Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Nashangazwa sana jinsi huo ushirikina wa kunuhusisha Ajib na kushindwa kuifunga UD Songo. Kwa imani hizi mbovu, Yanga wakitolewa na Zesco, watamuangushia nani jumba bovu?Acha kumpaka Ajib matope maana hata hakucheza hiyo mechi.
Vv