung'aa, imebeba vikombe misimu yote miwili.
Kaja Jangwani mambo ni ziiii hata kikombe cha kuku hawajabeba. Na sasa yupo simba wasubiri waone.
Watajilaumu sana Simba nadhani wata wakumbuka sana hao watuSababu namba iii} ni kweli kabisa
Ndo ivo ishakua; maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge hakuna namna tenatukiondoa mzaha lakini tangu mapema nilipinga sana usajili wa huyu jamaa.
Hiv Ibra Ajib nani anamloga? Jamaa ana gundu la Asili kabsa. Ana mkosi huyu jamaaa na mtafutano utaanza simba na kirusi kinapitia mlango wa Ajib..Hakuna lolote, aliyewatia gundu ni Ibrahim Ajib. Huyu jamaa kila anaenda na nuksi zake. Kipindi kile alivyoondoka msimbazi tu, Simba ikaanza kung'aa, imebeba vikombe misimu yote miwili.
Kaja Jangwani mambo ni ziiii hata kikombe cha kuku hawajabeba. Na sasa yupo simba wasubiri waone.
We jipe muda tu, utaona simba wanaanza kuvurugana muda si mrefu.Hiv Ibra Ajib nani anamloga? Jamaa ana gundu la Asili kabsa. Ana mkosi huyu jamaaa na mtafutano utaanza simba na kirusi kinapitia mlango wa Ajib..
Hayo ni mawazo ya wahenga, Ibra hajacheza mechi hata moja Simba wala hajafungisha goli Simba. Ameamua mwenyewe kuhama Yanga kwa maslahi yake binafsi na familia yake, na he is better off akiwa Simba hata pamoja na kutolewa kwenye mashindano.tukiondoa mzaha lakini tangu mapema nilipinga sana usajili wa huyu jamaa.
Endelea kusubiri...We jipe muda tu, utaona simba wanaanza kuvurugana muda si mrefu.
Tumepata replacements ila hazitumikiSimba uwezo tumezidiwa Leo. Kuondoka okwi, kotei na niyonzima imetugharimu
Hahaaav) Simba ni mambumbumbu kikosi kibovu
Halafu Niyonzima akawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa akisema hakuna timu itaifunga Mikia uwanja wa taifa.i} Simba wali wadharau ud songo
ii}simba wameenda na matokeo uwanjani nakusahau kuwa mpira ni 90'
iii}Simba wamewaacha wachezaji wenye uzoefu na mechi za kimataifa 1] E.okwi
2] H.niyonzima
3] J.kotei
hakika mapengo yao yameonekana
iv}Maneno mengi na sio vitendo uwanjani
hatima yake simba imepoteza CV iliyo jiwekea msimu uliopita na kuondolewa mapema sana ktk Caf champion's league★★★
Gundu la Ajib mikiani FC.i} Simba wali wadharau ud songo
ii}simba wameenda na matokeo uwanjani nakusahau kuwa mpira ni 90'
iii}Simba wamewaacha wachezaji wenye uzoefu na mechi za kimataifa 1] E.okwi
2] H.niyonzima
3] J.kotei
hakika mapengo yao yameonekana
iv}Maneno mengi na sio vitendo uwanjani
hatima yake simba imepoteza CV iliyo jiwekea msimu uliopita na kuondolewa mapema sana ktk Caf champion's league★★★